CCM msipomdhibiti Magufuli mtavuna mabua

VIVIANET

JF-Expert Member
Aug 30, 2015
2,129
2,918
Kwenye Biblia Muhubiri 3:1 kwa kila jambo kuna majira yake. kwa hiyo jambo lolote likifanyika kabla ya majira yake ni hatari sana maana huleta matokeo mabaya. Haya yanayofanywa na JPM ni hatari maana yaweza kusambaratisha chama kwa kisingizio cha kusafisha chama. Kama kweli ana nia ya dhati ya kusafisha chama na nchi angeendelea na operesheni alizoanzisha za kuwafukuza wote walio na vyeti vya kufoji na wanaotumia madaraka vibaya kama Makonda. Yeye ameonyesha wazi kuwa na visasi na kuwazodoa wale wote wanaonesha kumkosoa yeye na hasa mtoto wake.

CCM msijidanganye kuwa ninyi ni chama pendwa na mnamalizaga mambo yenu kwa vikao vya ndani, la hasha mlipofika sasa sipo maana chama kina ongozwa na fikra na mawazo ya mtu mmoja tu ambaye hataki ashauriwe au kupingwa kile anachowaza yeye, je hii ndio ccm tunayoijua?

Kama mtaendelea kuchekelea mtavuna mabua maana hali siyo nzuri kwa sasa
 
Margaret Thatcher akiwa waziri mkuu wa Uingereza, serikali yake ilipoanza kupoteza Imani na wananchi ikiwa pamoja na migomo ya vyama ya wafanya kazi na vyama vyao. Chama chake cha Conservative kiliitisha kura ya 'no confidence' 1978 iliyopelekea Bunge kuvunjwa na uchaguzi mkuu kuitishwa mwaka 1979. Matokeo yake yalikuwa ushindi kwa chama cha upinzani.
 
Kwenye Biblia Muhubiri 3:1 kwa kila jambo kuna majira yake. kwa hiyo jambo lolote likifanyika kabla ya majira yake ni hatari sana maana huleta matokeo mabaya. Haya yanayofanywa na JPM ni hatari maana yaweza kusambaratisha chama kwa kisingizio cha kusafisha chama. Kama kweli ana nia ya dhati ya kusafisha chama na nchi angeendelea na operesheni alizoanzisha za kuwafukuza wote walio na vyeti vya kufoji na wanaotumia madaraka vibaya kama Makonda. Yeye ameonyesha wazi kuwa na visasi na kuwazodoa wale wote wanaonesha kumkosoa yeye na hasa mtoto wake.

CCM msijidanganye kuwa ninyi ni chama pendwa na mnamalizaga mambo yenu kwa vikao vya ndani, la hasha mlipofika sasa sipo maana chama kina ongozwa na fikra na mawazo ya mtu mmoja tu ambaye hataki ashauriwe au kupingwa kile anachowaza yeye, je hii ndio ccm tunayoijua?

Kama mtaendelea kuchekelea mtavuna mabua maana hali siyo nzuri kwa sasa
ahaaaa!!!!! Mtavuna Mabua, Rungu kapewa Kch..................................................
 
You are right my brother

Margaret Thatcher akiwa waziri mkuu wa Uingereza, serikali yake ilipoanza kupoteza Imani na wananchi ikiwa pamoja na migomo ya vyama ya wafanya kazi na vyama vyao. Chama chake cha Conservative kiliitisha kura ya 'no confidence' 1978 iliyopelekea Bunge kuvunjwa na uchaguzi mkuu kuitishwa mwaka 1979. Matokeo yake yalikuwa ushindi kwa chama cha upinzani.
 
Wanajua lkn hawana cha kumfanya coz wote ni waoga na wanaongozwa na matumbo yao hivyo kila mmoja anaogopa kumwaga ugali wake ila mkuu umeona mbali soon wote watakuwa kama paka aliye aliyemwagiwa maji anaona uvivu hata kutikisa mkiwa wake
 
Kishapanic!

Hata akiskia tunacheka zetu huku anadhan tunacheka Mahusiano yake na Bashite
 
f73affa7254d7db1e3a7c7fcea089565.jpg
 
Sasa nyie wapuuzi CCM ikifa si ndio mfurahie??
Kinawauma nini CCM ikifa?? Si ndio mtashinda uchaguzi kiulaini??
Hapa mwenye akili timamu anaona kinyume cha haya uliyoyaandika hapa!!
 
Somo

Ukitaka kujua hasira za mwanaume(Magufuli) , mchokoze bi mdogo (Bashite).

Bora apoteze marafiki wote lakini bi Mdogo nafasi yake ibaki pale pale.
 
Sasa nyie wapuuzi CCM ikifa si ndio mfurahie??
Kinawauma nini CCM ikifa?? Si ndio mtashinda uchaguzi kiulaini??
Hapa mwenye akili timamu anaona kinyume cha haya uliyoyaandika hapa!!


Kwani kila anayetoa comment kinyume na ccm ni upinzani? think twice
 
Kwenye Biblia Muhubiri 3:1 kwa kila jambo kuna majira yake. kwa hiyo jambo lolote likifanyika kabla ya majira yake ni hatari sana maana huleta matokeo mabaya. Haya yanayofanywa na JPM ni hatari maana yaweza kusambaratisha chama kwa kisingizio cha kusafisha chama. Kama kweli ana nia ya dhati ya kusafisha chama na nchi angeendelea na operesheni alizoanzisha za kuwafukuza wote walio na vyeti vya kufoji na wanaotumia madaraka vibaya kama Makonda. Yeye ameonyesha wazi kuwa na visasi na kuwazodoa wale wote wanaonesha kumkosoa yeye na hasa mtoto wake.

CCM msijidanganye kuwa ninyi ni chama pendwa na mnamalizaga mambo yenu kwa vikao vya ndani, la hasha mlipofika sasa sipo maana chama kina ongozwa na fikra na mawazo ya mtu mmoja tu ambaye hataki ashauriwe au kupingwa kile anachowaza yeye, je hii ndio ccm tunayoijua?

Kama mtaendelea kuchekelea mtavuna mabua maana hali siyo nzuri kwa sasa
Jirani akiamua kuchoma nyumba kwa makusudi unafanyaje??
 
Sasa nyie wapuuzi CCM ikifa si ndio mfurahie??
Kinawauma nini CCM ikifa?? Si ndio mtashinda uchaguzi kiulaini??
Hapa mwenye akili timamu anaona kinyume cha haya uliyoyaandika hapa!!
Ndio akili zako zilipofikia, kila mtu anapokosoa unajua anakuonea wivu.
 
Kumnyang'anya Paka mnofu WA nyama naskia shughuli kweli kweli. Kinyago tumekiweka wenyewe sebuleni sasa kinatutisha in msukuma voice
 
Anajidanga Wamtandaoni ndio hatumpend lkn wananch wa kule kijijn kolomije wanamuelewa...
.
.
Muache avuruge tu atajikuta amebak peke yake na bashite tu
 
Back
Top Bottom