TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,815
Mwigulu ni Gaidi No1
Wala usikonde , siku za uwaziri unaompa kiburi Mwigulu ziko mbioni kuyeyuka.Hili swali kamuulize Mwigulu aliyesema kwamba wanasiasa wa Marekani huwa wanasubiri uchaguzi ujao wakishindwa uchaguzi husika.
Kuwa chama tawala ndiyo kunachukua haki yangu ya kikatiba kama Mtanzania? Yaani mnataka kuifanya CCM ni mungu wa Tanzania kwa nini lakini? Huo ujinga wa kuiabudu CCM wengine hatunao!Kama huipendi CCM, hama nchi kwani ndio chama kilichopo madarakani. ANAYEOA MAMA NDIYE BABA!!!!
Bwahaha duh!Mbona Marekani hawatuigi sisi ambao tunauza Vyama kwa Mabilionea?
Kwa Taarifa yako hiyo ni People's Summit ambayo inafanyika kwa Mwaka Mara Moja ni Si Mkutano wa Kisiasa Moja kwa Moja Unahusisha watu wengi.
Jamaa Uko Shallow sana aisee hujui hata People's Summit unaifananisha na Mikutano ya CHADEMA?
Kijana wa lumumba acha kuropoka upuuzi! Ni billionea gani amenunua chama TZ....Mbona Marekani hawatuigi sisi ambao tunauza Vyama kwa Mabilionea?
Kwa Taarifa yako hiyo ni People's Summit ambayo inafanyika kwa Mwaka Mara Moja ni Si Mkutano wa Kisiasa Moja kwa Moja Unahusisha watu wengi.
Jamaa Uko Shallow sana aisee hujui hata People's Summit unaifananisha na Mikutano ya CHADEMA?
Hii ni TZ ni hiyo ni marekani, so,usituletee sheria za huko.Wakati Mwigulu na wana CCM wenzake wanafanya kila jitihada kuwadanganya watanzania kwamba Marekani na ulaya uchaguzi ukimalizika walioshindwa husubiri uchaguzi ujao bila ya kufanya kazi za siasa, hali halisi inaonesha kwamba huo ni uongo.
View attachment 522259
Huu ni mkutano uliofanywa Jumamosi usiku na Benn sanders aliyeingia kwenye kura za maoni ndani ya chama cha Democrat kuomba kugombea Urais kupitia chama hicho kwenye Uchaguzi wa mwaka 2016 na kushindwa na Hilary Clinton. Kwenye mkutano huu Sanders alifanya siasa zote pamoja na kumshutumu Donald Trump jinsi anavyoendesha nchi ya Marekani.
Hoja kwamba wanasiasa na vyama vilivyoshindwa uchaguzi nchinin Marekani vitasubiri mpaka 2020 ndiyo vifanye kazi za siasa Mwigulu kazitoa wapi?
Hayo maneno mwambie Mwigulu anayetaka kufananisha Marekani na Tanzania.Hii ni TZ ni hiyo ni marekani, so,usituletee sheria za huko.
Nawe Dish halijakaa sawasawaMbona Marekani hawatuigi sisi ambao tunauza Vyama kwa Mabilionea?
Kwa Taarifa yako hiyo ni People's Summit ambayo inafanyika kwa Mwaka Mara Moja ni Si Mkutano wa Kisiasa Moja kwa Moja Unahusisha watu wengi.
Jamaa Uko Shallow sana aisee hujui hata People's Summit unaifananisha na Mikutano ya CHADEMA?
Wewe kweli ni waikoromije!!Kama huipendi CCM, hama nchi kwani ndio chama kilichopo madarakani. ANAYEOA MAMA NDIYE BABA!!!!
Unajua alisema lini!?Nashukuru umekuwa muwazi Bernie![]()
Ametumolia reference ya viongozi wako sio maneno yake yeye!!Hii ni TZ ni hiyo ni marekani, so,usituletee sheria za huko.
Akili Huna wewe Unafikiri Summit ina involve kufunga Barabara au Mafuriko kama ya Lowassa pale Tanganyika Packer's au Jangwani Summit ina Tofauti na Huwezi Kufananisha na Za Chadema hizo zinaitwa rally.Nawe Dish halijakaa sawasawa
Kwako ikiitwa "people's summit" mswahili akiita Mkutano ni mwongo
Karekebishe dish kama ni Startimes litazamishe makongo
Anza na democrasia ndani ya chama chako ndio ujitathmini km hii kauli yako ni sahihi au lah1Rais Wetu yuko Local, Very Local Period!!