CCM: Nani akienda Igunga atalikomboa jimbo?

CCM: Nani akienda Igunga atalikomboa jimbo?

nauliza nani akienda igunga jimbo litarudi CCM? Maana kwajinsi makada wote walivyo na uwezo sijui nimpendekeze nani.
CCM imekamilika utadhani Barcelona!
Rostam
 
Hapa anaweza kupatikana mgombea
 

Attachments

  • Igunga.png
    Igunga.png
    81.2 KB · Views: 59
Uelewa wa IGUNGA kwa wananchi bado mdogo kuna wajinga wengi sana na ndiyo mtaji wa CCM siku zote.

hayo unayosema sio ya kweli unless utuambie kama ulikua igunga na umeshudia hayo otherwise uache porojo za vijiweni.
 
Mpelekeni mwana magamba yeyote yule....lakini msiwaache Mrema,Cheyo na Shibuda ili wawasaidieni
kuwaponda wapinzani {hasa Cdadema} maana hawa wote 3 ukifungua ndani ya miyoyo yao utakutana
na neno....ccm aka magamba. Yaani wanajifanya wapinzani kumbe unafiki mtupu
 
Jk kawapiga mkwara viongozi wa kitaifa,yani wakienda tu jimbo linaenda upinzani,magamba wanakazi sana kujibu hoja za upinzani igunga.magamba wanataka kutumia mtaji wa njaa ya wananchi wa igunga kushinda.
 
nauliza nani akienda igunga jimbo litarudi CCM? Maana kwajinsi makada wote walivyo na uwezo sijui nimpendekeze nani.
CCM imekamilika utadhani Barcelona!

Ilikuwa wampeleke Robert Simon Kusena (bingwa wa madaluga) ila kwa bahati mbaya ameumia na bado Barcelona wanatafuta atakayechukua nafasi yake - tatizo moja tu, majeruhi wako wengi.
Hata hivyo mtama uko mwingi, wamwage tu kuku tushuhudie kukurukakara ya kufa mtu...oops, kuku.
 
Wazee wa ubwabwa,gahawa na kushinda vibarazani hawana makuu sana wao wanataka khanga(kwa wanawake)na kofia na t-shirts(kwa wanaume),labda kwa kuongezea na 0.5kg ya mchele,hapo hata akienda zumbukuku ni lazima ashinde..professional dependants!!
 
<br />
<br /
Nakugongea tano Mkuu. Yaani sijui watu wa Igunga wana nini na ngozi nyeupe[iheme i s/QUOTE]

nasikia tip tip yule mwarabu koko dalali wa biashara ya utumwa na pembe za ndovu alioa pale. wanamuenzi shemeji yao mpaka leo
 
ni RA mwenyewe labda lowasa, hao kina six, na kavuvuzela wala hawawezi kuthubutu. Hata hivyo, RA keshamwaga sumu, lazima alipe kisasi awatose, tatizo ni kwamba naye ni mjanja lazima ataogopa wakichukua oposition wanaweza kumbasna baadae, nahisi watamuweka somebody ambase ni mfuassi wake, utamu ni kwamba six nae atapenda awekwe mtu wake si unajua ni mkoa mmoja? Hiyo vita ndo itatupa muelekeo. Tusubiri nominees ndo mjadala utanoga
 
Hata wao wanaogopa ndiyo maana wamesema wilaya isimamie na mkoa, taifa wao ni kuongeza nguvu kidogo tu!
Ila kazi wanayo CUF anaweza kulirudisha jimbo CCM kama alivyofanya Tarime
 
Mimi nafikiri mmesahau RA alishinda kwa tofauti ya kura kiasi gani.. hata hivyo ili kuiangusha ccm kuna haja ya wapinzani kuungana vinginevyo tutagawa kura
 
Back
Top Bottom