CCM: Majizi Msimchukulie poa Rais Samia

CCM: Majizi Msimchukulie poa Rais Samia

Majizi mnayoongelea CCM ni yapi zaidi ya hao walamba sukari aliowajaza serikalini na kwenye chama??

CCM msitufanye watanzania wote ni wajinga kama walivyo wanachama wenu wengi.
 
Wacha niseme kidogo,

Kama kuna mtu ameachia mifumo ifanye kazi kwa uwazi na kutokumuonea mtu ni huyu Rais Samia,

Kitendo hiki kinawafanya wananchi wenyewe wawajibishane katika levels zao,

Kutumbua mtu sio jambo la kujisifu ila mifumo ikimtumbua atakuwa amepata haki yake,

Hongera sana Mama Samia,
Nani katumbuliwa na mfumo au kawajibishwa na watu?

Maana mama Samia yeye mwenye kishatumbua wakurugenzi zaidi ya 6 hadi sasa
 
Kiongozi, tumbua tumbua zipo nyingi sema tofauti ya Sasa na kipindi Cha magufuli Ni kuwa mama hadhalilishi, utaskia tu mh rais ssh afanya mabadiliko sekta/kitengo flani

Ila kipindi Cha magu ilikuwa inaoneshwa hadi alipokuwa anamhoji mhusika, Sasa ule syo ustaarabu maamuzi km yale hayafai kwa kiongozi anaejitambua na mwenye maadili ya utumishi
Mmh inategemea maana kwa kumbukumbu yangu Ila mipasho kwa ****** ilikua udhalilishai japo hajafikia level ya jiwe
 
wakurugenzi wangapi hawako kazini?
Hili swali si ulipaswa ww uwe na jibu? Maana umesema mfumo unawaondoa kitu ambacho sio kweli.
Yeye mwenye alipokua akienda Musoma, alisimama barabarani na kutumbua wakurugenzi
 
Hili swali si ulipaswa ww uwe na jibu? Maana umesema mfumo unawaondoa kitu ambacho sio kweli.
Yeye mwenye alipokua akienda Musoma, alisimama barabarani na kutumbua wakurugenzi
Unajua uchungu wa kufukuzwa kazi?
 
Wasimchukulie poa mara ngapi? Ameamua kuwakumbatia ngoja wamnyoshe tu
 
Hivi ccm mtatuambia nini nyie?
majizi mnafuga wenyewe! na mnayatetea wenyewe!
majizi sasa ni senior officers wenu ndani ya ccm, angalieni namna wanavyotupiga ktk mikataba ya hovyo ya manunuzi!
 
Back
Top Bottom