Mbona CCM mlikataa mdahalo 2005/2010

mchotamaji

JF-Expert Member
Sep 22, 2015
219
66
CCM mwaka 2005/2010 Na 2010/2015 wakati Mh.Kikwete anagombea Uraisi kukitolewa hoja ya kufanya Mdahalo kwa wagombea Uraisi kati ya Mh.Lipumba Wa CUF,Mh.Slaa Wa Chadema Na Nh.Kikwete Wa CCM.Chama cha Mapinduzi kilikataa Mh. Kikwete kushiriki.

Kituo cha Redio TBC chini ya Tido Mhando kilikuwa kinafanya midahalo kwa wagombea mbalimbali Wa vyama kwa kuwakutanisha CCM iliwapiga marufuku wagombea wake kushiriki.

Hatimaye TIDO MHANDO aliondolewa TBC .Swali kwanini Leo CCM inataka mdahalo!Tunawashauri UKAWA WASISHIRIKI waendesha Midahalo wote wamenunuliwa Na CCM kama ilivyofanya kwa TWAWEZA.

UKAWA MSISHIRIKI
 
CCM mwaka 2005/2010 Na 2010/2015 wakati Mh.Kikwete anagombea Uraisi kukitolewa hoja ya kufanya Mdahalo kwa wagombea Uraisi kati ya Mh.Lipumba Wa CUF,Mh.Slaa Wa Chadema Na Nh.Kikwete Wa CCM.Chama cha Mapinduzi kilikataa Mh. Kikwete kushiriki.Kituo cha Redio TBC chini ya Tido Mhando kilikuwa kinafanya midahalo kwa wagombea mbalimbali Wa vyama kwa kuwakutanisha CCM iliwapiga marufuku wagombea wake kushiriki.Hatimaye TIDO MHANDO aliondolewa TBC .Swali kwanini Leo CCM inataka mdahalo!Tunawashauri UKAWA WASISHIRIKI waendesha Midahalo wote wamenunuliwa Na CCM kama ilivyofanya kwa TWAWEZA.UKAWA MSISHIRIKI

Hata kama hawajanunuliwa, hatulazimishwi kushiriki kama ambavyo CCM hawakulazimishwa.

Na tutaamua nani aende kwenye mdahalo.
 
CCM mwaka 2005/2010 Na 2010/2015 wakati Mh.Kikwete anagombea Uraisi kukitolewa hoja ya kufanya Mdahalo kwa wagombea Uraisi kati ya Mh.Lipumba Wa CUF,Mh.Slaa Wa Chadema Na Nh.Kikwete Wa CCM.Chama cha Mapinduzi kilikataa Mh. Kikwete kushiriki.

Kituo cha Redio TBC chini ya Tido Mhando kilikuwa kinafanya midahalo kwa wagombea mbalimbali Wa vyama kwa kuwakutanisha CCM iliwapiga marufuku wagombea wake kushiriki.

Hatimaye TIDO MHANDO aliondolewa TBC .Swali kwanini Leo CCM inataka mdahalo!Tunawashauri UKAWA WASISHIRIKI waendesha Midahalo wote wamenunuliwa Na CCM kama ilivyofanya kwa TWAWEZA.

UKAWA MSISHIRIKI

Poleni, maji ya shingo hayo. Don't try it at CDM. Walete walete! Mdahalo ndiyo kiboko yao. TANZANIA hoyeeeeeeee, wenye wivu wajinyonge. Ni kweli anatosha kwa Watanzania. Hapa kazi tu, hakuna cha Buguruni, Kinondoni, Masaki wala Mwananyamala.
 
Jibu hoja sio kukurupuka tunawakumbusha kwanza kwa taarifa yako mdahalo tutashiriki ilani ya ukawa itawakilishwa Na mwana ukawa yeyote yule ila mkuu kikwete Na CCM mlikimbia ile mbaya
 
Jibu hoja sio kukurupuka tunawakumbusha kwanza kwa taarifa yako mdahalo tutashiriki ilani ya ukawa itawakilishwa Na mwana ukawa yeyote yule ila mkuu kikwete Na CCM mlikimbia ile mbaya



duuu!
 
Mdahalo mmoja ulifanyika 2010, na CCM walimleta Kinana badala ya JK

Leo eti wanataka mdahalo...hovyo kabisa CCM
 
CCM mwaka 2005/2010 Na 2010/2015 wakati Mh.Kikwete anagombea Uraisi kukitolewa hoja ya kufanya Mdahalo kwa wagombea Uraisi kati ya Mh.Lipumba Wa CUF,Mh.Slaa Wa Chadema Na Nh.Kikwete Wa CCM.Chama cha Mapinduzi kilikataa Mh. Kikwete kushiriki.

Kituo cha Redio TBC chini ya Tido Mhando kilikuwa kinafanya midahalo kwa wagombea mbalimbali Wa vyama kwa kuwakutanisha CCM iliwapiga marufuku wagombea wake kushiriki.

Hatimaye TIDO MHANDO aliondolewa TBC .Swali kwanini Leo CCM inataka mdahalo!Tunawashauri UKAWA WASISHIRIKI waenddesha Midahalo wote wamenunuliwa Na CCM kama ilivyofanya kwa TWAWEZA.

UKAWA MSISHIRIKI

Dr Slaa aliposema CHADEMA kimepoteza ajenda nadhani watu wengi hawakumwelewa! Mambo waliyokataa CCM miaka 10 iliyopita ndio CHADEMA wanatekeleza sasa! Mbaya zaidi, mambo waliyokuwa wanayakataa wao CHADEMA mfano ufisadi leo hii inakuwa shida hata kutamka neno hilo! Wamebaki kujificha kwenye mfumo wakati huo huo wamepokea wajenzi wa mfumo!
 
Dr Slaa aliposema CHADEMA kimepoteza ajenda nadhani watu wengi hawakumwelewa! Mambo waliyokataa CCM miaka 10 iliyopita ndio CHADEMA wanatekeleza sasa! Mbaya zaidi, mambo waliyokuwa wanayakataa wao CHADEMA mfano ufisadi leo hii inakuwa shida hata kutamka neno hilo! Wamebaki kujificha kwenye mfumo wakati huo huo wamepokea wajenzi wa mfumo!

Hakuna haja ya mdahalo hapa, siasa zenyewe za kiraghai hizo!! ni kipi ambacho ccm ataenda kukifafanua zaidi ili aeleweke? mgombea wa ccm eti naye anasema yaani madini ni ya kwetu ila wazungu wanafanya wanavyotaka kama wapo kwao!!! Kwa usanii huu mdahalo una maana gani? hiyo midahalo kwetu waafrika haitusaidii, kwani tuna siasa za usanii tupu, ila kwa wazungu ndio wanaweza na mgombea anaweza ongeza kura au punguza kura kupitia midahalo, hapa watu walishaamua nani atampigia jura basi. kwanza hata kampeni ni kupoteza muda tu, yanayoahidiwa karibu 80%muda una kwisha hayajatimizwa, anakuja na mengine tena mapya!!
 
Umesema kweli mkuu CCM inanuka rushwa kila kona Epa escrow rada madawa mpaka misaada imesitishwa watanzania amkeni ridhiwani anakula bats kwenda mbele
 
CCM mwaka 2005/2010 Na 2010/2015 wakati Mh.Kikwete anagombea Uraisi kukitolewa hoja ya kufanya Mdahalo kwa wagombea Uraisi kati ya Mh.Lipumba Wa CUF,Mh.Slaa Wa Chadema Na Nh.Kikwete Wa CCM.Chama cha Mapinduzi kilikataa Mh. Kikwete kushiriki.

Kituo cha Redio TBC chini ya Tido Mhando kilikuwa kinafanya midahalo kwa wagombea mbalimbali Wa vyama kwa kuwakutanisha CCM iliwapiga marufuku wagombea wake kushiriki.

Hatimaye TIDO MHANDO aliondolewa TBC .Swali kwanini Leo CCM inataka mdahalo!Tunawashauri UKAWA WASISHIRIKI waendesha Midahalo wote wamenunuliwa Na CCM kama ilivyofanya kwa TWAWEZA.

UKAWA MSISHIRIKI
Hayo si ndio mabadiliko tunayoyataka, sasa wewe bado unakazania mambo ya mwaka 47,mwaka huu tunatakwa wagombea uraisi wa vyama vikuu viwili vya CCM na Chadema wafanye mdaharo live,hakuna visingizio ,tena tunataka tuwe na muda wa kuwauliza maswali kuhusu shutumza za kifaisadi kwa wote wawili Magufuli na Lowassa,na tuwasikie wakijibu wao wenyewe kwa vinywa vyao,pia watueleze sera za vyama vyao na njia za kutekeleza ahadi zao haitoshi tu kusema wanafunzi watasoma bure hadi Chuo Kikuu,tuelezwe njia za kuwawezesha hao wanafunzi kusoma bure,hao hilo bomu la ajira tunataka tuambiwe jinsi ya kutuokoa tusilipuliwe nalo.Pia tuelezwe utajiri wao,mapato na biashara zao ambazo zipo kwenye daftari la maadili ya viongozi na zile mali zilizofichwa Uswisi pamoja na majumba yaliyopo London na kwingineko tuelezwe waliyapataje kwa biashara ipi wakati miaka yote wakiwa viongozi na sio wafanya biashara.
 
Mabadiliko ni ya ukawa CCM ni ile ile kama in mpya basi kanzu tu Shehe ni yule yule hakuna mdahalo
 
Back
Top Bottom