Mkuu, Ruta.
Mara nyingi unapata habari lakini unazitoa hapa kwa mstari mmoja tu , hii inasababisha mtu ambaye hana access na hiyo habari (hasa magazeti) ashindwe kuchangia maana hana habari kamili.
Ombi kwako, kama unaweza, uwe unabandika hiyo habari / article watu waipitie.
Asante