Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,919
- 7,768
Wananchi wa mkoa wa mwanza wameanza kuionyesha ccm kwa vitendo kuwa wameichoka na hiyo inathibitishwa na ususiaji wa mikutano ya wabunge wa chama hicho mkoani humo.
Hapo ni jana wakati mbunge wa Nyamagana akihutubia mkutano wa hadhara.
Mwenye macho na atazame.....
View attachment 1122332
Hebu walete picha ya eneo zima, mbona hiyo imepigwa kipandeVigezo vingine havina maana mbona hata mkutano wa Msigwa Iringa lasti time ulikuwa na watu china ya 1000.
Na Masha nae ni msukuma......Ni ukweli mwanza watu hawaipendi ccm hilo hata ccm wenyewe wanajua shida ipo kwa wagombea wa upinzani huwa hawajielewi sijui wanawaogotaga wapi. Huyu wenje alipewa ubunge akalewa akawa anatokea siku za maandamano tu akaanza kuwatukana wasukuma kuwa ni washamba sana na wakabila wakati yeye ni mjaruo na wamemchagua hakuna lolote alilofanya akienda igoma anawambia buhongwa kajenga zahanati kumbe fix na akifika buhongwa anawambia igoma kajenga madarasa kumbe fix
Ushaul chadema wajue kanda ya ziwa kunaendeshwa kwa ukabila waweke wagombea wasukuma siyo kuletana wachaga kama alivyo kuwa kwa kiwia
Ni sehemu moja tu ambayo kuna mbunge wa kabila tofaut napo ni bunda ester bulaya ni msukuma japo napo pana wasukuma wengi
Mayala B
Mbona unaongea hivyo, nimeomba tu picha ya eneo zima. Mengine yamekuja vipi?Poleni sana kama mmefikia hatua ya kuona kama picha imepigwa kwa upendeleo
Wanaweza wasirudi kabisa hata mmoja na hakuna anaebisha. Na ndo maana DED wanakumbatiwa wasimamie uchaguzi wakisaidiwa na rundo la polisi.Jiandaeni Kisaikolojia! 2020 Wabunge wa Upinzani watakaorudi hawazidi 10 Nchi nzima Mwanza tunawapiga asubuhi tu! CCM Oyeeeeee!
Uelewa bado sana sasa ebu wote tuwe na uelewa wa sheria huenda tukatatua pasipo nguvu huko nyamagana mpoooooKwa kuongezea pia ni kuwa uelewa wa wapiga kura wa 2015 na 2020 utakuwa tofauti sana maana uvumilivu nao una mwisho
Wanaweza wasirudi kabisa hata mmoja na hakuna anaebisha. Na ndo maana DED wanakumbatiwa wasimamie uchaguzi wakisaidiwa na rundo la polisi.
Siku ya kufanya uchaguzi ambao ni huru kabisaaaa....CCM ni kama kusukuma unywele. Na bahati nzuri wote tunalijua hilo, endeleeni kutegemea dola kuwachagulia viongozi.
Mbona picha nyingine hizi mliziruka, nimeona niingie kwenye akaunti ya Stanslaus Mabula ya Instagram nimezikutaYameandikwa ka.a wewe ulivyo andika
Hilo li chama nani analitaka ,limetuletea umaskini na ufukara nchi hii .
Mbona picha nyingine hizi mliziruka, nimeona niingie kwenye akaunti ya Stanslaus Mabula ya Instagram nimezikutaView attachment 1122503View attachment 1122504View attachment 1122505