Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,193
Mimi ni mzee, lakini piga ua galagaza hunipeleki ccm maana haiko katika misingi iliyoasisiwa.chama kimezeeka na wanachama wake lazima wawe wazee
Mimi ni mzee, lakini piga ua galagaza hunipeleki ccm maana haiko katika misingi iliyoasisiwa.chama kimezeeka na wanachama wake lazima wawe wazee
Hapa ipo kazi, ila CCM ikae macho.
Akizungumza na waandishi wa habari jana baada ya sakata la kukamatwa kwa vijana wa Chadema kutoka Mwanza, Makamba alisema CCM hakina shaka ya ushindi kwani mtaji wake upo kwa makundi ya wanawake na watu wazima... "Wapiga kura wetu ni wale wanaopenda amani ambao ni kina mama na watu wazima, wenzetu wanalijua hilo kuwa nguvu ya CCM iko kwa kina mama na watu wazima."
Kama ni hivyo basi haiwezi kuchukua nchi hii hata siku moja, kwa takwimu wanawake ni zaidi ya 58%
Na katika hiyo 58 perecent ya wanawake kuna vijana pia, hadi inafika 2015 kitaeleweka tu na tunaendelea ku invest kwa vijana.
Mimi ni mzee, lakini piga ua galagaza hunipeleki ccm maana haiko katika misingi iliyoasisiwa.
Ni vema ikainvest kwa vijana wapenda amani na si ku invest kwa mabaunsa wa Billicanas, Makumbusho ama Maisha Club. CDM ni vema wakajiepusha na fujo. Wanaweza wakachukua nchi lakini kesho yake Ocampo akafika na kuwanyakua kwenda nao huko The Heague.
Ni vema ikainvest kwa vijana wapenda amani na si ku invest kwa mabaunsa wa Billicanas, Makumbusho ama Maisha Club. CDM ni vema wakajiepusha na fujo. Wanaweza wakachukua nchi lakini kesho yake Ocampo akafika na kuwanyakua kwenda nao huko The Heague.
Naona siku hizi unaifaigilia CCM kwa bidii sanaNi kwa yanayotokea Igunga,hakika vijana wamevumilia na sasa wameamua kukata shauri la kukiwajibisha CCM na sasa ni wazee tu ndo wanaoonekana wakiwa wanamsikiliza Kafumu huku vijana wakiamsha vidole 2 vya CDM....kwa vile vijana ndo injini na ndo wanamapinduzi popote pale basi CCM waachie tu,waige ya Zambia
Mkuu unahitaji kuelewa neno moja tu na kujua kwamba sikuwa napinga tu, nilikuwa nasononeshwa na utawala wa wakati huo lakini nchi yangu ni Tz. Siku mambo yakiwa mazuri siitaji kuikashifu nchi yangu. ...so far, there is no permanent situationNaona siku hizi unaifaigilia CCM kwa bidii sana