mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,422
- 1,790
Mbona huyo mpiga picha wako hajaonesha watu waliokaa jukwaa kuu? Kama watu walikuwa wachache hivyo, alishindwa nini kupiga akiwa karibu!
Pale haliangaliwi Jukwaaa kuu kwani Jukwaa kuu siku zote huwa wanakaa Viongozi. Hivyo mkutanoni viongozi ni wachache kuliko wananchi.
DIALO ni janga la Taifa pamoja na STARTV yake