Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 23,251
- 28,406
Hawa wanachama wa CCM wameishiwa hoja badala yake wanatumia mashambulizi kwa mtindo wa mbwamwitu, wanadhani wakishambulia kwa wingi wa kundi lao basi watakuwa wamejenga hoja!
CCM imeishiwa watu wenye uwezo wa kufikiri kabla ya kujibu. Mtu mmoja anatoa hoja zake linaibuka kundi la watu zaidi ya hamsini linaanza kubwabwaja kila mmoja na lake japo hakuna mwenye hoja bali viroja.
CCM imeishiwa watu wenye uwezo wa kufikiri kabla ya kujibu. Mtu mmoja anatoa hoja zake linaibuka kundi la watu zaidi ya hamsini linaanza kubwabwaja kila mmoja na lake japo hakuna mwenye hoja bali viroja.