Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Inaonekana CCM wameanza kamchezo ka kuwagawia sana pipi watoto kila wanapokwenda.....
Je hii inaonyesha ni upendo kwa watoto hao au kuna nia nyingine maana hawa watoto hata kura hawapigi kwa hiyo siwezi kusema wanafanya hivyo ili wapigiwe kura.
Vitoto vyote viko hoi si kawaida. Heri hata ya vile vinaletwa kwa Rais maana vinakuwa vimeandaliwa ila hivi vya Nape, nywele kipilipili kama AVATAR ya Nyani Ngambu...... Nakaribisha wachambuzi wa picha.....
Je hii inaonyesha ni upendo kwa watoto hao au kuna nia nyingine maana hawa watoto hata kura hawapigi kwa hiyo siwezi kusema wanafanya hivyo ili wapigiwe kura.
Vitoto vyote viko hoi si kawaida. Heri hata ya vile vinaletwa kwa Rais maana vinakuwa vimeandaliwa ila hivi vya Nape, nywele kipilipili kama AVATAR ya Nyani Ngambu...... Nakaribisha wachambuzi wa picha.....