CCM na Magufuli mmejifunza nini?

CCM na Magufuli mmejifunza nini?

albab

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2018
Posts
2,004
Reaction score
3,400
Salaam....

Niseme tu kama kuna uchaguzi wa kibabe kuwahi kutokea basi ni huu. Ni mwaka huu ndo nimeiona IDARA ikitoa funzo kubwa sanaaa kwa CCM na baba mkuu...

Wengi mtabeza ila ukweli ni kwamba hii naweza kuita oparation kubwa IDARA kuwahi kuifanya pamoja na kwamba imejaa udhaifu ila imefanikiwa kwa 100%
CCM chunguzeni mchakato wenu wote wa ndani mtagundua hawa watu walikua all over your places wagombea wote waliangaliwa na kufanyiwa tathimi na hawa jamaa CHAMA ilikuwa ni kukamilisha taratibu tu.

Mtakao beza hizi jitihada shauri enu ila haya ni maoni yangu.

1. Labda Ilihitajika namna na kumuonesha mkuu na chama kwamba kuna watu wakiamua kitu lazima kiwe na kwamba yeye na chama wapo pale kwa sababu kuna watu wametaka wawepo kiburi na jeuri si kitu kwao na wakiamua wanaweza kuwaondoa pia.

2. Labda ni mpango wa kuingiza siasa mpya nchini kuelekea 2025 kupata wapinzani wa kweli na sio tuliowazoea mana tayri walikosa madoa ya uzalendo kwa nchi na amini kwamba huu ndio ukweli CHADEMA kuruhusu LISSU kugombea kiusalaMA lilikua kosa kubwa hasa kwa aina siasa za LISSU.

3. Kama wasingekua hawa watu Lissu asingemaliza kampeni zake na hili wengi watalikataa ila ndo ukweli mchungu hawa watu walimuhakikishia Lissu ulinzi wote na siku zote hawakutaka kabisa aguswe.. so walijua wanaenda kumuulia wapi.

4.Siasa ni hesabu na kuna watu wanazicalculate usiku na mchana usishangae hesabu za mwaka huu zikawa kuidhoofisha CCM miaka 10 ijayo ikiwa n pamoja na kuibua chama kipya achenye ushawishi kwa wananchi mana upinzania wa sasa unamadhaifu mengi kimfumo.

5. Kama CCM inahisi bunge ni lao wanakosea hawa watu wapo kila kona ya bunge na msishangae ukatokea mvurugano mkubwa bungeni kuhakikisha utendaji unakamilika.

CCM na MKUU haya ni yangu hawa watu wapo kila mahali na wanaweza kufanya lolote muda wowote bila kujali yoyote ila maslahi ya usalama wa nchi. Huu mziki CCM wameucheza bila wao kujua madhara yake kifuatacho mimi na wee tuwape muda walioplan huu mchezo hafi mwisho na kama waliuplan bila kujipanga TUMEKWISHA.
 
Magufuli alikua na wasiwasi wa kuwa rais wa kwanza wa mhula mmoja Tanzania. Amefanya aliyoyafanya sasa ameshaapishwa. Lakini ni kheri angekua rais wa mhula mmoja mwenye amani kuliko hali aliyonayo sasa hivi.
 
Magufuli alikua na wasiwasi wa kuwa rais wa kwanza wa mhula mmoja Tanzania. Amefanya aliyoyafanya sasa ameshaapishwa. Lakini ni kheri angekua rais wa mhula mmoja mwenye amani kuliko hali aliyonayo sasa hivi.
Nimeanza na kauli uchaguzi wa kibabe.... Wtakaoelewa pia n wachache
 
Mkuu enzi za utoto ushawahi kususiwa Ugali wote home uule peke yako? Yaani ndugu zako wote wanakaa pembeni afu ngoma imejaa sufuria unabaki nayo wewe tu!! Afu wote wapo pembeni wanakucheki!!
Hii ndiyo hali ya CCM kwa sasa!!
 
Mkuu enzi za utoto ushawahi kususiwa Ugali wote home uule peke yako? Yaani ndugu zako wote wanakaa pembeni afu ngoma imejaa sufuria unabaki nayo wewe tu!! Afu wote wapo pembeni wanakucheki!!
Hii ndiyo hali ya CCM kwa sasa!!
Inauma sanaaa tutafanyaje sasa
 
Magufuli alikua na wasiwasi wa kuwa rais wa kwanza wa mhula mmoja Tanzania. Amefanya aliyoyafanya sasa ameshaapishwa. Lakini ni kheri angekua rais wa mhula mmoja mwenye amani kuliko hali aliyonayo sasa hivi.


Kaja kushituka asubuhi kumeshakucha kwamba kumbe Watz hawamtaki, ikabidi atumie nguvu za dola kufunga bao la mkono wa kushoto mchana kweupe .

He has forcebly clinched the 5yrs term, now it is a ripe time for him to make appropriate reforms and adjustments in his governance.
 
Kaja kushituka asubuhi kumeshakucha kwamba kumbe Watz hawamtaki, ikabidi atumie nguvu za dola kufunga bao la mkono wa kushoto mchana kweupe .

He has forcebly clinched the 5yrs term, now it is a ripe time for him to make appropriate reforms and adjustments in his governance.
As far as Magufuli is happy, other people’s happiness is not an issue to him. In his thinking he is commender in chief and we should all obey his commands. The little he knows is that Tanzania is a part of wider society and there are laws and order to prevent human rights.
 
Ninachojua wote wamekuwa mateka wa mtu mmoja vinginevyo uathibitishe uyasemayo.
 
Hebu anza kuthitisha umateka wao kwanza
 
Kaja kushituka asubuhi kumeshakucha kwamba kumbe Watz hawamtaki, ikabidi atumie nguvu za dola kufunga bao la mkono wa kushoto mchana kweupe .

He has forcebly clinched the 5yrs term, now it is a ripe time for him to make appropriate reforms and adjustments in his governance.
Unaposema wa tz hawamtaki! Unamaanisha kwamba Lissu alishinda au? Tuliwaambia hamkusikia!,kura hazipigwi Jf! Hivi kwa akili zenu mlitegemea Lissu atashinda mbele ya Jpm?
 
Tuliwaambia hamkusikia ! Lissu ni debe tupolu mbele ya JPM ona sasa mnavyo weweseka ! Si tuliwaambia mtakuja hapa kulalama mmeibiwa kura! Tulieni! .TL wenu huyo kaenda zake Ubelgiji ,haamani Watanzania walichomfanya!
 
Back
Top Bottom