CCM mnawakomoa wananchi, sio UKAWA!

CCM mnawakomoa wananchi, sio UKAWA!

Msituchanganye bana. Mnyika alisema kuwa ataleta maji Ubungo. Wala hakusema kuwa ataishirikisha serikali ya CCM kutekeleza hilo. Kama kazi imewashinda rudisheni majimbo kwa CCM

Waulize hao Wabunge wako fedha wanazopewa za mfuko wa Jimbo wanazitumiaje

mwambieni mnyika tunataka maji ubungo alisema ndani ya mwezi mmoja akichaguliwa ataleta maji ubungo yako wapi sasa hayo maji aliyosema mnyika.

kwani kwa mawazo yako pesa ya mfuko wa jimbo inafanya kazi gani.
Pesa za maji zipo, tena zipo nyingi tu, zilizotolewa na wafadhili na za ndani. Uzembe na ufisadi wa serikali ya CCM ndio unakwamisha. Mnyika anafuatilia na anafanya lile analopaswa kufanya kama mbunge.

Tutaanza kufichua mabilioni yaliyotengwa kwa ajili ya maji yanavyotumika vibaya.

Kwanza kuna pesa za MCA (Milennium Challenge AccounT) kama ambavyo mradi unajieleza kwenye website ya serikali.
attachment.php


Hizi ilipewa wizara ya fedha moja kwa moja. Je, Mnyika atafute nyingine na kuanza project mpya?

Alipopelekwa hoja yake binafsi ya kufuatilia mradi huu, Waziri alimzima, wote tunakumbuka.

Waziri mwenyewe alituambia kuwa kuna fedha hii kwenye bajeti ya 2012/13 Namnukuu hapa

Serikali yatenga mabilioni kugharimia maji.

WIZARA ya Maji jana iliwasilisha makadirio yake ya matumizi kwa mwaka 20012/2013 bungeni ambayo yanaonyesha kuwa imetenga Sh465.756 bilioni kwa ajili ya miradi ya maendeleo.Akiwasilisha bajeti hiyo, Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe alisema kati ya fedha hizo, Sh140.015 bilioni ni za ndani na Sh325.740 ni fedha kutoka nje.
Profesa Maghembe alisema kwa ujumla wake, wizara yake inakusudia kutumia Sh485.898 bilioni, kati ya hizo matumizi ya kawaida ni Sh20.142 bilioni.
Alisema miongoni mwa kazi ambazo wizara hiyo imepanga kuzitekeleza ni pamoja na maeneo yanayofaa kuchimba visima virefu na kusimamia uchimbaji kwa maeneo 630 katika sehemu mbalimbali nchini.
"Mwaka 2012/2013, kupitia Bajeti ya Serikali, Sh51.9 bilioni kutoka mfuko wa pamoja zimepangwa kugharimia ujenzi wa miundombinu ya maji, kujenga uwezo wa watekelezaji wa programu, uhamasishaji, kutoa elimu ya usafi na mazingira, ufuatiliaji na kulipa wataalamu washauri kwa ajili ya usimamizi wa makandarasi," alisema Profesa Maghembe na kuongeza:
"Kiwango hicho cha fedha kilichotengwa ni sehemu ya Sh81.8 bilioni ya mchango wa Serikali na ahadi ya Washirika wa Maendeleo."
Alisema Serikali inaendelea kutekeleza Mpango wa Dharura wa Kuboresha Huduma ya Maji katika Jiji la Dar es Salaam na Miji ya Kibaha na Bagamoyo ambao unalenga kuongeza uwezo wa uzalishaji wa maji kutoka mita za ujazo 300,000 kwa siku hadi mita za ujazo 710,000 siku ifikapo 2014.
Profesa Maghembe alisema mpango huo unatekelezwa kwa ushirikiano baina ya Serikali ya Tanzania na Shirika la Marekani la Changamoto za Milenia (MCC), Serikali ya Norway, Serikali ya India na washirika wengine wa maendeleo kupitia Mfuko wa Pamoja wa Maji.
"Utekelezaji wa Mpango huo ulianza rasmi Februari 2011 na umepangwa kukamilika Desemba 2014 na utagharimu Sh653.9 bilioni," alisema Profesa Maghembe.
Watanzania tumekuwa wajinga. Mahali ambapo uzembe uko wazi tu, tunaleta siasa eti kuadhibu upinzani.

Mimi ntaanza kulikuza hili, nahisi kuna uchafu kama wa EPA na ESCROW.

Kwa nini Maghembe alizima hoja binafsi ya Mnyika?

Kwa nini team Lumumba inaitumia hii kama propaganda ya kumchafua Mnyika?

attachment.php








attachment.php


Tatizo si kuwa pesa hakuna, tatizo zimetumikaje?

Baada ya Escrow mnaonaje tulikuze hili limtikise Maghembe?

Ukweli ni kwamba Mnyika anachukiwa na CCM kwa jinsi anavyohoji mambo bungeni!!
 
Yaani magamba yanafikiria wananchi ni vilaza mpaka leo,tumeshamuadhiri fisadi Makongoro jana kwa kumwapisha rais wa mtaa wake Kamanda kutoka Chadema bado kumng'oa yeye na vibaraka wenzie.
 
Kitendo cha serikali ya CCM kuyapa kisogo majimbo yanayowakilishwa na UKAWA kinalenga kuwakomoa wananchi zaidi. Ipo mifano hai ya serikali kutoshughulikia kikamilifu miradi ya maendeleo iliyopo kwenye majimbo yanayoongozwa na wabunge wa upinzani ili kuwajengea wananchi dhana hasi kwamba wapinzani hawana lolote. Sina haja ya kuyataja majimbo hayo kwani yanajulikana wazi kwa kila mtanzania mwenye akili zilizotimia.

Kwa akili zao finyu wanadhani kwamba majimbo hayo yakikosa maendeleo wananchi watarejesha mioyo yao kwa CCM kumbe ndio wanazidi kujichimbia kaburi. Kila mtu ni shahidi jinsi wabunge wa UKAWA wanavyohangaika kuwaletea wananchi maendeleo lakini wanakosa ushirikiano kutoka serikali ya CCM. Kudhani kwamba kuwanyima wananchi maendeleo kutawafanya wawachukie UKAWA ni sawa na kuota ndoto ya mchana. Wananchi wa leo ni tofauti sana na wale wa enzi za "Zidumu fikra za Mwenyekiti".

CCM mkae mkijua kuwa kadri mnavyowanyima wananchi maendeleo ndio mnazidi kujichimbia kaburi la uongozi wa nchi.

:israel:

Umenena vyema mkuu. Tatizo la chama cha Majambazi (CCM) ni kwamba hakina tena viongozi bali wamebaki wachumia tumbo peke yake. unaweza kuamini kwamba eti Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, Steven Wasira, Abdurahman Kinana na wengine wote wa type yao eti ndio THINK TANK ya CCM??! sasa unategemea utapata nini hapo?!
 
Hata wakibadilisha misimamo yao kwa sasa wamechelewa sana kitakacho waokowa nikuiba kura kwa nguvu nakusababisha vita itakayo UA watanzani nahiyo dam watailipa kwa garama kubwa sana
 
serkali ni kwa ajil ya wananch wake wote inao watawala, ikiwamo maendeleo, mgawanyo wa mapato ktk mirad ya maendeleo, ukusanyaj wa kodi,ulinzi na usalama,uwekezaji n.k......Bila ya kujali utofaut wa vyama,rang,din,kabila,asili, n.k...{political tolerance}}.

Mbunge kaz yake ni kuisimamia na kuishaur sirkal juu ya mirad na mipango yote ya maendeleo, bila ya kujal ni mbunge wa chama gani.......


NAAMIN NIMEKUTOA UJINGA.


Kwani hao Wabunge wa upinzani si walisema kuwa watawaletea maendeleo wananchi? Inakuwaje wanaiangukia CCM?
 
Kitendo cha serikali ya CCM kuyapa kisogo majimbo yanayowakilishwa na UKAWA kinalenga kuwakomoa wananchi zaidi. Ipo mifano hai ya serikali kutoshughulikia kikamilifu miradi ya maendeleo iliyopo kwenye majimbo yanayoongozwa na wabunge wa upinzani ili kuwajengea wananchi dhana hasi kwamba wapinzani hawana lolote. Sina haja ya kuyataja majimbo hayo kwani yanajulikana wazi kwa kila mtanzania mwenye akili zilizotimia.

Kwa akili zao finyu wanadhani kwamba majimbo hayo yakikosa maendeleo wananchi watarejesha mioyo yao kwa CCM kumbe ndio wanazidi kujichimbia kaburi. Kila mtu ni shahidi jinsi wabunge wa UKAWA wanavyohangaika kuwaletea wananchi maendeleo lakini wanakosa ushirikiano kutoka serikali ya CCM. Kudhani kwamba kuwanyima wananchi maendeleo kutawafanya wawachukie UKAWA ni sawa na kuota ndoto ya mchana. Wananchi wa leo ni tofauti sana na wale wa enzi za "Zidumu fikra za Mwenyekiti".

CCM mkae mkijua kuwa kadri mnavyowanyima wananchi maendeleo ndio mnazidi kujichimbia kaburi la uongozi wa nchi.

:israel:

Maendeleo hayaletwi na chama cha siasa bali juhudi binafsi na kujituma. Jiulize utaifanyia nini Tanzania na sio Tanzania ikufanyie nini.Zinduka.
 
Songoro sijui kama hujui? unaandika kuonyesha umbumbumbu wako makusudi pole kwa kujifanya jinga
 
Labda uniambie kama ni porojo, maana tunalipa kodi tena kwa uzalendo hatutaki kusikia upuuzi wa maamuzi ya kichama kwenye kodi zetu. Anayetaka kuweka maamuzi ya kichama mbele kwenye kodi zetu hatutaelewana kabisa. Halafu dada FF hebu waambie chama chako waache mambo yaliyopitwa na wakati kila maendleleo wanapeleka Dar. Hivi hamuoni aibu jiji limejaa msongamano wa watu tena wengi hawana ajira za kueleweka mpaka mmezalisha panya road!? Wanashindwa nini kujenga bandari ya Mtwara na kuanzisha viwanda pamoja na kujenga reli. Pia Tanga kuna bandari na reli ya kufufua tu na viwanda lukuki vilivyouliwa na wasomi wetu uchwara. Halafu kuna mtu ambaye nikimtaja hapa unapata hisia zile za imani zetu anataka kujenga bandari hapo bagamoyo pua na mdomo na Dar, wakati Tanga na Mtwara zingetosha kuondoa huo msongamano hapo Dar kwenye chemba cha maji machafu. Ama dada wewe huwa husikii hizo harufu za choo hapo mjini. Na kama unasikia huoni aibu?

Asiye na macho haambiwi tazama:



Hii ni Dar?
 
Asiye na macho haambiwi tazama:



Hii ni Dar?

Mama kumbuka siko hapa kwenye ushindani bali kutoa mtazamo chanya wa mgawanyo sawa wa maendeleo kwa nchi nzima. Wewe unaonenaka unajibu hoja yangu kwa ushindani wa simba na yanga, mimi siko huko. nashindwa kuelewa, are you serious or your just kidding me kwa kunionyesha daraja? Ukijaribu kuangalia miradi mingi ama nguvu kubwa inatumika kuendeleza Dar kuliko sehemu nyingine za nchi. Tatizo hili limeiacha watu wa nchi nzima wanapohitaji huduma za serekali kujikuta wanapaswa kuelekea Dar. Angalia wizara zote ziko Dar, makao makuu ya taasisi nyingi za umma yako Dar, watunga sera karibia wote wako Dar. Hali hii inawafanya hata watawala kufikiria kutatua zaidi matatizo ya Dar kwani asilimia 90 wanakaa Dar.

Hapo Dar kilichoshindikana ni kuhamishia mlima Kilimanjaro, Mbuga ya ngorongoro nk tu. Hoja yangu iko wazi, panua miji mingine kwa kupanua ama kuboresha miundo mbinu yake kama bandari, reli, viwanda na nikatolea mfano wa Tanga na Mtwara. Ukiweza kufanyia kazi mikoa hiyo automatically msongamano usio wa lazima hapo Dar utapungua na unatoa fursa ya maendeleo kwa maeneo mengine ya nchi. Sasa unaponionyesha daraja ndio umeua hoja yangu kwa jibu muafaka, ama hilo daraja limepunguza msongamano na watu kukimbilia hapo Dar? Ama wewe na wengine mmeamua kuufanyia kazi wimbo wa mwanamuziki Hamza Kalala wa kwamba tutabanana hapa hapa Dar? Ama kwa mfano mrahisi, imetokea mzazi ana familia ya watoto wengi, yakaanza kuzuka malalamiko kwa wanafamilia kwamba mmoja anapendelewa sana kwa kupewa kila kitu wakati wote wanahaki sawa, anatokea mpambe anajaribu kumtetea mzazi mwenye upendeleo kwa kuonyesha kiatu cha bei mbaya alichopewa mtoto mwingine ambaye hafanyiwi upendeleo. Ndio unachojaribu wewe kuua hoja kwa kunionyesha daraja, japo sipingi hilo daraja na sina haja ya kuwa mtovu wa fadhila, kwa hilo daraja napongeza.

Nadhani tujaribu kuweka ushabiki pembeni tunahitaji maendeleo ya uwiano kwa nchi nzima na sio kulimbikiza kila kitu sehemu moja. Matokeo yake ndio hayo hakuna mipango miji inayoeleweka ama inatekelezeka kwa shida kutokana na msongamano wa watu. Tujaribu kupunguza wizara kutoka hapo Dar na kuhamishia nyingine mikoa kama ya Mwanza, Arusha, Mbeya nk. Pia makao makuu ya taasisi za umma nyingi zinapaswa kupunguzwa hapo Dar nakuhamia sehemu mbalimbali za nchi ili kupanua ama kupeleka maendeleo kwa uwiano sehemu kubwa kama si yote ya nchi. Tukifanya hivyo kwa taasisi za umma, itachagiza na sekta binafsi kwenda sehemu hizo na watunga sera wataweza kuona kwa uhalisia nini kifanyike maeneo mengine ya nchi, na sio kutunga sera wakiwa maofisini hapo Dar. Matokeo yake kuwa na sera zisizotekelezeka sehemu kubwa ya nchi kwani watungaji hawajui uhalisia wa maeneo wanayoyatungia sera.
 
Mama kumbuka siko hapa kwenye ushindani bali kutoa mtazamo chanya wa mgawanyo sawa wa maendeleo kwa nchi nzima. Wewe unaonenaka unajibu hoja yangu kwa ushindani wa simba na yanga, mimi siko huko. nashindwa kuelewa, are you serious or your just kidding me kwa kunionyesha daraja? Ukijaribu kuangalia miradi mingi ama nguvu kubwa inatumika kuendeleza Dar kuliko sehemu nyingine za nchi. Tatizo hili limeiacha watu wa nchi nzima wanapohitaji huduma za serekali kujikuta wanapaswa kuelekea Dar. Angalia wizara zote ziko Dar, makao makuu ya taasisi nyingi za umma yako Dar, watunga sera karibia wote wako Dar. Hali hii inawafanya hata watawala kufikiria kutatua zaidi matatizo ya Dar kwani asilimia 90 wanakaa Dar.

Hapo Dar kilichoshindikana ni kuhamishia mlima Kilimanjaro, Mbuga ya ngorongoro nk tu. Hoja yangu iko wazi, panua miji mingine kwa kupanua ama kuboresha miundo mbinu yake kama bandari, reli, viwanda na nikatolea mfano wa Tanga na Mtwara. Ukiweza kufanyia kazi mikoa hiyo automatically msongamano usio wa lazima hapo Dar utapungua na unatoa fursa ya maendeleo kwa maeneo mengine ya nchi. Sasa unaponionyesha daraja ndio umeua hoja yangu kwa jibu muafaka, ama hilo daraja limepunguza msongamano na watu kukimbilia hapo Dar? Ama wewe na wengine mmeamua kuufanyia kazi wimbo wa mwanamuziki Hamza Kalala wa kwamba tutabanana hapa hapa Dar? Ama kwa mfano mrahisi, imetokea mzazi ana familia ya watoto wengi, yakaanza kuzuka malalamiko kwa wanafamilia kwamba mmoja anapendelewa sana kwa kupewa kila kitu wakati wote wanahaki sawa, anatokea mpambe anajaribu kumtetea mzazi mwenye upendeleo kwa kuonyesha kiatu cha bei mbaya alichopewa mtoto mwingine ambaye hafanyiwi upendeleo. Ndio unachojaribu wewe kuua hoja kwa kunionyesha daraja, japo sipingi hilo daraja na sina haja ya kuwa mtovu wa fadhila, kwa hilo daraja napongeza.

Nadhani tujaribu kuweka ushabiki pembeni tunahitaji maendeleo ya uwiano kwa nchi nzima na sio kulimbikiza kila kitu sehemu moja. Matokeo yake ndio hayo hakuna mipango miji inayoeleweka ama inatekelezeka kwa shida kutokana na msongamano wa watu. Tujaribu kupunguza wizara kutoka hapo Dar na kuhamishia nyingine mikoa kama ya Mwanza, Arusha, Mbeya nk. Pia makao makuu ya taasisi za umma nyingi zinapaswa kupunguzwa hapo Dar nakuhamia sehemu mbalimbali za nchi ili kupanua ama kupeleka maendeleo kwa uwiano sehemu kubwa kama si yote ya nchi. Tukifanya hivyo kwa taasisi za umma, itachagiza na sekta binafsi kwenda sehemu hizo na watunga sera wataweza kuona kwa uhalisia nini kifanyike maeneo mengine ya nchi, na sio kutunga sera wakiwa maofisini hapo Dar. Matokeo yake kuwa na sera zisizotekelezeka sehemu kubwa ya nchi kwani watungaji hawajui uhalisia wa maeneo wanayoyatungia sera.


Porojo nyingi, miaka 44 ya Uhuru uliona nani kabla ya Kikwete akipeleka maendeleo, Kigoma? Kusini? Tanga, Tabora?

Leo tunayaona huko.
 
Porojo nyingi, miaka 44 ya Uhuru uliona nani kabla ya Kikwete akipeleka maendeleo, Kigoma? Kusini? Tanga, Tabora?

Leo tunayaona huko.

Nashukuru kwa kuona porojo zangu. Je huyo anayefanya sasa anatoa hisani? Naomba nikuulize swali moja ambalo ninataraji utalijibu kwa kina ili nione unajenga hoja ya kuendeleza ama unatafuta ushindi. Unaweza kuniambia tofauti ya deni letu la miaka 44 na maendeleo yaliyofikiwa na deni la taifa la miaka hii 10 ukilinganisha na maendeleo yake? Naomba usipapase macho kwani hapa panahitaji uelewa wa kina ili tuone hoja inalalia wapi. Please naamini utajenga hoja inayoendana na uelewa wako na uzito wa swali husika, kwani swali hili sikuulizi kwa bahati mbaya bali najua ninachokuuliza. Nataraji utakuja na majibu ya kina na sio majibu ya mtaani na ubishani usio na tija.
 
Nashukuru kwa kuona porojo zangu. Je huyo anayefanya sasa anatoa hisani? Naomba nikuulize swali moja ambalo ninataraji utalijibu kwa kina ili nione unajenga hoja ya kuendeleza ama unatafuta ushindi. Unaweza kuniambia tofauti ya deni letu la miaka 44 na maendeleo yaliyofikiwa na deni la taifa la miaka hii 10 ukilinganisha na maendeleo yake? Naomba usipapase macho kwani hapa panahitaji uelewa wa kina ili tuone hoja inalalia wapi. Please naamini utajenga hoja inayoendana na uelewa wako na uzito wa swali husika, kwani swali hili sikuulizi kwa bahati mbaya bali najua ninachokuuliza. Nataraji utakuja na majibu ya kina na sio majibu ya mtaani na ubishani usio na tija.

Naam, ni hisani kubwa sana kwa Watanzania wa mikoa hiyo ambao wengi wao hawajawahi kuona hata lami toka wazaliwe.

Deni likiwa kubwa ujuwe na uwezo wakulilipa umekuwa mkubwa. Nenda kakope wewe uone vigezo vyako vitakupa kiasi gani cha mkopo.
 
Naam, ni hisani kubwa sana kwa Watanzai wa mikoa hiyo ambao wengi wao hawajawahi kuona hata lami toka wazaliwe.

Deni likiwa kubwa ujuwe na uwezo wakulilipa umekuwa mkubwa. Nenda kakope wewe uone vigezo vyako vitakupa kiasi gani cha mkopo.

Kwa aina hii ya majibu na ujengaji hoja huo naomba niseme umenishinda. Nakupongeza kwa ushindi kwani nilitarajia tuongee kwa data na sio aina hii ya majibu na swali langu ambalo lilitaka zaidi data na sio mistari miwili ya kebehi. Asante mama umeshinda. Sishangai kwani haya ni aina ya majibu yanayotolewa hata na viongozi wetu walio wengi. Halafu tunabaiki tunashangaa kwanini sisi ni maskini. Hongera mama.
 
Kwa aina hii ya majibu na ujengaji hoja huo naomba niseme umenishinda. Nakupongeza kwa ushindi kwani nilitarajia tuongee kwa data na sio aina hii ya majibu na swali langu ambalo lilitaka zaidi data na sio mistari miwili ya kebehi. Asante mama umeshinda. Sishangai kwani haya ni aina ya majibu yanayotolewa hata na viongozi wetu walio wengi. Halafu tunabaiki tunashangaa kwanini sisi ni maskini. Hongera mama.

Wewe ulete swali linalotaka data wakati wewe mwenyewe umekuja na maneno matupu? Unanchekesha.
 
Maendeleo hayaletwi na chama cha siasa bali juhudi binafsi na kujituma. Jiulize utaifanyia nini Tanzania na sio Tanzania ikufanyie nini.Zinduka.

kodi wanazokusanya ni za kazi gani?
 
Wewe ulete swali linalotaka data wakati wewe mwenyewe umekuja na maneno matupu? Unanchekesha.

kumbe kujenga barabara nk ni hisani sio wajibu?kwahyo hizi kodi tunalipa kwa ajili ya MAFISADI tuu?kwahyo wasipoleta maendeleo tusihoji kwakua sio wajibu ni hisani tu? we natamani hata nione sura yako maana nahisi ubongo wako umeoza kama wa nape.
 
Back
Top Bottom