CCM ni kama British Empire: Inabadilika na wakati, haifi ng'o!

Kweli kabisa, hadi hapo vyama vya upinzani vikiacha utani, upuuzi hasa wa kukumbatia wajinga kama kina wema n.k., kuwa kama kampuni na ukabila, mpaka hapo watakavyoungana na kuweka watu wenye upewo kama Dr. Slaa, ila kama wakiendelea na uongozi wa MKWE! WASAHAU MILELE...
Wema akisoma hapa lazima aliye.
Kumbw ccm huwa inawachukua wajinga kuwapigia kampeni wagombea wake katika uchaguzi mkuu!!!
Asante kwa kutufumbua macho.
 
Ndiyo hivyo CCM inaongoza Tanzania na itaendelea kuongoza Tanzania kwa miaka 50 mingine ijayo hilo halina ubishi, na sababu ni kama vile British Monarchy mpaka leo hii bado inatawala Makoloni yake kwa kupitia British Commonwealth chini ya Malkia Elizabeti, Ufalme ule ule uliokuwa unatawala moja kwa moja sasa umejibadilisha ukatoa Uhuru wa Bendera na kuja kivingine!

Sasa ufanano na CCM unaingiaje? CCM tofauti na vyama vingine Afrika inabadilika kulingana na wakati, yaani pale ambapo watu wanafikiri wameichoka inakuja kivingine, inafanya reforms kusahihisha makosa na kujizaa upya, na hiki ndicho kinachoiweka CCM hai, siyo kingine!
Vile vile CCM tofauti na Vyama vingine ina demokrasia kubwa sana ingawaje ina mapungufu lkn bado ni kubwa, hakuna kuhodhi madaraka, kila kitu kipo wazi kwamba uchaguzi unafanyika lini na wapi, Mwenyekiti anapatikanaje na anaweza kuondolewa vipi kama ikibidi, kuna ukomo wa Uongozi hayo ndiyo moja ya mambo ambayo yanaifanya CCM isimame!

CCM ilianzia na ,,kujivua Gamba" baadhi walifikiri ni usanii lkn kuna kikubwa sana kilichokuwa kimejificha nyuma yake nacho ni reforms ambazo sasa zinnatekelezwa, walianza kupiga chini Mafisadi, Ufisadi ambao ndiyo ilikuwa moja kati ya kero KUU ya Watanzania leo hii ukimuuliza Mtanzania yoyote yule Je Ufisadi umepungua, umebakia vile vile au umeongezeka? Jibu liko wazi!
Sasa wameingia kwenye kureform Chama.
CCM ready for reforms!
WhatsApp%2BImage%2B2017-03-10%2Bat%2B12.01.54.jpeg
Ili kuthibitisha hilo wekeni tume huru
 
This is being too naive mkuu.Ni vizuri ukawa objective na mkweli.Hakuna kisichokuwa na mwisho. Ni ukweli ulio wazi kwamba CCM siko moja ita-disappear.This is the hard truth even though some of you probably lived on CCM and known nothing else.
 
Ndiyo hivyo CCM inaongoza Tanzania na itaendelea kuongoza Tanzania kwa miaka 50 mingine ijayo hilo halina ubishi, na sababu ni kama vile British Monarchy mpaka leo hii bado inatawala Makoloni yake kwa kupitia British Commonwealth chini ya Malkia Elizabeti, Ufalme ule ule uliokuwa unatawala moja kwa moja sasa umejibadilisha ukatoa Uhuru wa Bendera na kuja kivingine!

Sasa ufanano na CCM unaingiaje? CCM tofauti na vyama vingine Afrika inabadilika kulingana na wakati, yaani pale ambapo watu wanafikiri wameichoka inakuja kivingine, inafanya reforms kusahihisha makosa na kujizaa upya, na hiki ndicho kinachoiweka CCM hai, siyo kingine!
Vile vile CCM tofauti na Vyama vingine ina demokrasia kubwa sana ingawaje ina mapungufu lkn bado ni kubwa, hakuna kuhodhi madaraka, kila kitu kipo wazi kwamba uchaguzi unafanyika lini na wapi, Mwenyekiti anapatikanaje na anaweza kuondolewa vipi kama ikibidi, kuna ukomo wa Uongozi hayo ndiyo moja ya mambo ambayo yanaifanya CCM isimame!

CCM ilianzia na ,,kujivua Gamba" baadhi walifikiri ni usanii lkn kuna kikubwa sana kilichokuwa kimejificha nyuma yake nacho ni reforms ambazo sasa zinnatekelezwa, walianza kupiga chini Mafisadi, Ufisadi ambao ndiyo ilikuwa moja kati ya kero KUU ya Watanzania leo hii ukimuuliza Mtanzania yoyote yule Je Ufisadi umepungua, umebakia vile vile au umeongezeka? Jibu liko wazi!
Sasa wameingia kwenye kureform Chama.
CCM ready for reforms!
WhatsApp%2BImage%2B2017-03-10%2Bat%2B12.01.54.jpeg

Very unfortunate that the British empire collapsed with colonialism.
 
hakuna chenye mwanzo kikakosa kuwa na mwisho,acha british kuna dola kuu nyingi zilikuja na zikapita,ilikuja dola ya warumi,ikaja ugiriki,babilon lakini zote zilianguka,ccm siku zake zinahesabika nothing can last forever.....
 
Hivi uchaguzi wa mwenyekiti na viongozi wa juu ndani ya CDM unafanyika kila baada ya miaka mingapi?
Ukijibiwa please nisaidie nami kujua

But otherwise tegemea matusi na kashfa , na hasira zoooote za kufungiwa viroba zitahamia kwako!
 
Elezea basi unaposikia nchi imewekewa vikwazo na UK wanamanishaga Nin ?
Nimegundua wewe ndio huna ufahamu wa kutosha ktk jambo hili. UK ni muunganisho wa watu wa England, Scotland, Wales na Northern Ireland. Hakuna tena British Empire. Nchi zote zilizokuwa chini ya British rule zilikubaliana kuwa na umoja (kutokana na mifumo ya uongozi) na ndipo Commonwealth ilipokuja.
 
Hata kama ccm iwe imechoka bado hatujaona mpinzani alie imara wakumpa nchi, wakitokea wapinzani imara mtachukua maana upinzan wa sasa ni udaku tu wala jawana mikakati mathubuti ni kuongea tu, wanaitisha maandamano na wao viongozi wanapotea sk ya maandamano, sasa nani mjinga akapigwe ww unakula bata south Africa???????

Mtaendelea kuwa wapinzani daima na daima hadi ukilifu wa dahari
Waweza kuwa sahihi lakini angalia hili - hakuna nafasi ya watu kufanya siasa. Siasa zinazuiliwa mpaka 2020. Unakumbuka kuna kipindi hata mikutano ya ndani ilizuiliwa? Ya nje inaruhusiwa ktk maeneo mtu alishinda tu?? Unajua kuwa kuipinga serikali ni sedition? Mtu akitaka kuipinga aende Bungeni. Je Maalim Seif, Prof. Lipumba, Mrema, Anna Mghwira na wengine wanaendaje Bungenu? Siasa imara hupewa nafasi ishamiri. Sishangai nchi kuwa hapa kama kuna watu wa aina yako wasioamini katika siasa kupewa nafasi ishamiri.
 
upinzani umepoteza dira
Unadhani hilo limetokea bahati mbaya?? Ungekuwa na uwezo hata robo wa kuwa mkweli kwa nafsi yako ungekumbuka kwanini sio upinzani tu, hata nchi haina dira!! Tumefika hapa kwa sababu ya kuwa na watu wengi wa aina yako. Wale wanaoangalia mambo at face value. Jikite katika kujua kina, sio kuangalia jambo kwa juu.
 
Mfano wako hauendani. Kwanza british empire imekufa zamani tangu kuwa na makoloni waloitwa british subject mpaka kubaki england pekee. Maana scotland iko mguu ndani mguu nje.
Ccm mfano mzuri ni Zanu Pf ya mugabe. Wote wametumia rasilimali za nchi , kuwakata wafanyakazi mishahara kuijiamarisha. Na tukikatwa mishahara kwa nguvu kujenga miundo mbinu ya ccm...
Ccm bado ni chama dola na mfumo wa vyama vingi unatumika kuwahadaa nchi za magharibi kuwa na sisi tunafata mfumo huo ili wasitendwe lakini hawaukubali na hawana nia nao.bado wamebikamata vyombo vyote vya usalama vipo kwa maslahi yao.
Watanzania wengi ni woga na wanafiki sana kila mmoja hodari kukosoa vyama vya upinzani lakini wao hungangania mfumo wa ccm ambao umejaaa rushwa na ufisadi...na ukitaka pesa basi lazima uingine katika hio empire yako. Bila ya hivyo watakufilisi kwa makodi ya kijinga.
Ukweli ccm inasaidiwa na vyombo vya dola tu. Na haina strength hio wala ubavu huo....imejaa wanafiki wanao fata maslahi yao.
Kama ni empire tutaipima 2020 ikiondolewa na wanamchi kiliani kabisa na baada ya hapo utaona wanafiki wote wataondoka ccm na kitabaki na wafia chama wachache ...na utakua mwisho wao.
Na hilo ndio linawafanya watumie dola kuiba kura mfano Znz hio empire imeshakufa imebaki empire ilowekwa na mazombi ...siku mazombi wakijitambua kuwa wanayumiwa tu basi ccm znz itakua historia kwenye vitabu
 
Reformation ya Chama au WanaChama?
Chama=Sera.
WanaChama=Maadili.

Muongozo na Falsafa za CCM hazijabadilika. Maadili ya wanaChama ndio yanabadilika. Ndio maana hatuna shaka na Chama chenyewe, na jinsi tunavyoijua kwa kina nchi yetu na Bara hili.
Kuifananisha CCM na British Empire, British Empire imetawala kwa mabavu na kujikimbikizia mali kutoka nchi zilizozitawala, na isitoshe wachache ndio wamefaidika na utawala huo.
Wakati tuna historia ya CCM ilivyojitolea kulikomboa bara letu. Leo tukienda Msumbiji au Uganda, nchi tulizozikomboa, hatujajenga sanamu au kubadilisha majina ya mitaa au kuendeleza tawala zetu. CCM imekuwa ni Chama cha "Tenda wema, Usingoje shukurani".
Wakati leo British Empire ikimtunuku mtu medali, itaonyesha na kutangaza dunia nzima.
CCM bila Uanadamu "Humanity" sio CCM.
 
Ndiyo hivyo CCM inaongoza Tanzania na itaendelea kuongoza Tanzania kwa miaka 50 mingine ijayo hilo halina ubishi, na sababu ni kama vile British Monarchy mpaka leo hii bado inatawala Makoloni yake kwa kupitia British Commonwealth chini ya Malkia Elizabeti, Ufalme ule ule uliokuwa unatawala moja kwa moja sasa umejibadilisha ukatoa Uhuru wa Bendera na kuja kivingine!

Sasa ufanano na CCM unaingiaje? CCM tofauti na vyama vingine Afrika inabadilika kulingana na wakati, yaani pale ambapo watu wanafikiri wameichoka inakuja kivingine, inafanya reforms kusahihisha makosa na kujizaa upya, na hiki ndicho kinachoiweka CCM hai, siyo kingine!
Vile vile CCM tofauti na Vyama vingine ina demokrasia kubwa sana ingawaje ina mapungufu lkn bado ni kubwa, hakuna kuhodhi madaraka, kila kitu kipo wazi kwamba uchaguzi unafanyika lini na wapi, Mwenyekiti anapatikanaje na anaweza kuondolewa vipi kama ikibidi, kuna ukomo wa Uongozi hayo ndiyo moja ya mambo ambayo yanaifanya CCM isimame!

CCM ilianzia na ,,kujivua Gamba" baadhi walifikiri ni usanii lkn kuna kikubwa sana kilichokuwa kimejificha nyuma yake nacho ni reforms ambazo sasa zinnatekelezwa, walianza kupiga chini Mafisadi, Ufisadi ambao ndiyo ilikuwa moja kati ya kero KUU ya Watanzania leo hii ukimuuliza Mtanzania yoyote yule Je Ufisadi umepungua, umebakia vile vile au umeongezeka? Jibu liko wazi!
Sasa wameingia kwenye kureform Chama.
CCM ready for reforms!
WhatsApp%2BImage%2B2017-03-10%2Bat%2B12.01.54.jpeg
Kwani zile 50,M.za kila kijiji ziko wapi?
 
Bila dola CCM kwa wananchi haipo, hivyo hukupaswa kuja kujivuna hapa kwa kitu kinachotegemea mbeleko ya serikali na vyombo vya dola.
Kwa akili yako nyepesi. Hivi kuna mbadala wa CCM? Kuna yeyote timamu anaweza kuamini SACCOS ya Mbowe na Mkwewe Mtei iliyosheheni wahuni wa kichaga na wapiga dili?
 
Back
Top Bottom