CCM na Mategemeo yao JKT

Nzenzu

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2011
Posts
858
Reaction score
164
Nadhani CCM wameona Umuhimu wa Kurudisha JKT kwani ndio tegemeo lao kutumia mwanya huo kuzoa wanachama. Vijana watakaojiunga ni dhahili watalazimishwa kujiunga na MAGAMBA wapende wasipende.

My take:
JKT IJAYO SI KAMA ILE ILIYOPITA, HII IPO KIMKAKATI KUIBEBA CCM ZAIDI.

 
poor ccm.
 
Au ndo watawadanganya kwa ule usemi wa VAA UZALENDO, huku aliyeuanzisha badala ya kuvaa yeye kwanza anavaa ufisadi kwa kuongeza ten pasenti kwenye mafuso ya kupeleka wanachama kwenye mkutano jangwani, njaa mbaya kudadadeki
 
JKT ni swala lisilowezekana kwa miaka ya sasa ivi , hata uko JKT watu wanaamua kimpango wao, mi pia nimemaliza miaka miwili ya JKT na kule pia watu wananmitazamo hii hii ya kutoikubali sisemu
 
Au ndo watawadanganya kwa ule usemi wa VAA UZALENDO, huku aliyeuanzisha badala ya kuvaa yeye kwanza anavaa ufisadi kwa kuongeza ten pasenti kwenye mafuso ya kupeleka wanachama kwenye mkutano jangwani, njaa mbaya kudadadeki

Mpaka sasa ndicho kinachozungumzwa "JKT KWA MADHUMUNI YA KUREJESHA UZALENDO KWA VIJANA"
 
JKT ni swala lisilowezekana kwa miaka ya sasa ivi , hata uko JKT watu wanaamua kimpango wao, mi pia nimemaliza miaka miwili ya JKT na kule pia watu wananmitazamo hii hii ya kutoikubali sisemu

Wataikubali hata kwa kuchapwa viboko. Huo ndio mkakati uliopo!
 
Jkt ilikuwa ni mahali pa kujifinzia kuvunja amri ya sita, ni mategemeo yetu serikali itakuja na mkakati mpya wa kupunguza unyanyasaji uliokuwa wanafanyiwa akina dada
 
Jkt ilikuwa ni mahali pa kujifinzia kuvunja amri ya sita, ni mategemeo yetu serikali itakuja na mkakati mpya wa kupunguza unyanyasaji uliokuwa wanafanyiwa akina dada

Serikali hii hii ya kina Mwigulu ambaye ndiye kinara cha kuivunja hiyo Amri?
 
ila magamba hayana akiri,yanaweza fanya hivyo,japo kuwa wamechelewa kuleta hilo wazo lao la kijnga.

mkuu thubutu yao magamba kuleta tena JKT kwan itakuwa are the one of the way to drug their own grave bkoz JKT itakuwa ni moja ya kambi kuu ya vijana kujipanga kuiondoa CCM 2015.
Only time will tell.
 
Mi nitaenda kujifunza kutumia AK 47, nikiijua tu nasepa zangu kurudi home. Huenda mbinu hizo zikasaidia kulinda kura 2015.
 
ila magamba hayana akiri,yanaweza fanya hivyo,japo kuwa wamechelewa kuleta hilo wazo lao la kijnga.

Nategemea watakuja na masharti magumu sana ya kuwabana vijana. Anyway lets wait n see!
 
MBona intake itakuwa ya 5000 tuu labda wataiongeza next year
 

Haitasaidia Mkuu vijana wa siku hizi ni ngumu sana kuwadanganya labda wawachomoe ubongo zao wawe kama mazombie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…