Torero
Senior Member
- Dec 22, 2017
- 122
- 138
Ndugu, nimeona leo bora niwaelezee utabiri wangu. Huu ya kwamba Mwana Body Paskali atagombania Ubunge katika moja ya majimbo Tanzania Bara kupitia CCM na atapitishwa na hatimae kushinda Uchaguzi.
Hii ni Elimu maalum ya utabiri ambayo Tanzania tunayo watu wachache sana.
Kwa Utabiri huu Paskal Mayala usinisahau japo kunialika kuja Dodoma kunywa kahawa walau siku moja!
Hii ni Elimu maalum ya utabiri ambayo Tanzania tunayo watu wachache sana.
Kwa Utabiri huu Paskal Mayala usinisahau japo kunialika kuja Dodoma kunywa kahawa walau siku moja!