CCM Mpeni Ukweli Magufuli, Ajiandae Kisaikolojia

Kibo10

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,277
8,841
Mimi kuna swala moja najiuliza,Hivi Ccm bila wasanii mikutano yao wangemhutubia nani?

Hivi Ccm hawaoni kuwa uhalali wao wa kuitawala hii nchi umefika ukingoni?

Maana kama unataka kuwa rais wa nchi"Kama Magufuli"na ukiitisha mkutano kuongea na wananchi hawaji kukusikiliza na hustuki tu kuwa hawakupendi ni upofu kibri au laana?

Mi nadhani ni vema wapambe wa Magufuli wamweleze ukweli kuhusu ile mikutano yake,Asije juwa anapendwa kumbe watu wamefuata burudani ya bure na kubebwa na mafuso.

Asipoelezwa ukweli upo uwezekano akashindwa uchaguzi na kung'ang'ania ushindi kwa upotoshwaji anaofanyiwa na wapape wake.Na nchi ikaingia kwenye mtafaruku.

Ni bora mumweleze ukweli ajiandae kisaikolojia.
 
Kweli..hatutaki maneno mengi.

Magufuli anataka kuibinafsisha nchi ndiyo maana anasema Tanzania ya Magufuli.

Ndo maana pia Chama chake kinaitwa CHAMA CHA MAGUFULI CCM.
Aelewe Rais ni EDWARD LOWASSA
 
Aisee wewe ulikuwa Unawaza kama mimi, Mtwara walibeba wasanii, Moro wasanii.

Ukiangalia kwa makini mikutano inajaa waangalia burudan, watoto na akina mama wachache hawa ndio ccm blood.

Sijui wanajitathimn vip hawa jamaa, duh.
 
Mimi kuna swala moja najiuliza,Hivi Ccm bila wasanii mikutano yao wangemhutubia nani?
Hivi Ccm hawaoni kuwa uhalali wao wa kuitawala hii nchi umefika ukingoni?
Maana kama unataka kuwa rais wa nchi"Kama Magufuli"na ukiitisha mkutano kuongea na wananchi hawaji kukusikiliza na hustuki tu kuwa hawakupendi ni upofu kibri au laana?
Mi nadhani ni vema wapambe wa Magufuli wamweleze ukweli kuhusu ile mikutano yake,Asije juwa anapendwa kumbe watu wamefuata burudani ya bure na kubebwa na mafuso.
Asipoelezwa ukweli upo uwezekano akashindwa uchaguzi na kung'ang'ania ushindi kwa upotoshwaji anaofanyiwa na wapape wake.Na nchi ikaingia kwenye mtafaruku.
Ni bora mumweleze ukweli ajiandae kisaikolojia.

Wewe ndio mtu huyo wa kujiandaa
 

Attachments

  • 1441741446538.jpg
    1441741446538.jpg
    50.9 KB · Views: 728
Msibaki na historia, lowasa moto wa mabua, hayo mabomu ya udini yanayoibuliwa yanambomoa kwa kiwango kikubwa. Inabidi mmwambie ukweli akiendelea kujipa matumaini hewa atarest in peace sababu ya mshtuko wa kushindwa
 
Msibaki na historia, lowasa moto wa mabua, hayo mabomu ya udini yanayoibuliwa yanambomoa kwa kiwango kikubwa. Inabidi mmwambie ukweli akiendelea kujipa matumaini hewa atarest in peace sababu ya mshtuko wa kushindwa

Ndugu yangu Lowassa popote alipo watu wapo na wanamfuta kwa miguu yao.Unajitoa ufahamu?
Ndio maana nasema lazima mjiandae kukabidhi nchi kwa amani pale mtakapopigwa mshangao na wenye nchi
 
Lowasa na wapambe wake walikuwa na mtazamo kama huu wa kwako kabla ya kutokea yaliyotokea dodoma. je umemuona Magufuli leo tanga? kaweka rekodi mpya, iliyoitwa jina la umati usio na kifani.
 
Ndugu yangu Lowassa popote alipo watu wapo na wanamfuta kwa miguu yao.Unajitoa ufahamu?
Ndio maana nasema lazima mjiandae kukabidhi nchi kwa amani pale mtakapopigwa mshangao na wenye nchi

Yes, kwenye kampeni watamfuata vituo vyote ila siku ya kura hawapiga zaidi ya kituo kimoja! Hawezi shinda kwa washabiki wa kumfuata kila alipo. Low ajiandae kisaikologia e,ikulu ni mahali patakatifu hawezi kwenda.
 
After jubilee? Things need to change whether people like it or not. No stone will be left unturned. New season! Cant wait to experoence
 
Aisee wewe ulikuwa Unawaza kama mimi, Mtwara walibeba wasanii, Moro wasanii.

Ukiangalia kwa makini mikutano inajaa waangalia burudan, watoto na akina mama wachache hawa ndio ccm blood.

Sijui wanajitathimn vip hawa jamaa, duh.

Na Tanga walienda na Ali Kiba..
 
Lowasa na wapambe wake walikuwa na mtazamo kama huu wa kwako kabla ya kutokea yaliyotokea dodoma. je umemuona Magufuli leo tanga? kaweka rekodi mpya, iliyoitwa jina la umati usio na kifani.

Walienda na wasanii ndio maana kulijaa vile.
 
Mimi kuna swala moja najiuliza,Hivi Ccm bila wasanii mikutano yao wangemhutubia nani?

Hivi Ccm hawaoni kuwa uhalali wao wa kuitawala hii nchi umefika ukingoni?

Maana kama unataka kuwa rais wa nchi"Kama Magufuli"na ukiitisha mkutano kuongea na wananchi hawaji kukusikiliza na hustuki tu kuwa hawakupendi ni upofu kibri au laana?

Mi nadhani ni vema wapambe wa Magufuli wamweleze ukweli kuhusu ile mikutano yake,Asije juwa anapendwa kumbe watu wamefuata burudani ya bure na kubebwa na mafuso.

Asipoelezwa ukweli upo uwezekano akashindwa uchaguzi na kung'ang'ania ushindi kwa upotoshwaji anaofanyiwa na wapape wake.Na nchi ikaingia kwenye mtafaruku.

Ni bora mumweleze ukweli ajiandae kisaikolojia.

Kibo 10 jina lako linajieleza kuwa wewe ni wa wapi?watu wa mkoa huo tabia zenu tunazijua,tukiwakabidhi nchi sijui kama mtabakisha raslimali hata moja
 
Kibo 10 jina lako linajieleza kuwa wewe ni wa wapi?watu wa mkoa huo tabia zenu tunazijua,tukiwakabidhi nchi sijui kama mtabakisha raslimali hata moja

We ubongo wako una pancha,Sio bure.
 
Kweli kabisa ccm tumeichoka ila tunakula Pesa zao tuu wakati huu wakampeni kura kwa lowasa na ukawa.wataisoma no Mwaka huu poleni sana ccm
 
Back
Top Bottom