CCM na ufisadi Tanzania

CCM na ufisadi Tanzania

11. Iptl
12. Twin towers BOT
13. Pembe za ndovu kwenye ndege ya rais wa China.
14. Loliondogate
15. Chavda na mashamba ya mikonge.
 
Ukija kwenye mbuga wafanya ufisadi
Kwenye misitu wanafanya ufisadi
Kwenye madini wanafanya ufisadi
Kwenye nishati wanafanya ufisadi
Kwenye leseni wanafanya ufisadi
TRA wanafanya ufisadi
Bandarini wanafanya ufisadi
Kwenye ardhi ni ufisadi
Kwenye mifugo ni ufisadi
Kwenye kilimo ni ufisadi
Kwenye fedha ni ufisadi
Kwenye bunge ni ufisadi
Kwenye sheria ni ufisadi
Kwenye mahakama ni ufisadi
Kwenye urais ni ufisadi
Ikulu ni ufisadi
Usafi ni ufisadi tu
Tanesco ni ufisadi tu
Sijui ni sehemu gani ccm hawajapiga ufisadi

Maskini Tanganyika yangu
 
ccm sio fisadi watu ndio mafisadi wakiongozwa na lowasa na mbowe kwa kuficha pesa nje
 
ccm sio fisadi watu ndio mafisadi wakiongozwa na lowasa na mbowe kwa kuficha pesa nje

Aliyeleta hii mada anaitwa Kimario ni mtu wa Kilimanjaro anakotoka Mbowe huyo kazi yake ni kusifia Mbowe na CHADEMA na kutukana CCM
 
Aliyeleta hii mada anaitwa Kimario ni mtu wa Kilimanjaro anakotoka Mbowe huyo kazi yake ni kusifia Mbowe na CHADEMA na kutukana CCM

Penye ukweli ni maths!!
Ccm ndio imetufikisha hapa na watu wake
 
ccm sio fisadi watu ndio mafisadi wakiongozwa na lowasa na mbowe kwa kuficha pesa nje
Tena Mbowe huyu huyu mwenyekiti wa CHADEMA aliongoza wanaccm kwenye Bunge la katiba kuikataa rasmu ya pili ya katiba iliyotaka viongozi wa umma wasiwe na account nje ya nchi.
 
ccm sio fisadi watu ndio mafisadi wakiongozwa na lowasa na mbowe kwa kuficha pesa nje
Mbaya zaidi watu hawa wamekuwa juu ya serikali yoyote iliyowahi kuundwa na Serikali ya CCM in 54 years ya Uhuru
 
Watu ni ccm na ccm ni watu
Utakwepa vipi hapa
Ccm inajiendesha yenyewe bila rasilimali watu??
 
Richmond walitajwa wana CCM

Kagoda na Tangold walitajwa wana CCM

Tegeta Escrow walitajwa wana CCM

Mikataba ya hovyo ya madini wanatajwa wana CCM

Kashfa ya Lugumi walitajwa wana CCM

Manunuzi ya Radar ni wana CCM

Fedha za EPA walitajwa wana CCM

Ununuzi wa boti mbovu wanatajwa wana CCM

ARV feki walitajwa wana CCM

Sare hewa za Jeshi la Polisi wanatajwa wana CCM

Mauzo ya mali za UDA kwenda UDART walitajwa wana CCM

Kwani kwenye hiki chama cha Mapinduzi kuna chuo cha kujifunza kufanya ufisadi?
 
CCM ni kisima cha mafisadi.

huwezi kutenganisha CCM na ufisadi na ndiyomaana hawataki mabadiliko ya katiba kwasababu inawabeba mafisadi.
 
Richmond walitajwa wana CCM

Kagoda na Tangold walitajwa wana CCM

Tegeta Escrow walitajwa wana CCM

Mikataba ya hovyo ya madini wanatajwa wana CCM

Kashfa ya Lugumi walitajwa wana CCM

Manunuzi ya Radar ni wana CCM

Fedha za EPA walitajwa wana CCM

Ununuzi wa boti mbovu wanatajwa wana CCM

ARV feki walitajwa wana CCM

Sare hewa za Jeshi la Polisi wanatajwa wana CCM

Mauzo ya mali za UDA kwenda UDART walitajwa wana CCM

Kwani kwenye hiki chama cha Mapinduzi kuna chuo cha kujifunza kufanya ufisadi?

Chama hiki Sera na Ilani zake zimejikita kwenye haya yafuatayo:

1.Mauaji
2.Utekaji
3.Utesahi
4.Ufisadi
5.Rushwa kubwa na ndogo.
6.Wizi wa Raslimali za Taifa.
7.Manunuzi hewa.
8.Ujangili
 
Back
Top Bottom