GE2025 CCM na ze comedy ni Abdallah na Dullah au Ismail na Suma

GE2025 CCM na ze comedy ni Abdallah na Dullah au Ismail na Suma

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mingendeu

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
293
Reaction score
569
Hivi ni kweli CCM imekosa viongozi wa dini wa kuomba neema ya Mungu katika ufunguzi wa kampeni leo??

Mwamposa amejitahidi kusimama kama mtumishi wa Mungu, Sala/ Dua amezielekeza vizuri.

Yule shekhe na Hananja. Dua/ Sala zao hadi nimecheka. Kenani Kihongosi nae alijisahau kama ni Sala eti akaamua kupiga makofi kuipongeleza iliyotambulishwa sala kutoka kwa Hananja.

CCM wanatuletea maigizo kwenye uongozi hadi kwenye maswala ya kiimani.

Mungu fanya jambo.
 
Hivi ni kweli CCM imekosa viongozi wa dini wa kuomba neema ya Mungu katika ufunguzi wa kampeni leo??

Mwamposa amejitahidi kusimama kama mtumishi wa Mungu, Sala/ Dua amezielekeza vizuri.

Yule shekhe na Hananja. Dua/ Sala zao hadi nimecheka. Kenani Kihongosi nae alijisahau kama ni Sala eti akaamua kupiga makofi kuipongeleza iliyotambulishwa sala kutoka kwa Hananja.

CCM wanatuletea maigizo kwenye uongozi hadi kwenye maswala ya kiimani.

Mungu fanya jambo.
Hivi viongozi wa katoliki hawakuwepo?huku kwetu hakuna umeme
 
Hivi ni kweli CCM imekosa viongozi wa dini wa kuomba neema ya Mungu katika ufunguzi wa kampeni leo??

Mwamposa amejitahidi kusimama kama mtumishi wa Mungu, Sala/ Dua amezielekeza vizuri.

Yule shekhe na Hananja. Dua/ Sala zao hadi nimecheka. Kenani Kihongosi nae alijisahau kama ni Sala eti akaamua kupiga makofi kuipongeleza iliyotambulishwa sala kutoka kwa Hananja.

CCM wanatuletea maigizo kwenye uongozi hadi kwenye maswala ya kiimani.

Mungu fanya jambo.
IMG-20250828-WA0066.jpg
 
..mambo ya dua, na salamu za kidini, yasipewe nafasi katika shughuli za kisiasa, na kiserikali.

..kumtumia Mchungaji Hananja kuomba dua ni kukosa umakini.
 
Hivi ni kweli CCM imekosa viongozi wa dini wa kuomba neema ya Mungu katika ufunguzi wa kampeni leo??

Mwamposa amejitahidi kusimama kama mtumishi wa Mungu, Sala/ Dua amezielekeza vizuri.

Yule shekhe na Hananja. Dua/ Sala zao hadi nimecheka. Kenani Kihongosi nae alijisahau kama ni Sala eti akaamua kupiga makofi kuipongeleza iliyotambulishwa sala kutoka kwa Hananja.

CCM wanatuletea maigizo kwenye uongozi hadi kwenye maswala ya kiimani.

Mungu fanya jambo.
Mwamedi na Mudi 🎵 🎶
 
Hivi ni kweli CCM imekosa viongozi wa dini wa kuomba neema ya Mungu katika ufunguzi wa kampeni leo??

Mwamposa amejitahidi kusimama kama mtumishi wa Mungu, Sala/ Dua amezielekeza vizuri.

Yule shekhe na Hananja. Dua/ Sala zao hadi nimecheka. Kenani Kihongosi nae alijisahau kama ni Sala eti akaamua kupiga makofi kuipongeleza iliyotambulishwa sala kutoka kwa Hananja.

CCM wanatuletea maigizo kwenye uongozi hadi kwenye maswala ya kiimani.

Mungu fanya jambo.
Wanaposema sema tusichanganye dini na siasa huwa nashindwa kuelewa
 
Hivi ni kweli CCM imekosa viongozi wa dini wa kuomba neema ya Mungu katika ufunguzi wa kampeni leo??

Mwamposa amejitahidi kusimama kama mtumishi wa Mungu, Sala/ Dua amezielekeza vizuri.

Yule shekhe na Hananja. Dua/ Sala zao hadi nimecheka. Kenani Kihongosi nae alijisahau kama ni Sala eti akaamua kupiga makofi kuipongeleza iliyotambulishwa sala kutoka kwa Hananja.

CCM wanatuletea maigizo kwenye uongozi hadi kwenye maswala ya kiimani.

Mungu fanya jambo.
Laana inawatafuna
Screenshot_20250829-090807~2.png
 
Hananja yule mvuta bangi ndiyo CCM wanamuona mtu wa maana hovyo kabisa
Yaani yule mzee alianzaga vizuri, alikuwa anahubiri neno vizuri tu, kuna muda ilifika point hata kuwakosoa baadhi ya wachungaji na manabii wenzie. Ila Leo hii sijui amekumbwa na nin, jana ndio amejivua nguo kabisaa
 
Yaani yule mzee alianzaga vizuri, alikuwa anahubiri neno vizuri tu, kuna muda ilifika point hata kuwakosoa baadhi ya wachungaji na manabii wenzie. Ila Leo hii sijui amekumbwa na nin, jana ndio amejivua nguo kabisaa
Sifa kubwa ya kuwa mwanaccm ni kujitoa akili
20240824_025055.jpg
FB_IMG_1604027510826.jpg
 
Back
Top Bottom