Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,821
- 50,482
Ushaghalabaghala wa mambo ndani ya CCM , ni kama tafrani inayotokea pale kipofu anapokuwa akimuongoza kipofu mwenzie kuipita njia Mpya.
Na ndiyo maana watu wengi ndani ya CCM wanaishi kwa staili ile ya "ukila na kipofu usimshike mkono".
CCM wanauishi ule msemo wa kiafrika kuwa uruhusiwi kuongea wakati wa kula. WAJINGA NDIYO WALIWAO!!
Na ndiyo maana watu wengi ndani ya CCM wanaishi kwa staili ile ya "ukila na kipofu usimshike mkono".
CCM wanauishi ule msemo wa kiafrika kuwa uruhusiwi kuongea wakati wa kula. WAJINGA NDIYO WALIWAO!!