CCM na Newtons laws of motion

Ni nani mwenye matusi zaidi kati ya oppositin na mafisi. Kuua wananchi wakiwa wapinzani ama wanafunzi wote ni wananchi. Hayo ni matusi makubwa kwa wapiga kura. Uliona Kinondoni? Baada ya kuuawa watu tarehe 16 wangapi walipiga kura tarehe 17? Asili mia 17. Je unaweza kusema kuwa kuna ushiriki hapo? Nani kam hagua huyo aliyechaguliwa? 11% ya watu wote wa kinondoni. Yaani watu 11 kwa kila mia. Hii ni hatari sana. Ni mtu asiyechaguliwa na watu. Kama moja alivyosema agafanye kazi ikulu.
 
Huwezi kuiondoa CCM kwa Matusi, vurugu .waeleze wananchi nini utakifanya ukipewa ridhaa ya kuongoza.uwezo waambia watu utawaletea maendeleo wakati Chama pinzani hakina ata ofisi.Huwezi kua na chama viongozi wanagawana nafasi na wapenzi wao. Kuiondoa CCM inatakiwa ujikite kwenye kukosoa na kuonyesha njia kwa vitendo.
Ndio maana siku hizi mnafeli sana mbona majibu yako hayafanani na swali uliloulizwa na mtoa mada? Unaulizwa ni kitu gani kimeifanya CCM ianze kutembea barabarani huku inaogea peke yake! Wakati huko nyuma haikuwa tabia yake,
"uwendawazimu wa CCM umesababisha na nini" hilo ndio lilikuwa swali.
Nadhani mpaka hapo umeelewa jibu sasa.
 
Wana jamvi nimekumbuka O-level physics nai-apply kwenye siasa kwa wakati uliopo!

Newtons First law of motion:
Newton's first law states that every object will remain at rest or in uniform motion in a straight line unless compelled to change its state by the action of an external force.

Chama tawala kimekuwapo madarakani tokea uhuru wamekuwa wakifanya mambo kwa njia fulani miaka yote lakini katika utawala huu wamebadili mbinu , Najiuliza ni nini kinawafanya Chama tawala kubadili mikakati na kuanza kununua upinzani,kutumia risasi na kuua inapobidi.

Nini kimewa-compell na hiyo force ni force ya aina gani je ni ya ndani ya chama au nje ya chama na nini kitatokea hatimaye.Kwa nini wanatumia nguvu yote hii kwa upinzani wenye wabunge wachache!

The second law explains how the velocity of an object changes when it is subjected to an external force. The law defines a force to be equal to change in momentum (mass times velocity) per change in time. Momentum ime-change nini kitatokea note force to be equal to change in momentum.Inaelekea nguvu iliyo nyuma ya haya mabadiliko si haba

The third law states that for every action (force) in nature there is an equal and opposite reaction. In other words, if object A exerts a force on object B, then object B also exerts an equal force on object A.

Hii ni reaction kutokana na something!Kuna kitu kinawafanya wafanye haya wanayoyafanya,je ni hofu? kutokukubalika?au ndio wamefikia mwisho,au ni mwanzo wa mwisho.Something is wrong somewhere!
.
c4db36dcb6ccc29360b51f28adbcef44.jpg
 
Wana jamvi nimekumbuka O-level physics nai-apply kwenye siasa kwa wakati uliopo!

Newtons First law of motion:
Newton's first law states that every object will remain at rest or in uniform motion in a straight line unless compelled to change its state by the action of an external force.

Chama tawala kimekuwapo madarakani tokea uhuru wamekuwa wakifanya mambo kwa njia fulani miaka yote lakini katika utawala huu wamebadili mbinu , Najiuliza ni nini kinawafanya Chama tawala kubadili mikakati na kuanza kununua upinzani,kutumia risasi na kuua inapobidi.

Nini kimewa-compell na hiyo force ni force ya aina gani je ni ya ndani ya chama au nje ya chama na nini kitatokea hatimaye.Kwa nini wanatumia nguvu yote hii kwa upinzani wenye wabunge wachache!

The second law explains how the velocity of an object changes when it is subjected to an external force. The law defines a force to be equal to change in momentum (mass times velocity) per change in time. Momentum ime-change nini kitatokea note force to be equal to change in momentum.Inaelekea nguvu iliyo nyuma ya haya mabadiliko si haba

The third law states that for every action (force) in nature there is an equal and opposite reaction. In other words, if object A exerts a force on object B, then object B also exerts an equal force on object A.

Hii ni reaction kutokana na something!Kuna kitu kinawafanya wafanye haya wanayoyafanya,je ni hofu? kutokukubalika?au ndio wamefikia mwisho,au ni mwanzo wa mwisho.Something is wrong somewhere!
No regime have ever been removed from power or go down without a force.
But the leaders of this regime are not themselves, they have taken many lives of innocent citizens.
Killing changes you, it takes away piece of your soul, and you can never get it back again. They have killed, they are killers.
Their soul left them already and they will never stop now, they need to be stopped.
 
Huwezi kuiondoa CCM kwa Matusi, vurugu .waeleze wananchi nini utakifanya ukipewa ridhaa ya kuongoza.uwezo waambia watu utawaletea maendeleo wakati Chama pinzani hakina ata ofisi.Huwezi kua na chama viongozi wanagawana nafasi na wapenzi wao. Kuiondoa CCM inatakiwa ujikite kwenye kukosoa na kuonyesha njia kwa vitendo.
Very true.as i said once kuitoa ccm tunatamani lkni tunaikabidhi kwa nani...?
 
Yaani hata wewe mkuu ukishajimilikisha kila kity na familia yako si rahisi kumwachi wa tumbo moja nawe. Maana ubinafsi ni sumu ya gaki na usawa. Si rahisi kunishawishi na familia yangu kwa lugha hata kwa kura nikuachie hivihivi labda uninyonge. Selfishnes lead to dictatorship.mkuu
 
Back
Top Bottom