25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,771
Ccm nini?Nakubali
Ccm nini?Nakubali
Unaijua CCM wewe? Wenzio walishaamua kwenda na mama hadi 2035 kaa kwa kutulia. Awamuu hii anamalizia ya JPM. Miaka yake 10 inaanza kuhesabiwa 2025 onwardsSina haja ya kutoa salamu, ila ninyi CCM ni chama kinachotegemewa hakuna namna maana kwenye Chadema nako hakuaminiki kabisa , hawa jamaa hata wakichukua nchi nao hawatabadili katiba.
Ila nyie Ma CCM uchaguzi wa mwaka 2025 msiruhusu huyu mama agombee tuleteeni majembe mengine hasa yale yanatofanana na Magufuli au Mkapa nchi hii inaweza kunyooka, ila tumekwisha
Ukweli mchungu ndugu yangu yumeisha kabisaa hata aje paroko hatoboi this timeSina haja ya kutoa salamu, ila ninyi CCM ni chama kinachotegemewa hakuna namna maana kwenye Chadema nako hakuaminiki kabisa , hawa jamaa hata wakichukua nchi nao hawatabadili katiba.
Ila nyie Ma CCM uchaguzi wa mwaka 2025 msiruhusu huyu mama agombee tuleteeni majembe mengine hasa yale yanatofanana na Magufuli au Mkapa nchi hii inaweza kunyooka, ila tumekwisha
Namna chadema inavyoibia nchi na kutesa wananchi wake kisa mwekezajiSina haja ya kutoa salamu, ila ninyi CCM ni chama kinachotegemewa hakuna namna maana kwenye Chadema nako hakuaminiki kabisa , hawa jamaa hata wakichukua nchi nao hawatabadili katiba.
Ila nyie Ma CCM uchaguzi wa mwaka 2025 msiruhusu huyu mama agombee tuleteeni majembe mengine hasa yale yanatofanana na Magufuli au Mkapa nchi hii inaweza kunyooka, ila tumekwisha
Kila ikiwekwa wanaifuta haraka sanaHebu iweke hapa tuione
Unaijua CCM wewe? Wenzio walishaamua kwenda na mama hadi 2035 kaa kwa kutulia. Awamuu hii anamalizia ya JPM. Miaka yake 10 inaanza kuhesabiwa 2025 onwards
Sio kweli mbona jpm hakubalikiHakuna rais alokubalika ilhali akiwa bado madarakani. Yaani hata huyu tutakuja kumuona afadhali pindi atakapomaliza muda wake.
Muhimu ni wewe upambanie tumbo lako pamoja na familia yako. Yaani hao wenyewe wako pale kama career yao vile kwa hiyo we pambana mdau. Yaani pambana kivyakovyako. Usiamini kuna kiumbe duniani kitakuja kukubadilishia maisha yako.
Niimeshaitafuta kila mahali siioni kulikoni au bado ni Taarifa fiche?Huyu mama anatumia mwanae aitwaye Abdul kupiga hela. Kuna deal la kijana huyo akishirikiana na waziri wa mambo ya ndani walivyokwapua mabilioni. Hiyo taarifa kila ikiletwa humu JF mods wanaiondoa haraka sana!
Asubuhi ilikuwepo na ilikuwa imeshika kasi kabla mkono mrefu wa serikali haujaifikiaNiimeshaitafuta kila mahali siioni kulikoni au bado ni Taarifa fiche?
waweke yeyeote iwe huyo mama hata wakimweka mwijaku wanashinda kwa kishindo.Sina haja ya kutoa salamu, ila ninyi CCM ni chama kinachotegemewa hakuna namna maana kwenye Chadema nako hakuaminiki kabisa , hawa jamaa hata wakichukua nchi nao hawatabadili katiba.
Ila nyie Ma CCM uchaguzi wa mwaka 2025 msiruhusu huyu mama agombee tuleteeni majembe mengine hasa yale yanatofanana na Magufuli au Mkapa nchi hii inaweza kunyooka, ila tumekwisha
Majukumu yaliniponzaAsubuhi ilikuwepo na ilikuwa imeshika kasi kabla mkono mrefu wa serikali haujaifikia
Unamuomba shetani awaletee mchungaji siyoSina haja ya kutoa salamu, ila ninyi CCM ni chama kinachotegemewa hakuna namna maana kwenye Chadema nako hakuaminiki kabisa , hawa jamaa hata wakichukua nchi nao hawatabadili katiba.
Ila nyie Ma CCM uchaguzi wa mwaka 2025 msiruhusu huyu mama agombee tuleteeni majembe mengine hasa yale yanatofanana na Magufuli au Mkapa nchi hii inaweza kunyooka, ila tumekwisha
mkuu ankol tunapambana sana lakini mwisho wa siku mustakbali wetu na maisha yetu na uzao wetu bado unategemea maamuzi ya wanasiasa,, no way out,, ndio maana tuna force tu ivo ivo,,Hakuna rais alokubalika ilhali akiwa bado madarakani. Yaani hata huyu tutakuja kumuona afadhali pindi atakapomaliza muda wake.
Muhimu ni wewe upambanie tumbo lako pamoja na familia yako. Yaani hao wenyewe wako pale kama career yao vile kwa hiyo we pambana mdau. Yaani pambana kivyakovyako. Usiamini kuna kiumbe duniani kitakuja kukubadilishia maisha yako.
Wasukuma hapanaaaaaaa noooooo nooooooLuhaga Mpina atatoka CCM na sisi tutampigia kura popote pale alipo.
Tunamfuata kama tunavyomfuata Mandonga...
Magufuli alikuwa Rais wa hovyo kuwahi kutokea katika historian ya Tanganyika ila wajinga hamkielewa!!Sina haja ya kutoa salamu, ila ninyi CCM ni chama kinachotegemewa hakuna namna maana kwenye Chadema nako hakuaminiki kabisa , hawa jamaa hata wakichukua nchi nao hawatabadili katiba.
Ila nyie Ma CCM uchaguzi wa mwaka 2025 msiruhusu huyu mama agombee tuleteeni majembe mengine hasa yale yanatofanana na Magufuli au Mkapa nchi hii inaweza kunyooka, ila tumekwisha
Samia atosha hutaki hama nchi kima weweItapendeza Sana Ikiwa Hivyo