sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,162
Sina haja ya kutoa salamu, ila ninyi CCM ni chama kinachotegemewa hakuna namna maana kwenye Chadema nako hakuaminiki kabisa , hawa jamaa hata wakichukua nchi nao hawatabadili katiba.
Ila nyie Ma CCM uchaguzi wa mwaka 2025 msiruhusu huyu mama agombee tuleteeni majembe mengine hasa yale yanatofanana na Magufuli au Mkapa nchi hii inaweza kunyooka, ila tumekwisha
Ila nyie Ma CCM uchaguzi wa mwaka 2025 msiruhusu huyu mama agombee tuleteeni majembe mengine hasa yale yanatofanana na Magufuli au Mkapa nchi hii inaweza kunyooka, ila tumekwisha

