CCM ni kama vipofu wanaoongozana!

CCM ni kama vipofu wanaoongozana!

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,821
Reaction score
50,482
Ushaghalabaghala wa mambo ndani ya CCM , ni kama tafrani inayotokea pale kipofu anapokuwa akimuongoza kipofu mwenzie kuipita njia Mpya.

Na ndiyo maana watu wengi ndani ya CCM wanaishi kwa staili ile ya "ukila na kipofu usimshike mkono".

CCM wanauishi ule msemo wa kiafrika kuwa uruhusiwi kuongea wakati wa kula. WAJINGA NDIYO WALIWAO!!
 
Bila Mungu kumpenda zaidi Samia taifa halitaondoka kwenye hii sintofahamu. Maana anaweza kutuachia mkwewe ndo awe Rais ajaye 2030
 
Ushaghalabaghala wa mambo ndani ya CCM , ni kama tafrani inayotokea pale kipofu anapokuwa akimuongoza kipofu mwenzie kuipita njia Mpya.

Na ndiyo maana watu wengi ndani ya CCM wanaishi kwa staili ile ya "ukila na kipofu usimshike mkono".

CCM wanauishi ule msemo wa kiafrika kuwa uruhusiwi kuongea wakati wa kula. WAJINGA NDIYO WALIWAO!!
Noma
 
downloadfile-64.jpg
 
Tulia wewe
Tafuta chimbo ulambe asali
Acha wivu
 
Ushaghalabaghala wa mambo ndani ya CCM , ni kama tafrani inayotokea pale kipofu anapokuwa akimuongoza kipofu mwenzie kuipita njia Mpya.

Na ndiyo maana watu wengi ndani ya CCM wanaishi kwa staili ile ya "ukila na kipofu usimshike mkono".

CCM wanauishi ule msemo wa kiafrika kuwa uruhusiwi kuongea wakati wa kula. WAJINGA NDIYO WALIWAO!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣yamechanganyikiwa kutokana na barua ya polepole.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom