CCM na Newtons laws of motion

xaracter

JF-Expert Member
Jul 28, 2015
1,026
606
Wana jamvi nimekumbuka O-level physics nai-apply kwenye siasa kwa wakati uliopo!

Newtons First law of motion:
Newton's first law states that every object will remain at rest or in uniform motion in a straight line unless compelled to change its state by the action of an external force.

Chama tawala kimekuwapo madarakani tokea uhuru wamekuwa wakifanya mambo kwa njia fulani miaka yote lakini katika utawala huu wamebadili mbinu , Najiuliza ni nini kinawafanya Chama tawala kubadili mikakati na kuanza kununua upinzani,kutumia risasi na kuua inapobidi.

Nini kimewa-compell na hiyo force ni force ya aina gani je ni ya ndani ya chama au nje ya chama na nini kitatokea hatimaye.Kwa nini wanatumia nguvu yote hii kwa upinzani wenye wabunge wachache!

The second law explains how the velocity of an object changes when it is subjected to an external force. The law defines a force to be equal to change in momentum (mass times velocity) per change in time. Momentum ime-change nini kitatokea note force to be equal to change in momentum.Inaelekea nguvu iliyo nyuma ya haya mabadiliko si haba

The third law states that for every action (force) in nature there is an equal and opposite reaction. In other words, if object A exerts a force on object B, then object B also exerts an equal force on object A.

Hii ni reaction kutokana na something!Kuna kitu kinawafanya wafanye haya wanayoyafanya,je ni hofu? kutokukubalika?au ndio wamefikia mwisho,au ni mwanzo wa mwisho.Something is wrong somewhere!
 
Ahsante sanah Mkuu hii.mifano.ingekuwa inatolewa shule hizi Newtons law ingekuwa ni.kama.namsukuma.mlevi..

Umeelezea vizuri sanah mwana
 
Huwezi kuiondoa CCM kwa Matusi, vurugu .waeleze wananchi nini utakifanya ukipewa ridhaa ya kuongoza.uwezo waambia watu utawaletea maendeleo wakati Chama pinzani hakina ata ofisi.Huwezi kua na chama viongozi wanagawana nafasi na wapenzi wao. Kuiondoa CCM inatakiwa ujikite kwenye kukosoa na kuonyesha njia kwa vitendo.
 
Huwezi kuiondoa CCM kwa Matusi, vurugu .waeleze wananchi nini utakifanya ukipewa ridhaa ya kuongoza.uwezo waambia watu utawaletea maendeleo wakati Chama pinzani hakina ata ofisi.Huwezi kua na chama viongozi wanagawana nafasi na wapenzi wao. Kuiondoa CCM inatakiwa ujikite kwenye kukosoa na kuonyesha njia kwa vitendo.
Nonsense..
 
Wana jamvi nimekumbuka O-level physics nai-apply kwenye siasa kwa wakati uliopo!

Newtons First law of motion:
Newton's first law states that every object will remain at rest or in uniform motion in a straight line unless compelled to change its state by the action of an external force.

Chama tawala kimekuwapo madarakani tokea uhuru wamekuwa wakifanya mambo kwa njia fulani miaka yote lakini katika utawala huu wamebadili mbinu , Najiuliza ni nini kinawafanya Chama tawala kubadili mikakati na kuanza kununua upinzani,kutumia risasi na kuua inapobidi.

Nini kimewa-compell na hiyo force ni force ya aina gani je ni ya ndani ya chama au nje ya chama na nini kitatokea hatimaye.Kwa nini wanatumia nguvu yote hii kwa upinzani wenye wabunge wachache!

The second law explains how the velocity of an object changes when it is subjected to an external force. The law defines a force to be equal to change in momentum (mass times velocity) per change in time. Momentum ime-change nini kitatokea note force to be equal to change in momentum.Inaelekea nguvu iliyo nyuma ya haya mabadiliko si haba

The third law states that for every action (force) in nature there is an equal and opposite reaction. In other words, if object A exerts a force on object B, then object B also exerts an equal force on object A.

Hii ni reaction kutokana na something!Kuna kitu kinawafanya wafanye haya wanayoyafanya,je ni hofu? kutokukubalika?au ndio wamefikia mwisho,au ni mwanzo wa mwisho.Something is wrong somewhere!
Kutokukubalika
 
Mungu wakwetu sote, Dunia ya kwetu sote.....waache wa act kama Miungu watu na kujimilikisha hii Dunia......time will tell
 
Huwezi kuiondoa CCM kwa Matusi, vurugu .waeleze wananchi nini utakifanya ukipewa ridhaa ya kuongoza.uwezo waambia watu utawaletea maendeleo wakati Chama pinzani hakina ata ofisi.Huwezi kua na chama viongozi wanagawana nafasi na wapenzi wao. Kuiondoa CCM inatakiwa ujikite kwenye kukosoa na kuonyesha njia kwa vitendo.
Ccm ilishajifia labda upinzani upambane na policcm.
 
Huwezi kuiondoa CCM kwa Matusi, vurugu .waeleze wananchi nini utakifanya ukipewa ridhaa ya kuongoza.uwezo waambia watu utawaletea maendeleo wakati Chama pinzani hakina ata ofisi.Huwezi kua na chama viongozi wanagawana nafasi na wapenzi wao. Kuiondoa CCM inatakiwa ujikite kwenye kukosoa na kuonyesha njia kwa vitendo.
Ccm ilishajifia labda upinzani upambane na policcm.
 
Inasikitisha sana...

Newtons third law of motion siyo nzuri kui-apply kabisa...

Hiyo ni piga nikupige...

cc: mahondaw
 
Huwezi kuiondoa CCM kwa Matusi, vurugu .waeleze wananchi nini utakifanya ukipewa ridhaa ya kuongoza.uwezo waambia watu utawaletea maendeleo wakati Chama pinzani hakina ata ofisi.Huwezi kua na chama viongozi wanagawana nafasi na wapenzi wao. Kuiondoa CCM inatakiwa ujikite kwenye kukosoa na kuonyesha njia kwa vitendo.
Kwasababu ni kwaresma, nimechagua kukuombea Mungu apate kukufungua akili.
 
Huwezi kuiondoa CCM kwa Matusi, vurugu .waeleze wananchi nini utakifanya ukipewa ridhaa ya kuongoza.uwezo waambia watu utawaletea maendeleo wakati Chama pinzani hakina ata ofisi.Huwezi kua na chama viongozi wanagawana nafasi na wapenzi wao. Kuiondoa CCM inatakiwa ujikite kwenye kukosoa na kuonyesha njia kwa vitendo.
True
 
Kwa sasa itakayokuja kumaliza tatizo ni kanuni ya tatu isemayo;To every action there is an equal and opposite reaction.
 
Wana jamvi nimekumbuka O-level physics nai-apply kwenye siasa kwa wakati uliopo!

Newtons First law of motion:
Newton's first law states that every object will remain at rest or in uniform motion in a straight line unless compelled to change its state by the action of an external force.

Chama tawala kimekuwapo madarakani tokea uhuru wamekuwa wakifanya mambo kwa njia fulani miaka yote lakini katika utawala huu wamebadili mbinu , Najiuliza ni nini kinawafanya Chama tawala kubadili mikakati na kuanza kununua upinzani,kutumia risasi na kuua inapobidi.

Nini kimewa-compell na hiyo force ni force ya aina gani je ni ya ndani ya chama au nje ya chama na nini kitatokea hatimaye.Kwa nini wanatumia nguvu yote hii kwa upinzani wenye wabunge wachache!

The second law explains how the velocity of an object changes when it is subjected to an external force. The law defines a force to be equal to change in momentum (mass times velocity) per change in time. Momentum ime-change nini kitatokea note force to be equal to change in momentum.Inaelekea nguvu iliyo nyuma ya haya mabadiliko si haba

The third law states that for every action (force) in nature there is an equal and opposite reaction. In other words, if object A exerts a force on object B, then object B also exerts an equal force on object A.

Hii ni reaction kutokana na something!Kuna kitu kinawafanya wafanye haya wanayoyafanya,je ni hofu? kutokukubalika?au ndio wamefikia mwisho,au ni mwanzo wa mwisho.Something is wrong somewhere!
Siku Wananchi wakiamua kutumia Newton's third law of motion dhidi ya Polisi nafikiri siku hiyo ndiyo itakuwa mwisho wa CCM, "Magogoni", bashite na Mburula wengine. Hii itaitwa "Piga nikupige"
 
Huwezi kuiondoa CCM kwa Matusi, vurugu .waeleze wananchi nini utakifanya ukipewa ridhaa ya kuongoza.uwezo waambia watu utawaletea maendeleo wakati Chama pinzani hakina ata ofisi.Huwezi kua na chama viongozi wanagawana nafasi na wapenzi wao. Kuiondoa CCM inatakiwa ujikite kwenye kukosoa na kuonyesha njia kwa vitendo.
Kibajaji anakosoa nini zaidi ya matusi?
 
Wana jamvi nimekumbuka O-level physics nai-apply kwenye siasa kwa wakati uliopo!

Newtons First law of motion:
Newton's first law states that every object will remain at rest or in uniform motion in a straight line unless compelled to change its state by the action of an external force.

Chama tawala kimekuwapo madarakani tokea uhuru wamekuwa wakifanya mambo kwa njia fulani miaka yote lakini katika utawala huu wamebadili mbinu , Najiuliza ni nini kinawafanya Chama tawala kubadili mikakati na kuanza kununua upinzani,kutumia risasi na kuua inapobidi.

Nini kimewa-compell na hiyo force ni force ya aina gani je ni ya ndani ya chama au nje ya chama na nini kitatokea hatimaye.Kwa nini wanatumia nguvu yote hii kwa upinzani wenye wabunge wachache!

The second law explains how the velocity of an object changes when it is subjected to an external force. The law defines a force to be equal to change in momentum (mass times velocity) per change in time. Momentum ime-change nini kitatokea note force to be equal to change in momentum.Inaelekea nguvu iliyo nyuma ya haya mabadiliko si haba

The third law states that for every action (force) in nature there is an equal and opposite reaction. In other words, if object A exerts a force on object B, then object B also exerts an equal force on object A.

Hii ni reaction kutokana na something!Kuna kitu kinawafanya wafanye haya wanayoyafanya,je ni hofu? kutokukubalika?au ndio wamefikia mwisho,au ni mwanzo wa mwisho.Something is wrong somewhere!
Kw uandishi wako huu inaonyesha hujui kiswahili vzr!!!??? Au hujui kiingereza vizuri!!?? Au hujui lolote kbs??!!
 
Huwezi kuiondoa CCM kwa Matusi, vurugu .waeleze wananchi nini utakifanya ukipewa ridhaa ya kuongoza.uwezo waambia watu utawaletea maendeleo wakati Chama pinzani hakina ata ofisi.Huwezi kua na chama viongozi wanagawana nafasi na wapenzi wao. Kuiondoa CCM inatakiwa ujikite kwenye kukosoa na kuonyesha njia kwa vitendo.
Ikifikia maoni kama haya huwa nawaza sana je tanzania tuna laana au wehu kama wewe mpowengi?
 
Huwezi kuiondoa CCM kwa Matusi, vurugu .waeleze wananchi nini utakifanya ukipewa ridhaa ya kuongoza.uwezo waambia watu utawaletea maendeleo wakati Chama pinzani hakina ata ofisi.Huwezi kua na chama viongozi wanagawana nafasi na wapenzi wao. Kuiondoa CCM inatakiwa ujikite kwenye kukosoa na kuonyesha njia kwa vitendo.
CLEAR NONESENSE
 
Back
Top Bottom