Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,587
- 23,946
Idadi ya wajinga inazidi tu kuongezeka awamu hii...kama huyu anayejiita [B]Troll JF[/B]; sijui hizi nazo ataziita People's Summit au huenda ikawa hilo neno kalisikia leo na kwa ujinga wake akakimbilia JF. Hii ni mikutano ya kisiasa na maandamano yanayofanyika dhidi ya Rais wa Marekani, Donald Trump na kama unavyoona mitaa haipitiki kwa wingi wa waandamanaji.Kwa Taarifa yako hiyo ni People's Summit ambayo inafanyika kwa Mwaka Mara Moja ni Si Mkutano wa Kisiasa Moja kwa Moja Unahusisha watu wengi.
Jamaa Uko Shallow sana aisee hujui hata People's Summit unaifananisha na Mikutano ya CHADEMA?
Mtu na akili yako kama unadiriki kudanganya watu kama [B]Troll JF[/B] anavyofanya, unajua mara moja kwamba huyo akili kahamishia makalioni kwa akina Bashite na baba yao. Haya maandamano Marekani yataendelea kufanyika kila wiki hadi Rais wao apate akili na kujitambua ni mtumishi wa wananchi na kwamba hayuko juu ya katiba.
Madikteta uchwara kama tulio naye mwisho wao mpakani, humu humu ndani ya taifa la wadanganyika. Kwenye jamii iliyostaarabika ataonekana kituko na bahati yao wanatambua hilo...wanaogopa majuu kama ukoma!