CCM msifiche aibu yetu kama taifa

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,603
29,748
Mungu nakuomba uniongoze niandike kinachoeleweka

Tanzania sasa inapitia wakati mzito na mgumu sana kama Taifa. Wananchi wamepoteza matumaini lakini kinachowazuia kufanya maamuzi ni hofu ya kuuawa kinyama na vyombo vya dola ambavyo vimeshikamana na mirija inayoitafuna nchi yetu.

Hali ya tabianchi imekuwa negative sana kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa, lakini pamoja na utajiri wa mito na maziwa hatujaweza kuwekeza kwenye kilimo chenye tija. Watanzania walio wengi vijijini wanalima vibustani vya mazao ya vyakula na biashara lakini kilimo hiko hakijakidhi mahitaji ya nchi kuikabili njaa iliyobisha hodi maeneo mengi nchini.

Viongozi wetu ambao wanatumia mbinu zote chafu kujihakikishia wanabaki madarakani wamekuwa ndiyo majinamizi yanayohakikisha hatusongi mbele kwa sababu wanatumia madaraka yao kujinufaisha na mkwamo wa kiuchumi wa nchi yetu. tukianzia bandarini, unaweza kuziona zile CILOS ambazo hapo awali tulikuwa tunaaminishwa kuwa ni hifadhi za nafaka zinazotoka Tanzania kwenda ng'ambo lakini yale maghala kiuhalisia nni kwa matumizi ya goods arrivals za nafaka kutoka nje ya nchi. Mnajua ni kiasi gani cha dola za Kimarekani zinatumika kuagiza chakula kutoka nje? imefikia mahala tunaimport mpaka mchele.

Viongozi wa serikali yetu tukufu wamehakikisha sheria kali zinazodhibiti uwezekano wa mapinduzi ya kilimo zinapitishwa na Bunge ambalo kimsingi halijawahi kutunga sheria bali kuzipitisha tu na watunzi wa sheria ndo wanaenda kuzipitisha. Unapoweka bodi za mazao ambazo hadidu zake kubwa ni kupanga bei za mazao na kudhibiti masoko ni juhudi tukuka za serikali kuwahujumu wananchi wake ambao ndiyo wamiliki halali wa serikali hiyo. Taifa limefanya makosa mengi sana ambayo suluhu yake ni kuwaomba radhi wananchi ama CCM ikubali uwepo wa mazingira chanya ya chaguzi kuu ili kuleta ushindani wenye tija kwenye maongozi ya nchi yetu.

Leo bidhaa ya unga wa mahindi imeshuka bei nchini Kenya ambapo mahindi yake yanatoka Tanzania kwa sehemu kubwa. Ni rahidi kwa mfanyabiashara kufuata unga kutoka Kenya na kuja kuuza hapa nchini kwa bei ya chini. Viongozi wetu wanajua hilo na wanahakikisha wananchi wasijue lolote.

Hivi kuna kiongozi gani wa nchi tukianza na mawaziri hasa Waziri wa elimu au Tamisemi ambaye wanae wanasoma shule za msingi za umma? kama wao wanatunga sera za elimu na wanazisimamia huku wakikwepa zisitumike kwa watoto wao, je ni haramu gani wanayowapelekea wananchi? Hatuwezi kuendelea kama Taifa kwa aina hii ya viongozi ambao wao wanaamini na kuishi kwenye MATAMKO na FIGISUFIGISU.

Niwajulishe tu Watanzania wenzangu kwamba, siasa ina sehemu kubwa kwenye maongozi ya nchi hii lakini tunaweza kuiendeleza nchi yetu nje ya hizi siasa za kimizimu ambazo tunalazimimshwa kuishi nazo na CCM. Endapo Chama Cha Mapinduzi kinaendeleza madudu yake ya miaka mingi ya kujimilikisha utashi na akili za Watanzania kimabavu, basi kijiandae kuwa historia kadiri tunavyosogelea sanduku la kura.

Wananchi wanalalamikia tozo na mazingira adui ya kipato nchini, lakini anatoka Waziri anang'aka NENDENI BURUNDI.... kauli hii na Mfalme wa Ufaransa alipowajibu watu wenye njaa kuwa wale mikate... ni kauli ya kishetani iliyojaa shibe ya jasho la Watanzania kupitia tozo mbalimbali.


CCM mnapaswa kulileleza Taifa ukweli kwamba tupo kwenye mkwamo kama nchi. tumekwama kwa sababu sera na ilani zenu havitekelezeki. mzunguko wa fedha umekuwa mgumu kwa wananchi wengi. nchi inategemea wachuuzi wanaoagiza bidhaa kutoka nje ya nchi ili kutunisha mapato ya taifa. Serikali inawaibia wananchi wake vipato vyao viduchu tena inajilinda kwa kutunga sheria kulinda ujambazi huo. Hakuna mahala ambapo wananchi wamekataa kulipa kodi, lakini aina ya kodi mnazozitaka kutoka kwa wananchi maskini ni sawa na kuwasainisha hati zao za vifo kwa kukosa madawa, huduma na pensheni zao huku mkiwazuia kufanya biashara kwenye mazingira rafiki.

Tanzania sasa ipo kwenye autopilot mode, nchi ina viongozi lakini haina maongozi. tumewajaza wananchi uongo kwamba uchumi upo stable lakini uhalisia nin kwamba tumeshauzwa kama alivyosema Job Ndugai (ingawa naye ni mule mule walioshiriki madhila yetu)


Itaendelea.....
20220812_211745.jpg
 
Mungu nakuomba uniongoze niandike kinachoeleweka

Tanzania sasa inapitia wakati mzito na mgumu sana kama Taifa. Wananchi wamepoteza matumaini lakini kinachowazuia kufanya maamuzi ni hofu ya kuuawa kinyama na vyombo vya dola ambavyo vimeshikamana na mirija inayoitafuna nchi yetu.

Hali ya tabianchi imekuwa negative sana kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa, lakini pamoja na utajiri wa mito na maziwa hatujaweza kuwekeza kwenye kilimo chenye tija. Watanzania walio wengi vijijini wanalima vibustani vya mazao ya vyakula na biashara lakini kilimo hiko hakijakidhi mahitaji ya nchi kuikabili njaa iliyobisha hodi maeneo mengi nchini.

Viongozi wetu ambao wanatumia mbinu zote chafu kujihakikishia wanabaki madarakani wamekuwa ndiyo majinamizi yanayohakikisha hatusongi mbele kwa sababu wanatumia madaraka yao kujinufaisha na mkwamo wa kiuchumi wa nchi yetu. tukianzia bandarini, unaweza kuziona zile CILOS ambazo hapo awali tulikuwa tunaaminishwa kuwa ni hifadhi za nafaka zinazotoka Tanzania kwenda ng'ambo lakini yale maghala kiuhalisia nni kwa matumizi ya goods arrivals za nafaka kutoka nje ya nchi. Mnajua ni kiasi gani cha dola za Kimarekani zinatumika kuagiza chakula kutoka nje? imefikia mahala tunaimport mpaka mchele.

Viongozi wa serikali yetu tukufu wamehakikisha sheria kali zinazodhibiti uwezekano wa mapinduzi ya kilimo zinapitishwa na Bunge ambalo kimsingi halijawahi kutunga sheria bali kuzipitisha tu na watunzi wa sheria ndo wanaenda kuzipitisha. Unapoweka bodi za mazao ambazo hadidu zake kubwa ni kupanga bei za mazao na kudhibiti masoko ni juhudi tukuka za serikali kuwahujumu wananchi wake ambao ndiyo wamiliki halali wa serikali hiyo. Taifa limefanya makosa mengi sana ambayo suluhu yake ni kuwaomba radhi wananchi ama CCM ikubali uwepo wa mazingira chanya ya chaguzi kuu ili kuleta ushindani wenye tija kwenye maongozi ya nchi yetu.

Leo bidhaa ya unga wa mahindi imeshuka bei nchini Kenya ambapo mahindi yake yanatoka Tanzania kwa sehemu kubwa. Ni rahidi kwa mfanyabiashara kufuata unga kutoka Kenya na kuja kuuza hapa nchini kwa bei ya chini. Viongozi wetu wanajua hilo na wanahakikisha wananchi wasijue lolote.

Hivi kuna kiongozi gani wa nchi tukianza na mawaziri hasa Waziri wa elimu au Tamisemi ambaye wanae wanasoma shule za msingi za umma? kama wao wanatunga sera za elimu na wanazisimamia huku wakikwepa zisitumike kwa watoto wao, je ni haramu gani wanayowapelekea wananchi? Hatuwezi kuendelea kama Taifa kwa aina hii ya viongozi ambao wao wanaamini na kuishi kwenye MATAMKO na FIGISUFIGISU.

Niwajulishe tu Watanzania wenzangu kwamba, siasa ina sehemu kubwa kwenye maongozi ya nchi hii lakini tunaweza kuiendeleza nchi yetu nje ya hizi siasa za kimizimu ambazo tunalazimimshwa kuishi nazo na CCM. Endapo Chama Cha Mapinduzi kinaendeleza madudu yake ya miaka mingi ya kujimilikisha utashi na akili za Watanzania kimabavu, basi kijiandae kuwa historia kadiri tunavyosogelea sanduku la kura.

Wananchi wanalalamikia tozo na mazingira adui ya kipato nchini, lakini anatoka Waziri anang'aka NENDENI BURUNDI.... kauli hii na Mfalme wa Ufaransa alipowajibu watu wenye njaa kuwa wale mikate... ni kauli ya kishetani iliyojaa shibe ya jasho la Watanzania kupitia tozo mbalimbali.


CCM mnapaswa kulileleza Taifa ukweli kwamba tupo kwenye mkwamo kama nchi. tumekwama kwa sababu sera na ilani zenu havitekelezeki. mzunguko wa fedha umekuwa mgumu kwa wananchi wengi. nchi inategemea wachuuzi wanaoagiza bidhaa kutoka nje ya nchi ili kutunisha mapato ya taifa. Serikali inawaibia wananchi wake vipato vyao viduchu tena inajilinda kwa kutunga sheria kulinda ujambazi huo. Hakuna mahala ambapo wananchi wamekataa kulipa kodi, lakini aina ya kodi mnazozitaka kutoka kwa wananchi maskini ni sawa na kuwasainisha hati zao za vifo kwa kukosa madawa, huduma na pensheni zao huku mkiwazuia kufanya biashara kwenye mazingira rafiki.

Tanzania sasa ipo kwenye autopilot mode, nchi ina viongozi lakini haina maongozi. tumewajaza wananchi uongo kwamba uchumi upo stable lakini uhalisia nin kwamba tumeshauzwa kama alivyosema Job Ndugai (ingawa naye ni mule mule walioshiriki madhila yetu)


Itaendelea.....View attachment 2342742
Tanzania haihitaji maendeleo kama ya ulaya Tanzania ina aina yake ya maendeleo ambayo yanaanzia kwa viongozi wa CCM na kuishia kwa haohao ambao hivi sasa ni matajiri kuliko wafanyabiashara na wameijenga dola iwalinde kwa hali yoyote ile.
 
Tanzania haihitaji maendeleo kama ya ulaya Tanzania ina aina yake ya maendeleo ambayo yanaanzia kwa viongozi wa CCM na kuishia kwa haohao ambao hivi sasa ni matajiri kuliko wafanyabiashara na wameijenga dola iwalinde kwa hali yoyote ile.
Soon soo soon watajikuta hawana kitu mitaani
 
Hii nchi ni ngumu sana kupiga hatua. Kwa mentality ya walio madarakani, hata miaka 100 ijayo hatuwezi pata nafuu. Hii nchi watu ni wabinafsi sana, Kila mtu anaangalia maslahi binafsi mwanzo mwisho na hawana hata muda wa kuangalia mustakabali wa nchi.

Aliyepo madarakani akisema adui zetu ni mabeberu, basi wa chini yake wote wimbo utakuwa ni huo. Aliyepo madarakani akisema wanawake ndio future ya nchi, walio chini yake wote wimbo utakuwa ni huo.

Yani kiufupi nchi inaendeshwa kisiasa sana.
 
Hii nchi ni ngumu sana kupiga hatua. Kwa mentality ya walio madarakani, hata miaka 100 ijayo hatuwezi pata nafuu. Hii nchi watu ni wabinafsi sana, Kila mtu anaangalia maslahi binafsi mwanzo mwisho na hawana hata muda wa kuangalia mustakabali wa nchi.

Aliyepo madarakani akisema adui zetu ni mabeberu, basi wa chini yake wote wimbo utakuwa ni huo. Aliyepo madarakani akisema wanawake ndio future ya nchi, walio chini yake wote wimbo utakuwa ni huo.

Yani kiufupi nchi inaendeshwa kisiasa sana.
Nchi zote zinaendeshwa kisiasa lakini hii inaendeshwa kwa mawazo ya mtu mmoja
 
Mada nzuri mno kwa upande wangu,mtoa mada umeongelea hali halisi iliyopo nchini, uzuzu na upumbavu wa working class ndio tatizo kubwa hapa, wengi wao wanapiga kelele nyuma ya hizi fake IDs huku ni waoga mno,na wanategema Mh.Mbowe au Mh.Zito ndio wawaongelee matatizo yao, familia ya Mawazo (rip)inapitia kipindi kigumu mno cha maisha, baba yao na bread winner wao alijitolea kupigania haki ya wajinga humu and he end up paying the highest price, and no one ambaye anaamka asubuhi na kuifikiria familia yake even kuwatumia 1k wanunue chapati
 
Hizi ndiyo ndizo sababu zinazotufanya baadhi ya wananchi kuichukia sana CCM. Kiukweli hiki chama kina maudhi kupitiliza.

Halafu ukiwakosoa tu, basi jiandae kushughilikiwa kwa namna yoyote ile kupitia policcm na watu wao wasiojulikana.
 
Tanzania sasa inapitia wakati mzito na mgumu sana kama Taifa. Wananchi wamepoteza matumaini lakini kinachowazuia kufanya maamuzi ni hofu ya kuuawa kinyama na vyombo vya dola ambavyo vimeshikamana na mirija inayoitafuna nchi yetu.
😅😅😅kazi kweli kweli
 
Mada nzuri mno kwa upande wangu,mtoa mada umeongelea hali halisi iliyopo nchini, uzuzu na upumbavu wa working class ndio tatizo kubwa hapa, wengi wao wanapiga kelele nyuma ya hizi fake IDs huku ni waoga mno,na wanategema Mh.Mbowe au Mh.Zito ndio wawaongelee matatizo yao, familia ya Mawazo (rip)inapitia kipindi kigumu mno cha maisha, baba yao na bread winner wao alijitolea kupigania haki ya wajinga humu and he end up paying the highest price, and no one ambaye anaamka asubuhi na kuifikiria familia yake even kuwatumia 1k wanunue chapati
Bora hata hao wapiga kelele nyuma ya Keyboard kuna class hata nyuma ya keyboard na fake ID bado hawawezi.
 
Tanzania haihitaji maendeleo kama ya ulaya Tanzania ina aina yake ya maendeleo ambayo yanaanzia kwa viongozi wa CCM na kuishia kwa haohao ambao hivi sasa ni matajiri kuliko wafanyabiashara na wameijenga dola iwalinde kwa hali yoyote ile.
Mwisho wa siku ni gharama kubwa sana kuendesha serikali ya ccm kwa sababu Mgao ni mkubwa sana. Sio rahisi kuwaridhisha wale jamaa. A huge stake is needed.

Wacha tuendelee kutoa tozo kwa pamoja.
 
Mungu nakuomba uniongoze niandike kinachoeleweka

Tanzania sasa inapitia wakati mzito na mgumu sana kama Taifa. Wananchi wamepoteza matumaini lakini kinachowazuia kufanya maamuzi ni hofu ya kuuawa kinyama na vyombo vya dola ambavyo vimeshikamana na mirija inayoitafuna nchi yetu.

Hali ya tabianchi imekuwa negative sana kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa, lakini pamoja na utajiri wa mito na maziwa hatujaweza kuwekeza kwenye kilimo chenye tija. Watanzania walio wengi vijijini wanalima vibustani vya mazao ya vyakula na biashara lakini kilimo hiko hakijakidhi mahitaji ya nchi kuikabili njaa iliyobisha hodi maeneo mengi nchini.

Viongozi wetu ambao wanatumia mbinu zote chafu kujihakikishia wanabaki madarakani wamekuwa ndiyo majinamizi yanayohakikisha hatusongi mbele kwa sababu wanatumia madaraka yao kujinufaisha na mkwamo wa kiuchumi wa nchi yetu. tukianzia bandarini, unaweza kuziona zile CILOS ambazo hapo awali tulikuwa tunaaminishwa kuwa ni hifadhi za nafaka zinazotoka Tanzania kwenda ng'ambo lakini yale maghala kiuhalisia nni kwa matumizi ya goods arrivals za nafaka kutoka nje ya nchi. Mnajua ni kiasi gani cha dola za Kimarekani zinatumika kuagiza chakula kutoka nje? imefikia mahala tunaimport mpaka mchele.

Viongozi wa serikali yetu tukufu wamehakikisha sheria kali zinazodhibiti uwezekano wa mapinduzi ya kilimo zinapitishwa na Bunge ambalo kimsingi halijawahi kutunga sheria bali kuzipitisha tu na watunzi wa sheria ndo wanaenda kuzipitisha. Unapoweka bodi za mazao ambazo hadidu zake kubwa ni kupanga bei za mazao na kudhibiti masoko ni juhudi tukuka za serikali kuwahujumu wananchi wake ambao ndiyo wamiliki halali wa serikali hiyo. Taifa limefanya makosa mengi sana ambayo suluhu yake ni kuwaomba radhi wananchi ama CCM ikubali uwepo wa mazingira chanya ya chaguzi kuu ili kuleta ushindani wenye tija kwenye maongozi ya nchi yetu.

Leo bidhaa ya unga wa mahindi imeshuka bei nchini Kenya ambapo mahindi yake yanatoka Tanzania kwa sehemu kubwa. Ni rahidi kwa mfanyabiashara kufuata unga kutoka Kenya na kuja kuuza hapa nchini kwa bei ya chini. Viongozi wetu wanajua hilo na wanahakikisha wananchi wasijue lolote.

Hivi kuna kiongozi gani wa nchi tukianza na mawaziri hasa Waziri wa elimu au Tamisemi ambaye wanae wanasoma shule za msingi za umma? kama wao wanatunga sera za elimu na wanazisimamia huku wakikwepa zisitumike kwa watoto wao, je ni haramu gani wanayowapelekea wananchi? Hatuwezi kuendelea kama Taifa kwa aina hii ya viongozi ambao wao wanaamini na kuishi kwenye MATAMKO na FIGISUFIGISU.

Niwajulishe tu Watanzania wenzangu kwamba, siasa ina sehemu kubwa kwenye maongozi ya nchi hii lakini tunaweza kuiendeleza nchi yetu nje ya hizi siasa za kimizimu ambazo tunalazimimshwa kuishi nazo na CCM. Endapo Chama Cha Mapinduzi kinaendeleza madudu yake ya miaka mingi ya kujimilikisha utashi na akili za Watanzania kimabavu, basi kijiandae kuwa historia kadiri tunavyosogelea sanduku la kura.

Wananchi wanalalamikia tozo na mazingira adui ya kipato nchini, lakini anatoka Waziri anang'aka NENDENI BURUNDI.... kauli hii na Mfalme wa Ufaransa alipowajibu watu wenye njaa kuwa wale mikate... ni kauli ya kishetani iliyojaa shibe ya jasho la Watanzania kupitia tozo mbalimbali.


CCM mnapaswa kulileleza Taifa ukweli kwamba tupo kwenye mkwamo kama nchi. tumekwama kwa sababu sera na ilani zenu havitekelezeki. mzunguko wa fedha umekuwa mgumu kwa wananchi wengi. nchi inategemea wachuuzi wanaoagiza bidhaa kutoka nje ya nchi ili kutunisha mapato ya taifa. Serikali inawaibia wananchi wake vipato vyao viduchu tena inajilinda kwa kutunga sheria kulinda ujambazi huo. Hakuna mahala ambapo wananchi wamekataa kulipa kodi, lakini aina ya kodi mnazozitaka kutoka kwa wananchi maskini ni sawa na kuwasainisha hati zao za vifo kwa kukosa madawa, huduma na pensheni zao huku mkiwazuia kufanya biashara kwenye mazingira rafiki.

Tanzania sasa ipo kwenye autopilot mode, nchi ina viongozi lakini haina maongozi. tumewajaza wananchi uongo kwamba uchumi upo stable lakini uhalisia nin kwamba tumeshauzwa kama alivyosema Job Ndugai (ingawa naye ni mule mule walioshiriki madhila yetu)


Itaendelea.....View attachment 2342742
Well narrated
 
Mungu nakuomba uniongoze niandike kinachoeleweka

Tanzania sasa inapitia wakati mzito na mgumu sana kama Taifa. Wananchi wamepoteza matumaini lakini kinachowazuia kufanya maamuzi ni hofu ya kuuawa kinyama na vyombo vya dola ambavyo vimeshikamana na mirija inayoitafuna nchi yetu.

Hali ya tabianchi imekuwa negative sana kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa, lakini pamoja na utajiri wa mito na maziwa hatujaweza kuwekeza kwenye kilimo chenye tija. Watanzania walio wengi vijijini wanalima vibustani vya mazao ya vyakula na biashara lakini kilimo hiko hakijakidhi mahitaji ya nchi kuikabili njaa iliyobisha hodi maeneo mengi nchini.

Viongozi wetu ambao wanatumia mbinu zote chafu kujihakikishia wanabaki madarakani wamekuwa ndiyo majinamizi yanayohakikisha hatusongi mbele kwa sababu wanatumia madaraka yao kujinufaisha na mkwamo wa kiuchumi wa nchi yetu. tukianzia bandarini, unaweza kuziona zile CILOS ambazo hapo awali tulikuwa tunaaminishwa kuwa ni hifadhi za nafaka zinazotoka Tanzania kwenda ng'ambo lakini yale maghala kiuhalisia nni kwa matumizi ya goods arrivals za nafaka kutoka nje ya nchi. Mnajua ni kiasi gani cha dola za Kimarekani zinatumika kuagiza chakula kutoka nje? imefikia mahala tunaimport mpaka mchele.

Viongozi wa serikali yetu tukufu wamehakikisha sheria kali zinazodhibiti uwezekano wa mapinduzi ya kilimo zinapitishwa na Bunge ambalo kimsingi halijawahi kutunga sheria bali kuzipitisha tu na watunzi wa sheria ndo wanaenda kuzipitisha. Unapoweka bodi za mazao ambazo hadidu zake kubwa ni kupanga bei za mazao na kudhibiti masoko ni juhudi tukuka za serikali kuwahujumu wananchi wake ambao ndiyo wamiliki halali wa serikali hiyo. Taifa limefanya makosa mengi sana ambayo suluhu yake ni kuwaomba radhi wananchi ama CCM ikubali uwepo wa mazingira chanya ya chaguzi kuu ili kuleta ushindani wenye tija kwenye maongozi ya nchi yetu.

Leo bidhaa ya unga wa mahindi imeshuka bei nchini Kenya ambapo mahindi yake yanatoka Tanzania kwa sehemu kubwa. Ni rahidi kwa mfanyabiashara kufuata unga kutoka Kenya na kuja kuuza hapa nchini kwa bei ya chini. Viongozi wetu wanajua hilo na wanahakikisha wananchi wasijue lolote.

Hivi kuna kiongozi gani wa nchi tukianza na mawaziri hasa Waziri wa elimu au Tamisemi ambaye wanae wanasoma shule za msingi za umma? kama wao wanatunga sera za elimu na wanazisimamia huku wakikwepa zisitumike kwa watoto wao, je ni haramu gani wanayowapelekea wananchi? Hatuwezi kuendelea kama Taifa kwa aina hii ya viongozi ambao wao wanaamini na kuishi kwenye MATAMKO na FIGISUFIGISU.

Niwajulishe tu Watanzania wenzangu kwamba, siasa ina sehemu kubwa kwenye maongozi ya nchi hii lakini tunaweza kuiendeleza nchi yetu nje ya hizi siasa za kimizimu ambazo tunalazimimshwa kuishi nazo na CCM. Endapo Chama Cha Mapinduzi kinaendeleza madudu yake ya miaka mingi ya kujimilikisha utashi na akili za Watanzania kimabavu, basi kijiandae kuwa historia kadiri tunavyosogelea sanduku la kura.

Wananchi wanalalamikia tozo na mazingira adui ya kipato nchini, lakini anatoka Waziri anang'aka NENDENI BURUNDI.... kauli hii na Mfalme wa Ufaransa alipowajibu watu wenye njaa kuwa wale mikate... ni kauli ya kishetani iliyojaa shibe ya jasho la Watanzania kupitia tozo mbalimbali.


CCM mnapaswa kulileleza Taifa ukweli kwamba tupo kwenye mkwamo kama nchi. tumekwama kwa sababu sera na ilani zenu havitekelezeki. mzunguko wa fedha umekuwa mgumu kwa wananchi wengi. nchi inategemea wachuuzi wanaoagiza bidhaa kutoka nje ya nchi ili kutunisha mapato ya taifa. Serikali inawaibia wananchi wake vipato vyao viduchu tena inajilinda kwa kutunga sheria kulinda ujambazi huo. Hakuna mahala ambapo wananchi wamekataa kulipa kodi, lakini aina ya kodi mnazozitaka kutoka kwa wananchi maskini ni sawa na kuwasainisha hati zao za vifo kwa kukosa madawa, huduma na pensheni zao huku mkiwazuia kufanya biashara kwenye mazingira rafiki.

Tanzania sasa ipo kwenye autopilot mode, nchi ina viongozi lakini haina maongozi. tumewajaza wananchi uongo kwamba uchumi upo stable lakini uhalisia nin kwamba tumeshauzwa kama alivyosema Job Ndugai (ingawa naye ni mule mule walioshiriki madhila yetu)


Itaendelea.....View attachment 2342742
Ngumu kumeza
 
Mama anaendelea kufungua nchi taratibu. Maendeleo hayaji tuu kwa haraka it takes time!
 
Mama anaendelea kufungua nchi taratibu. Maendeleo hayaji tuu kwa haraka it takes time!
Well it takes time

Je nani anayeweza kusimamisha vifo vya wanaokosa huduma muhimu?

Miaka zaidi ya 60 ya uhuru bado maji, umeme, elimu ni basics za ilani yetu CCM

Mimi naona tunakufa taratibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom