Sikiza wew kima,haiwezekani kupeleka maendeleo ya ziada sehem ambayo kiongozi wake hajawai kuona jitihada za serikali iliyopo madarakani. Hizo km5 za lami aliahidi endapo mbunge wa ccm atachaguliwa. Kwa hiyo huyo mbowe ni jambaz la siasa na JPM atamnyoosha kwny uchaguzi huu wa 2020,harudi bungen hata afanyaje. Watu wa hai wanataka connectio sio jambaz la siasa. Ndio maana hata kwny mikutan yake hana sera anataja tu Sabaya Sabaya sanaya.Nimefuatilia Kampeni za Rais Magufuli Jimbo la Hai kwa Mhe. Mbowe Hakika ni Propaganda, uongo, Siasa maji taka kumchafua Mhe. Mbowe.
Magufuli amesema kwa miaka yote 5 Mhe. Mbowe hakuna alichochangia katika maendeleo ya wana Hai. Kwamba Mbowe alikuwa akitoka nje wakti wa Bajeti na alikuwa haongei na Mawaziri wa Miundombinu, Afya na Elimu ndiyo maana Hai imechelewa Sana!!! Msikilize Mhe. Mbowe akiwa Bungeni:
Wakti Magufuli anasema maendeleo hayana CHAMA bado ameonekana kujipinga mwenyewe kwa kudai hakuwa na Connection ya kufanya kazi na Halmshauri ya Hai kwa vile Mbunge ni wa CHADEMA!
WHAT A CONTRADICTION?
Rais Magufuli anaonekana ni mwongo, mnafiki na MBAGUZI kwa kuyatenga majimbo yanayoongozwa na Upinzani waziwazi. Hii nchi Ni ya mfumo wa Vyama vingi hivo Rais anayechaguliwa hawezi kukataa kupeleka maendeleo ya jimbo fulani kwa vile tu wamechagua Wabunge na Madiwani toka
Chama Cha Upinzani!
Tunza hii maneno huyu jomba hawezi kuja kumbukwa kwa chochote hii tz...na nimoja ya raia ambao kumbukumbu zao zitafutika haraka sana hii tz na duniani piaNimefuatilia Kampeni za Rais Magufuli Jimbo la Hai kwa Mhe. Mbowe Hakika ni Propaganda, uongo, Siasa maji taka kumchafua Mhe. Mbowe.
Magufuli amesema kwa miaka yote 5 Mhe. Mbowe hakuna alichochangia katika maendeleo ya wana Hai. Kwamba Mbowe alikuwa akitoka nje wakti wa Bajeti na alikuwa haongei na Mawaziri wa Miundombinu, Afya na Elimu ndiyo maana Hai imechelewa Sana!!! Msikilize Mhe. Mbowe akiwa Bungeni:
Wakti Magufuli anasema maendeleo hayana CHAMA bado ameonekana kujipinga mwenyewe kwa kudai hakuwa na Connection ya kufanya kazi na Halmshauri ya Hai kwa vile Mbunge ni wa CHADEMA!
WHAT A CONTRADICTION?
Rais Magufuli anaonekana ni mwongo, mnafiki na MBAGUZI kwa kuyatenga majimbo yanayoongozwa na Upinzani waziwazi. Hii nchi Ni ya mfumo wa Vyama vingi hivo Rais anayechaguliwa hawezi kukataa kupeleka maendeleo ya jimbo fulani kwa vile tu wamechagua Wabunge na Madiwani toka
Chama Cha Upinzani!
Bonge la comment! Kula 5 zangu...hotuba za Jpm zinamaanisha kwamba ilani ya ccm haina maana.
..katika utawala wake ili maendeleo yapatikane shurti mbunge akampigie magoti.
Ndiyo ilivyo kwa kila anaye karibia "kufa" kisiasa.JPM anaoneka Kama zinapungua hivi kichwani. Hajielewi, haelewi watu, haelewi anategemewa wapi kwa Jambo gani...
Kwamba nchi inaendeshwa kwa connection badala katiba na sheria...hotuba za Jpm zinamaanisha kwamba ilani ya ccm haina maana.
..katika utawala wake ili maendeleo yapatikane shurti mbunge akampigie magoti.
Mzigo wa makalio yako ???Kasema ukweli mtupu kwani uongo? Mbowe ni mzigo
Uduni wake utaujua vema zaidi 28 October, ndipo utajua kama ni duni au ni propaganda zenu hapaMagufuli hana hoja , na nadhani ndiye mgombea duni kabisa kuwahi kugombea urais kwa tiketi ya ccm
Tatizo la ccm wanafikiri wakimmaliza Mbowe wameimaliza CDM, wanaogopa mchagga mmoja kuliko wengine milioni 5. CDM haifi leo wala kesha Mbowe awepo asiwepo CDM ni mali ya Umma.Nimefuatilia Kampeni za Rais Magufuli Jimbo la Hai kwa Mhe. Mbowe Hakika ni Propaganda, uongo, Siasa maji taka kumchafua Mhe. Mbowe.
Magufuli amesema kwa miaka yote 5 Mhe. Mbowe hakuna alichochangia katika maendeleo ya wana Hai. Kwamba Mbowe alikuwa akitoka nje wakti wa Bajeti na alikuwa haongei na Mawaziri wa Miundombinu, Afya na Elimu ndiyo maana Hai imechelewa Sana!!! Msikilize Mhe. Mbowe akiwa Bungeni:
Wakti Magufuli anasema maendeleo hayana CHAMA bado ameonekana kujipinga mwenyewe kwa kudai hakuwa na Connection ya kufanya kazi na Halmshauri ya Hai kwa vile Mbunge ni wa CHADEMA!
WHAT A CONTRADICTION?
Rais Magufuli anaonekana ni mwongo, mnafiki na MBAGUZI kwa kuyatenga majimbo yanayoongozwa na Upinzani waziwazi. Hii nchi Ni ya mfumo wa Vyama vingi hivo Rais anayechaguliwa hawezi kukataa kupeleka maendeleo ya jimbo fulani kwa vile tu wamechagua Wabunge na Madiwani toka
Chama Cha Upinzani!
Mbowen is legendary, he will win by landslide....Shekhe Ponda ni kiboko ya CCM amesoma Dua mpaka Mwenge wa Wachawi wa CCM ukazimika sasa Wanaumbuka😁
Hivi kuna mtu bado anamwamini jiwe?
Kasema ukweli mtupu kwani uongo? Mbowe ni mzigo
Wamekula pesa zake nyingi mno wakimdanganya kuwa upinzani haipo lakini sasa kagundua upinzani upo juu kupita wakati wowote uleMzee alishachanganyikiwa, vibwengo walimhadaa kuwa upinzani umekufa!
Hakuna dhambi mbaya kama kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani na uonevu unyanyasaji mwingiMagu sio mwanasiasa, haijui siasa kabisa na hakupaswa kuwa kiongozi wa kisiasa. Amedhihirisha kwa matendo na maneno yake.
Atakuwa kafundishwa na polepole aseme hivyo kumbe hajuia polepole nae kafirisika kifikira yupo after money anapiga pesa za bajeti ya kuihujumu kuidhoofisha chadema kimya kimyaMzee anahisi labda bado tuko zama za mediaval something very bad in modern poltiics. Hao wakazi wa Hai wengi wameelimika na habari zote za bunge wanazifuatilia, sasa sijui anamdanganya nani? Probably anajidanganya mwenyewe
Atakuwa kafundishwa na polepole aseme hivyo kumbe hajuia polepole nae kafirisika kifikira yupo after money anapiga pesa za bajeti ya kuihujumu kuidhoofisha chadema kimya kimya