FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
kumbe kujenga barabara nk ni hisani sio wajibu?kwahyo hizi kodi tunalipa kwa ajili ya MAFISADI tuu?kwahyo wasipoleta maendeleo tusihoji kwakua sio wajibu ni hisani tu? we natamani hata nione sura yako maana nahisi ubongo wako umeoza kama wa nape.
Naam ni hisani na wajibu pia. Bila hisani utatimiza wajibu? mbona wa kabla ya Kikwete hawajatimiza hisani wala wajibu? walikuwa hawana hisani au wajibu? Fikiri.