roadmaster
JF-Expert Member
- Mar 21, 2023
- 1,707
- 2,885
Hata jpm alikuwa mwizi kupitia dotoHuyu mama anatumia mwanae aitwaye Abdul kupiga hela. Kuna deal la kijana huyo akishirikiana na waziri wa mambo ya ndani walivyokwapua mabilioni. Hiyo taarifa kila ikiletwa humu JF mods wanaiondoa haraka sana!