nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Mimi naomba waanze na wabunge hawa Vijana, vinginevyo CDM msikubali kwenda huko JKT
1. Dr. Hussein Mwinyi
2. Dr. Emmanuel Nchimbi
3. Dr. mathayo David Mathayo
4. Ummi Mwaalim
5. Angela Kairuki
6. January Makamba
7. Wliiam Ngereja
8. Steven Massele
9. George Simbachawene
10. Mwigulu Nchemba
11. Amos Makalla
12.
Waanze mawaziri na manaibu wote ambao hawakupitia JKT. Kama ni kisima CCM mlikuwa mnachimba mtatumbukiwa wenyewe!
Mbona Umemsahau Mbunge wa SINGIDA MJINI - DEWJI?
Lau Masha pia kama akitaka tena UBUNGE lazima aende