CCM na CHADEMA sasa turudi kujadili solutions za issues muhimu kwa taifa letu!

icon1.png
Tukumbushane ahadi za JK

1.Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora
2.Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda - Tanga mjini
3.Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria - Igunga
4.Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU) - Shinyanga
5.Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini - Dodoma
6.Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono - Dodoma mjini
7.Kuwapatia trekta wakulima - Kata ya Mrijo, Dodoma
8.Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi - Kagera
9.Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi - Kagera
10.Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba - Bukoba Mjini
11.Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini
12.Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda - Kagera
13.Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme - Kagera
14.Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu - Kagera
15.Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino - Mbeya
16.Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba - Kagera
17.Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
18.Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika - Mwanza
19.Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye vifaa kupambana na wahalifu - Mwanza
20.Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani - Geita
21.Kulinda muungano kwa nguvu zote - Pemba
22.Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa - Morogoro
23.Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa - Mbeya mjini
24.Kujenga bandari Kasanga – Rukwa
25.Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
26.Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira - Mbeya
27.Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama - Tanga
28.Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini - Iringa
29.Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani – Kihurio na kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es salaam - Same mkoani Kilimanjaro
30.Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same - Same Mjini
31.Kuboresha barabara za Igunga - Tabora
32.Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu - Kisesa Magu
33.Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya - Mbeya Mjini
34.Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN) - Hydom Manyara
35.Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa - Musoma
36.Kulinda haki za walemavu - Makete
37.Kujenga baabara ya Njombe - Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109 - Iringa mjini
38.Kujenga barabara Musoma – Mto wa Mbu Arusha - Arusha
39.Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
40.Kujenga barabara ya lami Manyoni-Kigoma – Kaliua,Tabora
41.Kukarabati barabara ya Arusha Moshi - Arusha Mjini
42.Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa, mpaka Singida - Dodoma
43.Kuwafidia wanakijiji ng'ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009 - Longido
44.Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria - Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga
45.Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha – Arusha mjini
46.Kukopesha wavuvi zana za kilimo - Busekera, Wilaya ya Musoma
47.Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido - Longido
48.Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti – Ngorongoro
49.Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunza mifugo yao vizuri - Mbulu mkoani Manyara
50.Kusambaza maji nchi nzima - Babati vijijini
51.Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015 - Babati vijijini
52.Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha - Iringa
53.Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika - Iringa
54.Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania - Iringa
55.Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi -Ifunda
56.Kutokomeza malaria 2015 - Bunda, mkoa wa Mara
57.Kuwapa wanawake nafasi zaidi - Kilolo, Iringa
58.Ahadi kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii - Kibandamaiti Mjini Zanzibar
59.Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa - Kibandamaiti mjini Zanzibar
60.Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada - Kibandamaiti
61.Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay - Ruvuma
62.Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400 - Mbambabay Ruvuma
63.kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga (MBICU) – Ruvuma
64.Ahadi Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania – Ruvuma
65.Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
66.Mtwara kuwa mji wa Viwanda – Mtwara
67.Ahadi ujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu - Kibaha
68.Hospitali ya Tumbi kuwa ya mkoa - Kibaha
69.Halmashauri ya manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la viwanda - Kibaha
70. Barabara za angani (fly overs. )

Nimeipenda ya mwisho. huwa natoka ofisini saa kumi na Mbili Jioni. Naingia home saa tano usiku. Hivi masterplan ya hii kitu ipo?
 
Yaap!!! Sipati picha kama Wiliam anayafahamu mazila wanayopata wa-TZ kwa sasa maana hayupo bongo kwa kipindi kirefu sasa,coz usongo uliopo huku sasa ni ng"oa-ng"oa tu, kazi moja tu! yaani kudai maendeleo ya kweli imekuwa ngumu kuliko kumwondoa mkoloni?????Kwa hiyo solutions anazohizihitaji hazina mjadala mbona zote zimeainishwa kwanya Ilani (manfesto) ya cdm!!!!! Hata watoto wa shule za msingi wanazielewa, First Lady wa TZ aliwauliza wakamwambia!!!

MWISHO WA UBAYA NI AIBU??????
 
@ Facebook:by William Malecela on Monday, May 23, 2011 at 4:11am

Yapo masuala ya:[/COLOR][/SIZE]
Utawala bora
Elimu
Utawala wa Sheria
Nishati
Katiba Mpya
n.k

- Viongozi wetu wa CCM na CHADEMA, mtaanza lini kuzungumzia haya badala ya kuhangaika na mambo ya CCJ na siasa za chama cha Wachagga? Hebu turudi sasa kwenye issues muhimu kwa taifa letu, kama hamuwezi jivueni magamba tuanze upya!


MUNGU IBARIKI TANZANIA!


William Malecela.

Kwani tatizo ni viongozi wa CDM au waliopo madarakani?
Tumeshuhudia bungeni CCM wanapitisha au kushinikiza sharia kwa ajili ya kuikomoa CDM.
CDM walishatoa election manifesto yao, kama CCM ni wastaarabu wangeichukua pamoja na za vyama vingine na kuangalia jinsi gani ya kutekeleza.
Kwani kuna lipi CCM hawalitambui? Wananchi walisema Downs isilipwe, viongozi wa CCM wakatoa tamko la chama kutoka kwenye kikao cha juu kuwa ilipwe, watu wanataka katiba mpya CCM wanakuja na marekebisho ya katiba, tunataka maendeleo tunaona Halmashauri zinazoongozwa na CCM zinatenga hela kwa ajili ya Chai wakati watoto hawaendi shule...etc....sasa hapo unaposema vyama vikae na kuongea wanaongea nini wakati CCM hawawezi kubadilika?
Ndio mana watu wanasema nyoka hata akijitoa gamba SUMU iko Palepale..... tutaona kama CCM wana nia ya kutetea wanachi pale watakaposimama bungeni kupinga sheria za ugandamizi na kutetea mabadiliko hata kama yatamaanisha kukiangusha chama zaidi ya hapo hakuna Logic yoyote ya mazungumzo...watekeleze.
 
Nimeipenda ya mwisho. huwa natoka ofisini saa kumi na Mbili Jioni. Naingia home saa tano usiku. Hivi masterplan ya hii kitu ipo?

Mkuu wanaostahili kupanga hayo wako maofisini wanachat na kupiga soga wakati watu wanaendelea na ujenzi wa nyumba zao mpaka kwenye akiba ya barabara
 
Kwani tatizo ni viongozi wa CDM au waliopo madarakani?
Tumeshuhudia bungeni CCM wanapitisha au kushinikiza sharia kwa ajili ya kuikomoa CDM.
CDM walishatoa election manifesto yao, kama CCM ni wastaarabu wangeichukua pamoja na za vyama vingine na kuangalia jinsi gani ya kutekeleza.
Kwani kuna lipi CCM hawalitambui? Wananchi walisema Downs isilipwe, viongozi wa CCM wakatoa tamko la chama kutoka kwenye kikao cha juu kuwa ilipwe, watu wanataka katiba mpya CCM wanakuja na marekebisho ya katiba, tunataka maendeleo tunaona Halmashauri zinazoongozwa na CCM zinatenga hela kwa ajili ya Chai wakati watoto hawaendi shule...etc....sasa hapo unaposema vyama vikae na kuongea wanaongea nini wakati CCM hawawezi kubadilika?
Ndio mana watu wanasema nyoka hata akijitoa gamba SUMU iko Palepale..... tutaona kama CCM wana nia ya kutetea wanachi pale watakaposimama bungeni kupinga sheria za ugandamizi na kutetea mabadiliko hata kama yatamaanisha kukiangusha chama zaidi ya hapo hakuna Logic yoyote ya mazungumzo...watekeleze.

hapo penye rangi mkuu naamini ulimaanisha Sheria
 
Is a tittle matter? Kaweka jina lake as William Malecela wote tunasoma Ujumbe wake!!!

Tittle Matter than Articles???
 
Mkuu wanaostahili kupanga hayo wako maofisini wanachat na kupiga soga wakati watu wanaendelea na ujenzi wa nyumba zao mpaka kwenye akiba ya barabara

mmm!!sijakupata hapa, ina maana watekelezaji na watoa maamuzi wanasiasa nao wanachati?kama kuchati ni tatizo basi europe na usa zisingekuwa developed na china
 
mmm!!sijakupata hapa, ina maana watekelezaji na watoa maamuzi wanasiasa nao wanachati?kama kuchati ni tatizo basi europe na usa zisingekuwa developed na china


Mkuu Saint Ivuga nilimaanisha Maafiosa Mipango Miji sio wanasiasa
Maana wao ndio wanaopanga namna miji inavyotakiwa kuwa ikiwa ni wapi barabara zipite na wapi nyumba zijengwe ila sasa wanaposhindwa kufanya hayo ndio unakuta mji haujulikana wapi ni sehem ya barabara au wapi ni eneo la wazi
 
Nape kaka yangu,so unataka kutuaminisha kuwa AHADI zote za Chama cha Mapinduzi zishatekelezwa..wacha nijaribu kukumbuka chache


  • siku 90 kutibua mafisdi,
  • kujenga barabara za lami kuzunguka mlima kilimanjaro,
  • viwanja vya ndege vya kimataifa,


Aaaah wacha nisiumize kichwa changu kukumbuka vitu vinavyoniumiza ilihali nilisha ambiwa na sura ya Msemaji kuwa haiwezekani bali naongea tu sababu siasa ni kuzungumza,eti hamna siasa za mkono mtupu

Zinatekelezwa kwa mtindo wa khanga, vitenge, kofia, flana, buku 2 au 5, kupakiwa kwenye malori au coaster kwenda kwenye mkutano hizi ndizo ahadi za CCM kwa wafuasi wao na zinatekelezwa kwa kiasi kikubwa na huwezi kukuta mwanachama wa CCM analalamika kanyimwa hivyo na haya mambo yanafanywa kwa kusimamiwa na chama.
 
@ Facebook:by William Malecela on Monday, May 23, 2011 at 4:11am

- Mjadala wa suala la Ukabila na udini ni mjadala ambao umeshapittwa na wakati. Sioni sababu kwanini baadhi ya viongozi wa CCM bado wanatumia karata hiyo linapokuja suala la Chadema. Hatari yake ni kuwa jambo hili litafanya chama chetu kionekane kinawagawa Watanzania kwa misingi ya dini, kabila na hata rangi vitu ambavyo ni vigeni kabisa ndani ya CCM.

CCM ni chama ambacho kinahitaji wakati huu kuliko wakati mwingine wowote ule kuonesha uongozi katika kujadili issue na siyo watu. Kwa kuanza kujadili watu CCM kimejiingiza kwenye mtego ambao ni vigumu sana kutoka na ni mtego ambao mwisho tutajikuta tunanasa sisi wenyewe. Sasa turudi kwenye issue muhimu za taifa.

- Kuna masuala mengi ambayo Watanzania tunataka kuona tofauti katika maisha yetu na yanayohitaji majibu kutoka Chama Tawala. Tulienda kwenye uchaguzi na kuomba kura za Watanzania ili tuwaongoze kwa miaka mitano ijayo na hilo ndilo tunatakiwa kufanya siyo kujitetea kila kukicha au kulalamikia upinzani. Kama tutawapatia Watanzania uongozi wakati huu basi hoja nyingi za upinzani zitakufa zenyewe. Lakini tukisikia tena mambo ya Chadema chama cha Wachagga au cha Wakristu kutoka viongozi wa CCM tutakuwa tunakaribisha mgawanyiko mkubwa kati ya wananchi. CCM iachane na hoja hizi za udini na ukabila na iwe mwepesi kujitenga nazo wala isizilee au kuhusishwa nazo kabisa. Siasa za udini na ukabila zimepitwa na wakati twende kwenye siasa za issue:


Yapo masuala ya:

Utawala bora
Elimu
Utawala wa Sheria
Nishati
Katiba Mpya
n.k

- Viongozi wetu wa CCM na CHADEMA, mtaanza lini kuzungumzia haya badala ya kuhangaika na mambo ya CCJ na siasa za chama cha Wachagga? Hebu turudi sasa kwenye issues muhimu kwa taifa letu, kama hamuwezi jivueni magamba tuanze upya!


MUNGU IBARIKI TANZANIA!


William Malecela.

Mkuu mimi nashuku kwa kutambia na kuweka wazi chama chako inafanya ndivyo sivyo, hata mimi nakiunga mkono CDM kwa sababu CCM inaharibu kila mahali, mfano ukiangalia mambo yanayoendelea bungeni tangu 1995 hadi sasa ni ushahidi wa kutosha kabisa wa kuiunga mkono CDM. Nafikiri ni muda mwafaka wa wewe kuleta harakati zako ndani ya CDM. Au unasubiri mpaka magamba yaishe muanze upya?

Mimi nafikiri wewe huwatendei haki wTZ, kwani unaona kabisa CCM inafanya vibaya lakini husemi. Swali langu kwako ni hivi kuna siku waTZ wataiamini tena CCM kuwa italeta maisha bora TZ hasa Vijana? Najua kisiasa utasema ipo siku lakini there is no way you can prove it. Hivi unafikiri wanaofanya siasa za udini ni wanachama wa CCM au Viongozi wa CCM na kwa Maslahi yao au ya wananchi.

Msalimie mzee Malecela, mwambie Peoples power.
 
nguvumali,
ahadi zipi uzisemazo na porojo zipi tuziache?


icon1.png
Tukumbushane ahadi za JK

1.Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora
2.Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda - Tanga mjini
3.Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria - Igunga
4.Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU) - Shinyanga
5.Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini - Dodoma
6.Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono - Dodoma mjini
7.Kuwapatia trekta wakulima - Kata ya Mrijo, Dodoma
8.Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi - Kagera
9.Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi - Kagera
10.Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba - Bukoba Mjini
11.Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini
12.Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda - Kagera
13.Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme - Kagera
14.Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu - Kagera
15.Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino - Mbeya
16.Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba - Kagera
17.Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
18.Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika - Mwanza
19.Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye vifaa kupambana na wahalifu - Mwanza
20.Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani - Geita
21.Kulinda muungano kwa nguvu zote - Pemba
22.Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa - Morogoro
23.Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa - Mbeya mjini
24.Kujenga bandari Kasanga – Rukwa
25.Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
26.Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira - Mbeya
27.Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama - Tanga
28.Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini - Iringa
29.Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani – Kihurio na kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es salaam - Same mkoani Kilimanjaro
30.Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same - Same Mjini
31.Kuboresha barabara za Igunga - Tabora
32.Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu - Kisesa Magu
33.Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya - Mbeya Mjini
34.Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN) - Hydom Manyara
35.Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa - Musoma
36.Kulinda haki za walemavu - Makete
37.Kujenga baabara ya Njombe - Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109 - Iringa mjini
38.Kujenga barabara Musoma – Mto wa Mbu Arusha - Arusha
39.Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
40.Kujenga barabara ya lami Manyoni-Kigoma – Kaliua,Tabora
41.Kukarabati barabara ya Arusha Moshi - Arusha Mjini
42.Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa, mpaka Singida - Dodoma
43.Kuwafidia wanakijiji ng’ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009 - Longido
44.Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria - Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga
45.Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha – Arusha mjini
46.Kukopesha wavuvi zana za kilimo - Busekera, Wilaya ya Musoma
47.Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido - Longido
48.Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti – Ngorongoro
49.Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunza mifugo yao vizuri - Mbulu mkoani Manyara
50.Kusambaza maji nchi nzima - Babati vijijini
51.Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015 - Babati vijijini
52.Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha - Iringa
53.Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika - Iringa
54.Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania - Iringa
55.Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi -Ifunda
56.Kutokomeza malaria 2015 - Bunda, mkoa wa Mara
57.Kuwapa wanawake nafasi zaidi - Kilolo, Iringa
58.Ahadi kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii - Kibandamaiti Mjini Zanzibar
59.Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa - Kibandamaiti mjini Zanzibar
60.Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada - Kibandamaiti
61.Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay - Ruvuma
62.Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400 - Mbambabay Ruvuma
63.kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga (MBICU) – Ruvuma
64.Ahadi Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania – Ruvuma
65.Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
66.Mtwara kuwa mji wa Viwanda – Mtwara
67.Ahadi ujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu - Kibaha
68.Hospitali ya Tumbi kuwa ya mkoa - Kibaha
69.Halmashauri ya manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la viwanda - Kibaha
70. Barabara za angani (fly overs. )
Huko mmefilka mbali wakuu...bwa'mdogo mutamuotesha mvi mapema......
 
@ Facebook:by William Malecela on Monday, May 23, 2011 at 4:11am

- Mjadala wa suala la Ukabila na udini ni mjadala ambao umeshapittwa na wakati. Sioni sababu kwanini baadhi ya viongozi wa CCM bado wanatumia karata hiyo linapokuja suala la Chadema. Hatari yake ni kuwa jambo hili litafanya chama chetu kionekane kinawagawa Watanzania kwa misingi ya dini, kabila na hata rangi vitu ambavyo ni vigeni kabisa ndani ya CCM.

CCM ni chama ambacho kinahitaji wakati huu kuliko wakati mwingine wowote ule kuonesha uongozi katika kujadili issue na siyo watu. Kwa kuanza kujadili watu CCM kimejiingiza kwenye mtego ambao ni vigumu sana kutoka na ni mtego ambao mwisho tutajikuta tunanasa sisi wenyewe. Sasa turudi kwenye issue muhimu za taifa.

- Kuna masuala mengi ambayo Watanzania tunataka kuona tofauti katika maisha yetu na yanayohitaji majibu kutoka Chama Tawala. Tulienda kwenye uchaguzi na kuomba kura za Watanzania ili tuwaongoze kwa miaka mitano ijayo na hilo ndilo tunatakiwa kufanya siyo kujitetea kila kukicha au kulalamikia upinzani. Kama tutawapatia Watanzania uongozi wakati huu basi hoja nyingi za upinzani zitakufa zenyewe. Lakini tukisikia tena mambo ya Chadema chama cha Wachagga au cha Wakristu kutoka viongozi wa CCM tutakuwa tunakaribisha mgawanyiko mkubwa kati ya wananchi. CCM iachane na hoja hizi za udini na ukabila na iwe mwepesi kujitenga nazo wala isizilee au kuhusishwa nazo kabisa. Siasa za udini na ukabila zimepitwa na wakati twende kwenye siasa za issue:


Yapo masuala ya:

Utawala bora
Elimu
Utawala wa Sheria
Nishati
Katiba Mpya
n.k

- Viongozi wetu wa CCM na CHADEMA, mtaanza lini kuzungumzia haya badala ya kuhangaika na mambo ya CCJ na siasa za chama cha Wachagga? Hebu turudi sasa kwenye issues muhimu kwa taifa letu, kama hamuwezi jivueni magamba tuanze upya!


MUNGU IBARIKI TANZANIA!


William Malecela.

ccm imeshatawala sana ndugu,waache na wengine nao watawale nchi ni yetu wote ati
 
@ Facebook:by William Malecela on Monday, May 23, 2011 at 4:11am

- Mjadala wa suala la Ukabila na udini ni mjadala ambao umeshapittwa na wakati. Sioni sababu kwanini baadhi ya viongozi wa CCM bado wanatumia karata hiyo linapokuja suala la Chadema. Hatari yake ni kuwa jambo hili litafanya chama chetu kionekane kinawagawa Watanzania kwa misingi ya dini, kabila na hata rangi vitu ambavyo ni vigeni kabisa ndani ya CCM.

CCM ni chama ambacho kinahitaji wakati huu kuliko wakati mwingine wowote ule kuonesha uongozi katika kujadili issue na siyo watu. Kwa kuanza kujadili watu CCM kimejiingiza kwenye mtego ambao ni vigumu sana kutoka na ni mtego ambao mwisho tutajikuta tunanasa sisi wenyewe. Sasa turudi kwenye issue muhimu za taifa.

- Kuna masuala mengi ambayo Watanzania tunataka kuona tofauti katika maisha yetu na yanayohitaji majibu kutoka Chama Tawala. Tulienda kwenye uchaguzi na kuomba kura za Watanzania ili tuwaongoze kwa miaka mitano ijayo na hilo ndilo tunatakiwa kufanya siyo kujitetea kila kukicha au kulalamikia upinzani. Kama tutawapatia Watanzania uongozi wakati huu basi hoja nyingi za upinzani zitakufa zenyewe. Lakini tukisikia tena mambo ya Chadema chama cha Wachagga au cha Wakristu kutoka viongozi wa CCM tutakuwa tunakaribisha mgawanyiko mkubwa kati ya wananchi. CCM iachane na hoja hizi za udini na ukabila na iwe mwepesi kujitenga nazo wala isizilee au kuhusishwa nazo kabisa. Siasa za udini na ukabila zimepitwa na wakati twende kwenye siasa za issue:


Yapo masuala ya:

Utawala bora
Elimu
Utawala wa Sheria
Nishati
Katiba Mpya
n.k

- Viongozi wetu wa CCM na CHADEMA, mtaanza lini kuzungumzia haya badala ya kuhangaika na mambo ya CCJ na siasa za chama cha Wachagga? Hebu turudi sasa kwenye issues muhimu kwa taifa letu, kama hamuwezi jivueni magamba tuanze upya!


MUNGU IBARIKI TANZANIA!


William Malecela.

Ile @ New York, USA naona imesahaulika!
 
icon1.png
Tukumbushane ahadi za JK

1.Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora
2.Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda - Tanga mjini
3.Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria - Igunga
4.Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU) - Shinyanga
5.Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini - Dodoma
6.Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono - Dodoma mjini
7.Kuwapatia trekta wakulima - Kata ya Mrijo, Dodoma
8.Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi - Kagera
9.Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi - Kagera
10.Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba - Bukoba Mjini
11.Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini
12.Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda - Kagera
13.Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme - Kagera
14.Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu - Kagera
15.Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino - Mbeya
16.Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba - Kagera
17.Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
18.Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika - Mwanza
19.Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye vifaa kupambana na wahalifu - Mwanza
20.Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani - Geita
21.Kulinda muungano kwa nguvu zote - Pemba
22.Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa - Morogoro
23.Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa - Mbeya mjini
24.Kujenga bandari Kasanga – Rukwa
25.Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
26.Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira - Mbeya
27.Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama - Tanga
28.Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini - Iringa
29.Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani – Kihurio na kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es salaam - Same mkoani Kilimanjaro
30.Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same - Same Mjini
31.Kuboresha barabara za Igunga - Tabora
32.Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu - Kisesa Magu
33.Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya - Mbeya Mjini
34.Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN) - Hydom Manyara
35.Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa - Musoma
36.Kulinda haki za walemavu - Makete
37.Kujenga baabara ya Njombe - Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109 - Iringa mjini
38.Kujenga barabara Musoma – Mto wa Mbu Arusha - Arusha
39.Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
40.Kujenga barabara ya lami Manyoni-Kigoma – Kaliua,Tabora
41.Kukarabati barabara ya Arusha Moshi - Arusha Mjini
42.Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa, mpaka Singida - Dodoma
43.Kuwafidia wanakijiji ng’ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009 - Longido
44.Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria - Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga
45.Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha – Arusha mjini
46.Kukopesha wavuvi zana za kilimo - Busekera, Wilaya ya Musoma
47.Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido - Longido
48.Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti – Ngorongoro
49.Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunza mifugo yao vizuri - Mbulu mkoani Manyara
50.Kusambaza maji nchi nzima - Babati vijijini
51.Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015 - Babati vijijini
52.Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha - Iringa
53.Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika - Iringa
54.Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania - Iringa
55.Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi -Ifunda
56.Kutokomeza malaria 2015 - Bunda, mkoa wa Mara
57.Kuwapa wanawake nafasi zaidi - Kilolo, Iringa
58.Ahadi kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii - Kibandamaiti Mjini Zanzibar
59.Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa - Kibandamaiti mjini Zanzibar
60.Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada - Kibandamaiti
61.Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay - Ruvuma
62.Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400 - Mbambabay Ruvuma
63.kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga (MBICU) – Ruvuma
64.Ahadi Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania – Ruvuma
65.Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
66.Mtwara kuwa mji wa Viwanda – Mtwara
67.Ahadi ujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu - Kibaha
68.Hospitali ya Tumbi kuwa ya mkoa - Kibaha
69.Halmashauri ya manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la viwanda - Kibaha
70. Barabara za angani (fly overs. )

Heshima kwako Matola,

Mkuu hizo nondo zitamkimbiza kijana wetu bado tunamhitaji sana hapa jamvini.
 
Heshima kwako Matola,

Mkuu hizo nondo zitamkimbiza kijana wetu bado tunamhitaji sana hapa jamvini.

Ila Mkuu zinahitaji kujibiwa ni lini utekelezaji wake utaanza maana haipaswi kupita hivi hivi
Na zimfanye aache masuala ya sijui ukabila na nini huko majukwaaani aanze kuongelea mambo mazito kama haya
 
masanilo@jamiiforums.com

Safi sana kijana itapendeza ukiwa unakuja unajibu hoja! Ila Kuwa Makini JF hapendwi mtu ni hoja tu....jiandae kunyukwa kwa vigongo.

Mkuu Rev Masa kuna hoja moja ulimuanzishia huyu kijana wetu kuhusu dada yetu mmoja hivi , naona umeipotezea na yeye hajaijibu, nafikiri huko mbeleni utakuja nayo tena kama kijana atakuja na siasa za kungelea maisha ya watu
 
Back
Top Bottom