PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,074
- 1,856
- Wanafunzi wa form 6 kulipia mtihani kwa gharama kubwa ya elf 50
- Maji kuuziwa unit 1 kwa Bei ya kuanzia 800- 1200
- Wajawazito kununua vifaa vya kujifungulia
- Kulipia gharama za kununua kiwanja cha makazi au shamba kwa mwenyekiti wa mtaa/ kitongoji
- Kusajili shule au taasisi lazima ulipie gharama kubwa kana kwamba Watumishi wale hawalipwi mishahara
- Mihuri ya mahakama kulipiwa na wananchi pale wanapokuwa na shida kama vile wanafunzi/ ukipoteza laini ama kiapo fulani
- kuuziwa mchanga/ mawe ya kujengea ambayo yanatolewa milimani kwa gharama kubwa alikhari Ni miongoni mwa Mali za wananchi, Serikali haisimamii Bei maalum
- Vifurushi vya mitandao ya simu kuuzwa kwa Bei kubwa, mfano, Tsh. 500 mtu anapewa dk 30 tu 😂😂 masaa 24? Serikali ipo kimya
Hayo Ni baadhi tu, wananchi walishazoea nakuona Kama Ni Mambo ya kawaida maishani mwao.
- Maji kuuziwa unit 1 kwa Bei ya kuanzia 800- 1200
- Wajawazito kununua vifaa vya kujifungulia
- Kulipia gharama za kununua kiwanja cha makazi au shamba kwa mwenyekiti wa mtaa/ kitongoji
- Kusajili shule au taasisi lazima ulipie gharama kubwa kana kwamba Watumishi wale hawalipwi mishahara
- Mihuri ya mahakama kulipiwa na wananchi pale wanapokuwa na shida kama vile wanafunzi/ ukipoteza laini ama kiapo fulani
- kuuziwa mchanga/ mawe ya kujengea ambayo yanatolewa milimani kwa gharama kubwa alikhari Ni miongoni mwa Mali za wananchi, Serikali haisimamii Bei maalum
- Vifurushi vya mitandao ya simu kuuzwa kwa Bei kubwa, mfano, Tsh. 500 mtu anapewa dk 30 tu 😂😂 masaa 24? Serikali ipo kimya
Hayo Ni baadhi tu, wananchi walishazoea nakuona Kama Ni Mambo ya kawaida maishani mwao.