CCM Mpeni Ukweli Magufuli, Ajiandae Kisaikolojia

Nimepata taarifa kuwa alipita mwanga leo akakutana na mtiti wa hendry! Kijana kabatiza/kasilimisha raia karibia wote hapo jimbon mwanga! Huku mwanza mccm yamebak kupiga siasa za ukabila tu!
Pia leo samia sululu kaja na kina snura akakuta watoto wa shule ya msingi wita tu

Tena huyo mama nisivompenda kwa jinsi alivopewa na kutekeleza uhuni pamoja na sitta wa kuharibu maoni ya watz kuhusu katiba mpya?Yeye alikuwa ndo mistress wa kutishia na kuchakachua maoni upande wa zenji ndo maana ccm wamemuona shujaa.
kTena mkutanoniialikuwaaanagawasrushwautanoni mchana kweupe na pccb walikuwepo.
na nnavomchukia nikikuta simba anamla nammwagia kachumbali ili kuongezea APPETITE
 
ndio Maana Nec sisiem wamsanda vituo hewa watengeneze kura hewa Million 9
 
CCM kwa sasa wameivamia JF kwa fujo, wanaanzisha threads za kuiponda ukawa na kama haupo makini unaweza kuwaamini. Lakini mi nina imani hatutakuwa derailed na propaganda zao. Viashiria vyote mijini na vijijini vinaonesha CCM inaanguka.
Ila vipeperushi vya Lowasa ni vichache sana vijijini kuliko vile vya ccm. Hata act wamejitahidi kuzambaza bendera zao na vipeperushi. Kwa mfano nilipita majuzi hii barabara ya Dsm mpaka Tunduma na kugundua upungufu huo.
 
Nimehudhuria mikutano miwili ya Pombe Magufuli Arusha Mjini na Moshi.

Wengi wanazombewa na takrima,wengi ni ccm mchana,picha zinazotumiwa na vyombo vya habari zinaunga ungwa na mikutano mingine.

Ukweli usio na itikadi ni kuwa mgombea wa ccm hali yake ni ngumu huku akikatishwa tamaa zaidi na wilaya ya ARUMERU na Monduli ambayo hakufanikiwa kufanya mkutano wowote ktk eneo hilo analotoka Lowassa.

Usiseme kwa nguvu ndugu utakuja tukanwa na kuzushiwa maneno mabaya. Siku hizi tumeamua kutumia mbinu za silent killers kwa CCM. Na hapa tulipo fikia CCM hatoki akiwa salama.
 
Ila vipeperushi vya Lowasa ni vichache sana vijijini kuliko vile vya ccm. Hata act wamejitahidi kuzambaza bendera zao na vipeperushi. Kwa mfano nilipita majuzi hii barabara ya Dsm mpaka Tunduma na kugundua upungufu huo.
" Chema cha Jiuza Kibaya Chajitembeza " UKAWA hata wasipo tumia wana muziki na mabango, Tayari walisha jiuza kwa Wananchi. Kilichobaki ni kushika hatamu tu.
 
StarTV mmetisha sana.. Nikiangalia Screen kubwa ya hapo uwanjani pamoja na huyu mtu aliyechukua Video kwa simu yake naona mambo mawili tofauti.. Ningependa kuijua hii Technolojia vizuri, ni Adobe au ni ipi?? Au sauti zinaunganishwa na Picha?? Alafu wanafanya hivi wamdanganye nani??

Angalieni hii Video..

 
Last edited by a moderator:
ujanja wote mwisho wake oct 25 watatafutana uchawi safari hii. Watachezea kichapo kutosha.
 
nimehudhuria mikutano miwili ya pombe magufuli arusha mjini na moshi.

Wengi wanazombewa na takrima,wengi ni ccm mchana,picha zinazotumiwa na vyombo vya habari zinaunga ungwa na mikutano mingine.

Ukweli usio na itikadi ni kuwa mgombea wa ccm hali yake ni ngumu huku akikatishwa tamaa zaidi na wilaya ya arumeru na monduli ambayo hakufanikiwa kufanya mkutano wowote ktk eneo hilo analotoka lowassa.

blablablablablaaaaaaaaaaaa
 
KWA WALE WA KAZI WA MOSHI NA MIKOA YA JIRANI, njoon Moshi leo muone mh. MBEGE anachanwa chanwa na LOWASA leo..
 
Nimehudhuria mikutano miwili ya Pombe Magufuli Arusha Mjini na Moshi.

Wengi wanazombewa na takrima,wengi ni ccm mchana,picha zinazotumiwa na vyombo vya habari zinaunga ungwa na mikutano mingine.

Ukweli usio na itikadi ni kuwa mgombea wa ccm hali yake ni ngumu huku akikatishwa tamaa zaidi na wilaya ya ARUMERU na Monduli ambayo hakufanikiwa kufanya mkutano wowote ktk eneo hilo analotoka Lowassa.

acha uongo basi. kwa hiyo mtoto wa sokoine aliyekanusha kuhama chama mbele ya wale masai na magufuli ni picha za kuunga?
 
Mbona huyo mpiga picha wako hajaonesha watu waliokaa jukwaa kuu? Kama watu walikuwa wachache hivyo, alishindwa nini kupiga akiwa karibu!
 
Ni ajabu na kweli,mimi mwenyewe nilihudhuria mkutano ule na idadi ya watu ilikuwa ya kawaida sana ila nilichokuja kukiona star tv sikuamini.Inawezekanaje watu wa aina hii kuliongoza taifa letu.Halafu ooh eti tusibaki vituoni kulinda kura!! Hivi bila ya kulinda kura 2010 tungewapata wapi kina Wenje,Lema,Nyerere,Kiwia etc.Ulinzi wa kura ni wajibu wa kila mwanamabadiliko,Lets wait for Lowassa Day-October 25.
 
Back
Top Bottom