Jimmy kama jimmy...hao ndio think tank wa ccm...We umewahi sikia wenye akili walio ndani ya CCM wanamjibu Gwajima au Polepole?
Utasikia anayejibu hoja za Polepole ni Stevene Nyerere au Jimmy Mafufu na humu JF Lucas Mwashambwa π€£π€£π€£
Lisu ni mtu na nusu!!Lissu ni mtu hatari sana.
Hahahaha Hakika No redorms inefika meza kuu Sasa sijui na wao watapeana kesi za uhaini??Sasa nataka kujua wale wa Oktoba tunatiki, semeni mtatiki wapi?
No reforms no Election yatinga Meza Kuu za CCM.
Kiko wap? π€£π€£π€£π€£
Haya Muliro jiandae kuwagonga Virungu vya Ugoko na CCM wanaotaka Reforms π€£π€£π€£
mene, mene, tekeli, na peresi.
View attachment 3410888
ππDah nomaWaganga wajinga sana,wanaweza kuchanja hata antena
Hakuna election!Hakuna reforms
Hili huwezi kuliona kama husomi historia za watu.Lissu ni mtu hatari sana.
Na TlaatlaaWe umewahi sikia wenye akili walio ndani ya CCM wanamjibu Gwajima au Polepole?
Utasikia anayejibu hoja za Polepole ni Stevene Nyerere au Jimmy Mafufu na humu JF Lucas Mwashambwa π€£π€£π€£
Kabisa! Ukiwambia wanakuambia unaandamana moyoniNO REFORMS NO ELECTION
hii sio kwa ajili ya chadema au Cuf au upinzani bali kwa watanzania wote bara na visiwani. Bila ukabila wala udini wala umaeneo
CCM wamepanga kuandamana siku ya tukio.Sasa nataka kujua wale wa Oktoba tunatiki, semeni mtatiki wapi?
No reforms no Election yatinga Meza Kuu za CCM.
Kiko wap? π€£π€£π€£π€£
Haya Muliro jiandae kuwagonga Virungu vya Ugoko na CCM wanaotaka Reforms π€£π€£π€£
mene, mene, tekeli, na peresi.
View attachment 3410888
Hivi Uchaguzi Mkuu utakapokuwa umefanyika na washindi kutangazwa na kuapishwa, mtaongea nini?Sasa nataka kujua wale wa Oktoba tunatiki, semeni mtatiki wapi?
No reforms no Election yatinga Meza Kuu za CCM.
Kiko wap? π€£π€£π€£π€£
Haya Muliro jiandae kuwagonga Virungu vya Ugoko na CCM wanaotaka Reforms π€£π€£π€£
mene, mene, tekeli, na peresi.
View attachment 3410888
Tutasema HAUKUWA HURU, WA HAKI NA WAKUAMINIKAHivi Uchaguzi Mkuu utakapokuwa umefanyika na washindi kutangazwa na kuapishwa, mtaongea nini?
Usimsahau na mzee wa ififaki ikulu steve town huyo ndo muongoza dira ya waganga ikuluBi Mdashi saa hizi yupo busy na Waganga wa Oman ni mwendo wa kutoa kafara tuπππππ
View attachment 3411072
Ahahahahaha! Kumbe mshajipanga? Poa.Tutasema HAUKUWA HURU, WA HAKI NA WAKUAMINIKA
Hili muambie KAILIMA akae akijua.
Wewe ulokuwa hujui kwamba hautakuwa huru na wa haki? Kamwambie msajili na hili ili aandike barua kwa munguAhahahahaha! Kumbe mshajipanga? Poa.
Kashashindwa kitambo!Bi Mdashi saa hizi yupo busy na Waganga wa Oman ni mwendo wa kutoa kafara tuπππππ
View attachment 3411072