Tunaomba mfike kwa wingi wakaazi wa dar,ubwabwa utakuwepo pia chama kimeandaa kofia kanga na t shirts za bure!
Hivi leo kuna mtanzania asiyejua mstakbar wa taifa hili chini ya uongozi wa ccm?.For sure Tanzania chini ya ccm ni kuelekea kuzimu maana all indicators(muungano,wizi wa madini,polisi mabomu na risasi zidi ya wananchi,religious extremisms na CCM) leading us to a total collapse as a nation.
Utahudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa na watazungumzia mustakabali wa taifa.
Source: tbc1
Tutegemee mitusi balaa!