Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,690
- 20,451
Habari zilizonifikia zinasema kwamba matokeo ya ubunge Sumbawanga mjini yameshakamilika ila CCM imemleta Mizengo Pinda na sasa hivi kuna kikao kinachoendelea cha kumbembeleza mgombea wa CHADEMA asaini form nyingine kuonyesha kwamba ameshindwa. Hadi sasa mgombea huyo hajawakubalia, ila tume ya uchaguzi jimboni humo imesema itatangaza matokeo saa sita usiku, wakati yale ya urais yameshatangazwa tayari. CHADEMA makao makuu mpoo?