bandu bandu
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 2,747
- 869
Kataa neno usikatae wito au uwaka wanahofia yule mgombea wao mgojwagonjwa anahutubiaga dk6 tena mdahalo napendekeza masaa3 tena ya kusimama
Si bora wetu anahutubia dk 6 ya vitu vinavyoeleweka huyo wa kwenu anahutubia masaa 2 alafu hajui hata gadafi alikuwa rais wa wapi,hajui hata sadam alikuwa rais wa wapi eti sadam alikuwa rais wa kuwait hahaha nilicheka sana.hapa ni LOWASSA tu na UKAWA hata muandae midahalo 100 narudia tena hapa ni LOWASSA na UKAWA tu.