CCM Mwanza kwisha

Mh: Mbunge anatimiza wajibu kupeleka mrejesho kwa wapiga kura wake,,
sioni haja ya kuacha shughuri zangu kwenda mkutanoni wakati changamoto zote zinatatuliwa kwa wakati,, Mh: Stan Mabula piga kazi kaka tuna imani na wewe,,,
Kweli kero zinatatuliwa kwa wakati,hata anakoishi mh maeneo ya Nyegezi Majengo maji yanamwagika masaa 24. Barabara za mitaani jimboni zinapitika vizuri sana nyakati zote,mfano barabara ya Nyegezi Kapuya street inayoshukia Saguda hoteli zinapitika tu vzr,Nchenga street kutokea Gemstone kuelekea City side ziko vizuri sana tuendelee kumpongeza mh kapiga kazi inayoonekana hata kwa macho.
 
Endelee kuota Ndoto! Ikiwezekana lala sana ili ndoto zako zitimie! Hii ndio CCM Mpya! Mlilegezewa sana dadeki! Sasa kaja Mwamba anapiga kotekote hamfurukuti!nyuma hamtikisiki mbele hamchezi! Duniani hampo Akhera mnatafuttwa Ndegelek
Hiyo mpya ya kina Haraka haraka????
Kuanzia huko kwa mwamba km uchaguzi ukiwa fair anapotezwa kwenye ulingo wa siasa saa nne tu asubuhi....
 
Mbona hapo naona wamejaa chokolaa na machizi na watoto tu! Au kulipikwa wali?
 
Kama kawaida huwezi kuweka vikao vya ccm bila kuweka wali maharagwe ukategemea kupata mtu
Mbona hapo naona wamejaa chokolaa na machizi na watoto tu! Au kulipikwa wali?
 
Wacha waendelee kujidanganya ila watakuja kujilaumu siku isiyo na jina wakati wanao wategemea kuwalinda watakapo amua kuwa upande wa chama wananchi
Hiyo mpya ya kina Haraka haraka????
Kuanzia huko kwa mwamba km uchaguzi ukiwa fair anapotezwa kwenye ulingo wa siasa saa nne tu asubuhi....
 
Ingawa siamini maneno hayo lkn juzi kati nilikuwa Chakechake hapo mwanza hali niliyoiona ni tishio
 
Chekechea! ashitakiwe kwa kutumia watoto wadogo kupiga kampeni za kisiasa
 
Mwanza mnakuwaga vigeugeu kama watu wa bukoba wala ndizi
 
Yani mnajidanganya sana CHADEMA hata wasipofika mkutanoni watu saizi tunauhakika na dereva((JPM) na gari lake........ Acha tufanye kazi saizi then 2020 tunafumba macho na kuweka tick kila penye rangi ya kijani na penye nyundo na spedi watupeleke 2025 maana hawana mpinzani na tumeielewa kazi ya JPM
 
Chekechea! ashitakiwe kwa kutumia watoto wadogo kupiga kampeni za kisiasa
Tuihifadhi hii picha inaweza ikatusaidia mbele ya safari baada ya kupata ukombozi
 
Reactions: MTK
Hiyo ndiyo akili yako hakuna wa kukulaumu endelea Kula ugali na mapanki huku ukiimba ccm ccm
 
Umejiunga JF leo hii baada ya kuona huu uzi juu ya anguko la ccm mkoani mwanza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…