Kama kweli CCM kimefanya vizuri kwa wananchi kipindi chote cha uongozi wake ni kwanini wanatumia nguvu kubwa na pesa nyingi kuwanadi wagombea wao kana kwamba ni chama kipya? Kielelezo cha mafanikio kama wanavyodai ingekuwa siraha kubwa ya kupata kura nyingi katika chaguzi zao.
Kwa kutumia pesa nyingi na nguvu kubwa kwa ajili ya kuwashawishi wananchi ili waweke madarakani ni kilelezo tosha kwamba CCM haijafanya lolote kwa wananchi licha ya kutamba kuwa kimefanya mengi toka uhuru na hali hakuna ukweli ndani yake.
Tuachane na ushabiki, ni ukweli usiofichika CCM maji yako shingoni.
Kwa kutumia pesa nyingi na nguvu kubwa kwa ajili ya kuwashawishi wananchi ili waweke madarakani ni kilelezo tosha kwamba CCM haijafanya lolote kwa wananchi licha ya kutamba kuwa kimefanya mengi toka uhuru na hali hakuna ukweli ndani yake.
Tuachane na ushabiki, ni ukweli usiofichika CCM maji yako shingoni.