Not_Yet_Uhuru
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,304
- 431
WAPENDWA WAPAMBANAJI,
DOKEZO: Hakuna lolote, SMS za wafu na wanaokimbiana wenyewe hao. Zile walizosema zilitoka nje ya nchi ni feki, zimetokea hapo Upanga (nahisi Mtaa wa Undali), wamewachukua vijana kadhaa wa Magabachori-wasanii wenzao kutumia utaalam mdogo tu kupitia Skype Free services (Hii inaruhusu kutumia route ya nchi yoyote kupiga simu au SMS na unaonekana kama upo ktk ile nchi kumbe sio). Usanii mtupu wa kifisadi na wizi. Wametumia Synovate, REDET na hatimaye wanaweza kuingilia mahakama kufanya wao hukumu kwa niaba ya yule jamaa Mume ***** waliyempangishia hoteli na mkoko kapewa kwa ajili ya kufanikisha ile kesi feki ya 'kuibiwa mke' kumbe ndi CCM wanaiendesha. Hawatasita kutoa hukumu musa si mrefu kupitia mahakama zetu hizi zilikataa hata mgombea binafsi kuinusuru CCM...
Na Bado SAA YA KUFA NYANI MITI YOTE HUTELEZA...! OKTOBA 31 ndio SMS zitawapa majibu sahihi kuwa ndiyo Laana yao. Na hakuna kuibiwa hata Kura 1, Dr Slaa anaiongoza Tanzania, huru na iliyojaa Amani tele, hakuna hata tone la damu kumwagika. PEOPLE'S POWER! YES WE CAN CHANGE ALL THESE AWKWARD LIFE created by CCM culprits.
DOKEZO: Hakuna lolote, SMS za wafu na wanaokimbiana wenyewe hao. Zile walizosema zilitoka nje ya nchi ni feki, zimetokea hapo Upanga (nahisi Mtaa wa Undali), wamewachukua vijana kadhaa wa Magabachori-wasanii wenzao kutumia utaalam mdogo tu kupitia Skype Free services (Hii inaruhusu kutumia route ya nchi yoyote kupiga simu au SMS na unaonekana kama upo ktk ile nchi kumbe sio). Usanii mtupu wa kifisadi na wizi. Wametumia Synovate, REDET na hatimaye wanaweza kuingilia mahakama kufanya wao hukumu kwa niaba ya yule jamaa Mume ***** waliyempangishia hoteli na mkoko kapewa kwa ajili ya kufanikisha ile kesi feki ya 'kuibiwa mke' kumbe ndi CCM wanaiendesha. Hawatasita kutoa hukumu musa si mrefu kupitia mahakama zetu hizi zilikataa hata mgombea binafsi kuinusuru CCM...
Na Bado SAA YA KUFA NYANI MITI YOTE HUTELEZA...! OKTOBA 31 ndio SMS zitawapa majibu sahihi kuwa ndiyo Laana yao. Na hakuna kuibiwa hata Kura 1, Dr Slaa anaiongoza Tanzania, huru na iliyojaa Amani tele, hakuna hata tone la damu kumwagika. PEOPLE'S POWER! YES WE CAN CHANGE ALL THESE AWKWARD LIFE created by CCM culprits.