Malata Junior
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 3,102
- 2,540
Hata mimi nimesikia kitu hicho kutoka kwa mzee mmoja huwa wanakodi maroli yake kubeba wananchi kwenda kwenye mikutano yao, ila wanadai mpaka jana JK alikuwa haja confirm kuwepo.
ngoja na mimi nihamishie fuso langu huko dar naweza kuambulia angalao trip tano,si haba inalipa!