benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,032
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimewaonya vikali Viongozi wa Chama hicho Waliostaafu na kumaliza muda wao wa uongozi na ambaohawakubahatika kupata nafasi katika uchaguzi uliofanyika 2022 ndani ya chama hicho kuacha mara moja tabia ya kuvuruga chama.
Viongozi hao wameonywa kuacha mara moja kutengeneza makundi ya kukishambulia Chama na Serikali na CCM haitosita hata kidogo kuwachukulia hatua kali wahusika
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa Fadhili Rajabu Maganya ambaye pia ni Mjumbe wa kamati kuu ya CCM Taifa aliye katika ziara mkoani mara ameyasema hayo huku akimnyyoshea kidole aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa Mara Samweli Kiboye maarufu Namba 3.
Viongozi hao wameonywa kuacha mara moja kutengeneza makundi ya kukishambulia Chama na Serikali na CCM haitosita hata kidogo kuwachukulia hatua kali wahusika
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa Fadhili Rajabu Maganya ambaye pia ni Mjumbe wa kamati kuu ya CCM Taifa aliye katika ziara mkoani mara ameyasema hayo huku akimnyyoshea kidole aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa Mara Samweli Kiboye maarufu Namba 3.