Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,841
Mimi kuna swala moja najiuliza,Hivi Ccm bila wasanii mikutano yao wangemhutubia nani?
Hivi Ccm hawaoni kuwa uhalali wao wa kuitawala hii nchi umefika ukingoni?
Maana kama unataka kuwa rais wa nchi"Kama Magufuli"na ukiitisha mkutano kuongea na wananchi hawaji kukusikiliza na hustuki tu kuwa hawakupendi ni upofu kibri au laana?
Mi nadhani ni vema wapambe wa Magufuli wamweleze ukweli kuhusu ile mikutano yake,Asije juwa anapendwa kumbe watu wamefuata burudani ya bure na kubebwa na mafuso.
Asipoelezwa ukweli upo uwezekano akashindwa uchaguzi na kung'ang'ania ushindi kwa upotoshwaji anaofanyiwa na wapape wake.Na nchi ikaingia kwenye mtafaruku.
Ni bora mumweleze ukweli ajiandae kisaikolojia.
Hivi Ccm hawaoni kuwa uhalali wao wa kuitawala hii nchi umefika ukingoni?
Maana kama unataka kuwa rais wa nchi"Kama Magufuli"na ukiitisha mkutano kuongea na wananchi hawaji kukusikiliza na hustuki tu kuwa hawakupendi ni upofu kibri au laana?
Mi nadhani ni vema wapambe wa Magufuli wamweleze ukweli kuhusu ile mikutano yake,Asije juwa anapendwa kumbe watu wamefuata burudani ya bure na kubebwa na mafuso.
Asipoelezwa ukweli upo uwezekano akashindwa uchaguzi na kung'ang'ania ushindi kwa upotoshwaji anaofanyiwa na wapape wake.Na nchi ikaingia kwenye mtafaruku.
Ni bora mumweleze ukweli ajiandae kisaikolojia.