CCM na Magufuli wanaelekea shimoni tu 2020

CCM na Magufuli wanaelekea shimoni tu 2020

Wazungu wanamng'oa Magu 2020...hakuna kura kuibiwa ...Zanzibar SAA NNE asubuhi Seif raisi...watu hawarudii makosa ya 2015
Unaonekana unawahusudu wazungu. Sasa subiri uone kama watafua dafu kwa magufuli
 
Kilicho niumiza nikuwaambia wakulima wamahindi wasiyauze nje ilihali raisi mwenyewe alisema mkulima asipangiwe bei ya kuuza mazao yake
 
Kilicho niumiza nikuwaambia wakulima wamahindi wasiyauze nje ilihali raisi mwenyewe alisema mkulima asipangiwe bei ya kuuza mazao yake
Kuna serikali ya mawaziri then hapohapo kuna serikali ya magufuli kila moja na maamuzi yake
 
Alieinusuru CCM ni magu bila hivo wangekua wanaitwa majina mengine
 
wakkshayauza
wao ndio wanakua wa Kwanza kuliaga njaa.
Basi wasaidieni wakulima wapate pembe jeo za kutosha na wataalamu wa kutoshsa ili kilimo kiwalipe haiwezekani mkulima hajitegemee kila kitu then uje kumwambia hakuna kuuza mahindi nje tengenezeni kwanza hivyo viwands ndio mkataze sio mkataze ndio mtengeneze viwanda
 
Hivi kibiti wanatunguliwa nani vile hii sio kispotispoti mjue kuna kundi linajilimbikizia utawala kwa nguvu lakini 2020 itakuwa mbaya zaidi kisiasa Tanzania
 
Maisha ya watanzania magumu,watumishi ni kunyanyaswa na mikataba kuvunjwa na kukiukwa.Waliomba kura kwa kulala hadi chini lakini sasa ni vitisho na jeuri.
How easy it is to govern when one follows a system of consulting the will of the people and one holds as the only norm all the actions which contribute to the well being of the people.
AMKA MTANZANIA,DAI KATIBA,DAI TUME HURU.
 
CCM mtaitoa kwa kura za JF mlipojazana BAVICHA,BAWACHA,CHASO(wenye ID nyingi nyingi humu) na ndugu zao akina Masamaki,Lowassa,Mpemba,Sethi(Singa Singa),Kitilya,Malinzi na majizi mengine yaliyobanwa na kutumbuliwa, bila kusahau mliokuwa mnapokea mishahara minono kumbe mlighushi tu.Asilimia 95(95℅) ya wananchi wa kawaida wanaojishughulisha na wabunifu wa siku zote,ukianzia kwa wajasiliamali wadogo wadogo mpaka wakulima huwaambii kitu kuhusu JPM.Nakuhakikishia hiyo 2020 hazungushi mtu mikono kama boya tena.Na mkirudi na wagombea wanaoongea DK 2 au 3 jukwaani(Boda boda nawapenda sana,mama ntilie rafiki zangu,mkinichagua nitamtoa babu Seya,peopleeeeeeeeeeees - Power)X5,ASANTENI SANA...FINISH...,ndo mtaalikana wenyewe hayo makundi niliyotaja hapo juu.TIME WILL TELL.
 
Tatizo kwangu wateja hamna na kodi kubwa ndiyo maana nimeamua kwenda kufuta TIN yangu TRA haiwezekani kodi inapanda maradufu kwa 110% yaani inaongezeka inaipita ile ya awali mara 2
 
Jifunze jambo hili na daima liishi ktk fikra zako; watawala wengi barani Afrika wanategemea Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Usalama wa Taifa,Polisi na Jeshi kuingia madarakani! Na kamwe hawategemei kura za wananchi.
 
Kiongozi uhitaji kuniambia kuhusu ccm,mie sina hata muda wa kuijadili na bahati nzuri ukoo wetu wote hakuna anaeipenda ccm hata wanaozaliwa km sisi tumekuwa tukaelimishwa juu ya hili lichama na tunajitambua, hivo usitumie nguvu nyingi sana hata km wangeshinda tena 2020 kuna muda watapisha tu..
 
2020 kijaribu kwanza chama kingine. serikali ya sasa hatujui inasimamia nini.mtaani hali ngumu. watu wanalia.tunawaachia kina ngosha wamchague mtu wao. sisi tutajaribu kwingine.
 
Back
Top Bottom