Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,545
- 59,590
Nawaamini vinyozi tu
huyu Rais anajitahidi sana aiseNawaamini vinyozi tu
Kiongozi, tumbua tumbua zipo nyingi sema tofauti ya Sasa na kipindi Cha magufuli Ni kuwa mama hadhalilishi, utaskia tu mh rais ssh afanya mabadiliko sekta/kitengo flaniHamna kitu awe mkali bhn, utendaji wa viongozi wengi umedorora maana tumbua tumbua hakuna tena siku hizi!.
Waafrika bila kiboko hawaendi!.
Uliwahi kumuajibisha nani? Lile ghala la milion 7 na bwawa la mil 600+ ndo kuwajibishana? Kaa hapo na fikra zako eti mwananchi umuwajibishe mwenzio. Sa hivi tunao maboss wengi wasiowajibika na utamwambia nini ww hujampa mamlaka?wacha niseme kidogo,
Kama kuna mtu ameachia mifumo ifanye kazi kwa uwazi na kutokumuonea mtu ni huyu Rais Samia,
Kitendo hiki kinawafanya wananchi wenyewe wawajibishane katika levels zao,
Kutumbua mtu sio jambo la kujisifu ila mifumo ikimtumbua atakuwa amepata haki yake,
Hongera sana Mama Samia,
Kichaa kazini. Wewe na waliokuwa wakitaka magu aongezewa mihula munayo tofauti gani?Mama anaupiga mwingi, tuanze harakati za kumsafishia njia, halafu km inawezekana aongezewe awamu4 mbele....
Nakumbuka magu-fool Kuna wahuni walitakaga kumwongezea muda
Alishamtoa nani kwa kosa gani? Humdhalilishi mtu ila kajidhalilisha yeye kwa wizi wake ama maovu yake. Kila mtu na actions zake, sidhani kama katiba inakataza hilo unaloona halifai.Kiongozi, tumbua tumbua zipo nyingi sema tofauti ya Sasa na kipindi Cha magufuli Ni kuwa mama hadhalilishi, utaskia tu mh rais ssh afanya mabadiliko sekta/kitengo flani
Ila kipindi Cha magu ilikuwa inaoneshwa hadi alipokuwa anamhoji mhusika, Sasa ule syo ustaarabu maamuzi km yale hayafai kwa kiongozi anaejitambua na mwenye maadili ya utumishi
Alishamtoa nani kwa kosa gani? Humdhalilishi mtu ila kajidhalilisha yeye kwa wizi wake ama maovu yake. Kila mtu na actions zake, sidhani kama katiba inakataza hilo unaloona halifai.
Kiongozi, tumbua tumbua zipo nyingi sema tofauti ya Sasa na kipindi Cha magufuli Ni kuwa mama hadhalilishi, utaskia tu mh rais ssh afanya mabadiliko sekta/kitengo flani
Ila kipindi Cha magu ilikuwa inaoneshwa hadi alipokuwa anamhoji mhusika, Sasa ule syo ustaarabu maamuzi km yale hayafai kwa kiongozi anaejitambua na mwenye maadili ya utumishi
Haya uliza kwa wakuu wa mikoa, Cheki na Kafulila kule Simiyu atakueleza,Alishamtoa nani kwa kosa gani? Humdhalilishi mtu ila kajidhalilisha yeye kwa wizi wake ama maovu yake. Kila mtu na actions zake, sidhani kama katiba inakataza hilo unaloona halifai.
Unatuambia kudeal na mwizi wa kuku huku wa madini katulia 😁😁Haya uliza kwa wakuu wa mikoa, Cheki na Kafulila kule Simiyu atakueleza,
huyu Rais anajitahidi sana aise
Kuna watu wanataka awe na roho mbaya kama mtangulizi wake,Kweli kabisa
Kuna watu wanataka awe na roho mbaya kama mtangulizi wake,
Roho mbaya ni makuzi sio jambo la ukubwani
Tanzania kwa sasa ni nchi salama sana kwa kuishi,Hao ndio wachawi sasa
Yule alikuwa katili na alionyesha dhahiri
Nape amekuibia nini? Mbowe je? anyway, utapiamlo wa akili ndio tatizo lako.Majizi namba moja ni Zito kabwe, Makamba, Nape na Mbowe
Kwa kweli mali za wananchi wa Tanzania hazijawahi kuwa salama mikononi mwa CCM kwani CCM yenyewe kama chama kimejengwa katika misingi ya hujuma na wizi.Arudishe viwanja na majengo ya umma waliyopora na kuanza kutumia pesa za serikali kukarabati, huu ni wizi.
Huo uchadema wako utakuuaKwa kweli mali za wananchi wa Tanzania hazijawahi kuwa salama mikononi mwa CCM kwani CCM yenyewe kama chama kimejengwa katika misingi ya hujuma na wizi.
Miaka yote CCM imekuwa kimbilio la wezi na waporaji wa mali na rasilimali za umma na hadi leo wanazishikia mali hizo na hawana mpango wa kuzirejesha kwa wenyewe.