CCM na ufisadi Tanzania

CCM na ufisadi Tanzania

tajirijasiri

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
2,863
Reaction score
3,854
1. Escrow
2. Epa
3. Kiwira
4. Kagoda
5. Richmond/Dowans (japo walimtoa kafara Lowassa ili hali ilikuwa amri toka juu ktk Uongozi wa Serikali ya CCM)
6. Twiga
7. Nyumba za Umma
8. Ferry Boat (FB) a.k.a Marine Vessel (MV) Dar Es Salaam chakavu.
9. Mishahara hewa.
10. Meremeta

Taja nyingine!
 
Buzwagi
Mabehewa mabovu
Meno ya tembo
Mamilioni ya jk



Tafakari...
 
Daaaah alaf malofa tumenyaza tu mpaka tunatukanwa.Ila ipo cku mungu atackia kilio chetu
 
walikuwa wanatafuna fedha za umma wakat mchakato ulishaharibika, rasimu ya mwananch ikatupwa pemben

Serikali ya ukawa ikisha ingia madarakani rasimu ya warioba ndio mpango mzima
 
nayo ni ufisad????

Kwa nini isiwe ni ufisadi kwani gharama zote zilizotumika zimepotea bure katiba iliyopitishwa ni ya CCM na kamwe haitakubaliwa na wananchi.na ni wazi CCM wametumia fedha za umma kutengeneza katiba yao.
 
1. Escrow
2. Epa
3. Kiwira
4. Kagoda
5. Richmond/Dowans (japo walimtoa kafara Lowassa ili hali ilikuwa amri toka juu ktk Uongozi wa Serikali ya CCM)
6. Twiga
7. Nyumba za Umma
8. Ferry Boat (FB) a.k.a Marine Vessel (MV) Dar Es Salaam chakavu.
9. Mishahara hewa.
10. Meremeta

Taja nyingine!

11. Rada mbovu ya change
12. Ununuzi wa ndege ya rais hadi tukala nyasi
13. Ujenzi wa Majengo pacha ya BOT
14. Utengenezaji wa fedha feki wakati Kikwete akibadilisha fedha
 
Serikali ya ukawa ikisha ingia madarakani rasimu ya warioba ndio mpango mzima

Hatuitaki tena kwani Polepole na Warioba wameisha inajisi itabidi mchakato uanze upya kabisa
 
Sita kachezea kodi zetu kabisa bila hata ya huruma sabb alijua hata rud mjengon akaamua kulazimisha na tunampigia dua na mkewe akose ubunge ili wakasimamie mirad yao kwa ufasaha
 
Kwa nini isiwe ni ufisadi kwani gharama zote zilizotumika zimepotea bure katiba iliyopitishwa ni ya CCM na kamwe haitakubaliwa na wananchi.na ni wazi CCM wametumia fedha za umma kutengeneza katiba yao.
hii ndo aina ya watu waliobak kuishabikia ccm yan ht kuchanganua mambo hawawez, nashukuru kwa kumuelimisha
 
Sita kachezea kodi zetu kabisa bila hata ya huruma sabb alijua hata rud mjengon akaamua kulazimisha na tunampigia dua na mkewe akose ubunge ili wakasimamie mirad yao kwa ufasaha

Ununuaji wa jengo la Ubalozi wa Tanzania Roma, nchini Italia, Mkapa kalishupalia hadi kuwasafisha mafisadi wenzake .. Mahalu na Grace Martini (Grace Ololu) Tujikumbushe kuwa: Mkapa alipokuwa Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Je wajua kuwa Mahalu alikuwa nani..? Jibu analo kila Mtanzania mwenye nia njema ya kuindoa ccm madarakani:
 
Alafu SLAA na POLEPOLE naona wanaongelea ufisadi mmoja tu.
 
Ni ufisadi kwani walipeleka wapi posho za wabunge wa ukawa waliosusia kikao

halafu hiyo katiba itaanza upya
 
1. Escrow
2. Epa
3. Kiwira
4. Kagoda
5. Richmond/Dowans (japo walimtoa kafara Lowassa ili hali ilikuwa amri toka juu ktk Uongozi wa Serikali ya CCM)
6. Twiga
7. Nyumba za Umma
8. Ferry Boat (FB) a.k.a Marine Vessel (MV) Dar Es Salaam chakavu.
9. Mishahara hewa.
10. Meremeta

Taja nyingine!


Richmond umeisahau?

Hapo sasa!
 
Back
Top Bottom