CCM na Magufuli wanaelekea shimoni tu 2020

CCM na Magufuli wanaelekea shimoni tu 2020

Utakuja kuielewa tu utakapopata akili nzuri
Akili yangu imetuli sana, kwanza mm sina mihemuko ya vyama, pili mm huwa nachagua kiongozi na si chama, kuelewa unakokusema ww labda nikubali kukaririshwa, ni kitu ambacho kwangu hakina nafasi hata kidogo, natafakari mambo kwa kutumia akili yangu na si ya mtu mwingine. naamini siku ukielewa wimbo uchezeshwao na hao wanaharakati, utasikitika sana.
 
Nilivyoona jina tu la Kimario,nikamuelewa mtoa mada
 
Halafu hizo 40℅ ni nyingi za wanywa viroba,serikali sio wajinga kuvifuta,wengi walikuwa wanazungusha mikono bila kushirikisha ubongo,ndo maana walipewaga jina la NYUMBU.Huwezi tangaziwa kwa miaka 8 mfululizo na viongozi wako kuwa fulani FISADI PAPA,halafu baada ya kukataliwa kwenye chama chake unampokea na kumzungusha nchi nzima ukimuita malaika.Ilikuwa inahitaji either uwe na stimu kichwani au IQ yako iwe ndogo sana.AU umelipwa na upo kwenye dili la kupata kitu baadae.Sasa 2020 mtabaki wa madili tu,wazungusha mikono hamuwapati ng'o.Mkipata 20℅ shukuru Mungu.Na wabunge wenu kibao hawatarudi.Tusubiri tuone.
Time will tell
 
Kwa kutofanya siasa wakati wa kukarabati nchi, ila 89% ya wachaga tunajua hamumpendi JPM! kwa sababu tu, sio ndg yenu. Na ndiyo maana mnafanya kampeni chafu za kutokuona kwa kile kizuri anachofanya Rais wetu. Ila nafsi zenu zinawasuta.
Kama hatumpendi alikuja kufanya nini moshi na serikali nzima mpaka machozi yakamtoka siku ile ya wafanyakazi duniani?

Ukweli utakuweka huru
 
Akili yangu imetuli sana, kwanza mm sina mihemuko ya vyama, pili mm huwa nachagua kiongozi na si chama, kuelewa unakokusema ww labda nikubali kukaririshwa, ni kitu ambacho kwangu hakina nafasi hata kidogo, natafakari mambo kwa kutumia akili yangu na si ya mtu mwingine. naamini siku ukielewa wimbo uchezeshwao na hao wanaharakati, utasikitika sana.
Time will tell
 
Kama hatumpendi alikuja kufanya nini moshi na serikali nzima mpaka machozi yakamtoka siku ile ya wafanyakazi duniani?

Ukweli utakuweka huru
Baadhi yenu ni unafiki unawasumbua na ndiyo maana niliweka na asilimia angalau inayomkubali. Sijasema wote hamumpendi.
 
Shame on you wote mnaodharau mazingira. In the name of uzalendo watanzania wameacha kufikiri kabisa!Lol!
 
CCM 2020 hata isipofanya kampeni katika urais - katika ubunge na udiwani huko mtaokota okota kidogo lkn Magogoni sahau kbs
 
Ccm hii leo imeondoa tv iliyowekwa sokoni kisa alieiweka ni mbunge wa chadema huko kigoma
Halafu utakuta mtu ana sema tuwe pamoja
 
Tatizo huko Mkuu Rombo mlishazoea ULANGUZI wa nafaka wakati hamlimi
kipindihichi jakuna maujanja ujanja
acheni viroba pigeni kazi
ni ndoto CHADEMA kuiondoa CCM
 
Tatizo watu tulio wengi hatujadili mambo kwa kumaanisha na kwa kina, bado tumejaa ushabiki wa vyama vya siasa, lait kusingekuwa na ushabiki tungeweza kupata suluhu ya mambo kwa ustadi mkubwa sana, lakini kwa mazingira haya, kila mmoja anavutia kwake hata kama ni kubaya kiasi gani, haya twendeni, na mambo ya kija kuwa magumu zaidi kusije tokea mtu wa kulaumu, sasa hivi watu tunalaumu maisha magumu kwa kusingizia serikali, haya hiyo serikali nani kaichagua? tuwe wapole tu
 
Tatizo huko Mkuu Rombo mlishazoea ULANGUZI wa nafaka wakati hamlimi
kipindihichi jakuna maujanja ujanja
acheni viroba pigeni kazi
ni ndoto CHADEMA kuiondoa CCM
Time will tell
 
Back
Top Bottom