Kamanda Kazi
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 2,613
- 798
Hajui,nami nilitegemea atoe takwimu lakini kakurupuka tu. Nonsense.Big up UKAWA.Hebu tupatie takwimu za huko Rukwa mmepata mitaa mingapi.
Hajui,nami nilitegemea atoe takwimu lakini kakurupuka tu. Nonsense.Big up UKAWA.Hebu tupatie takwimu za huko Rukwa mmepata mitaa mingapi.
* Hongera Mzee Ngoswe - Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Rukwa
* Hongera Ikuwo - Mwanaharakati wa CHADEMA
Matunda ya mapambano yenu dhidi ya udhalimu wa CCM mkoa wa Rukwa tumeyaona!
Hongera wananchi wa Sumbawanga mjini kwa kuipiga chini CCM!
Pia pongezi za pekee ziwafikie wananchi wa Mwambao wa ziwa Tanganyika kwa kuifuta kabisa CCM!
Bye bye CCM!!!
Naom a takwimu kwa ufupi tulishinda wapi viti vingapi vywa mitaa vijiji vitongoji na ujumbe. Na kule tulipo sbindwa ni kwa kura ngapi?
Viporo vinaharibu akili sana.
Mungu yupi?
Hata kule Nkasi kwa Kesy?! Nakumbuka huyu alikuwa CDM akakimbilia ccm, sijui alifuata nini huko!* Hongera Mzee Ngoswe - Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Rukwa
* Hongera Ikuwo - Mwanaharakati wa CHADEMA
Matunda ya mapambano yenu dhidi ya udhalimu wa CCM mkoa wa Rukwa tumeyaona!
Hongera wananchi wa Sumbawanga mjini kwa kuipiga chini CCM!
Pia pongezi za pekee ziwafikie wananchi wa Mwambao wa ziwa Tanganyika kwa kuifuta kabisa CCM!
Bye bye CCM!!!
* Hongera Mzee Ngoswe - Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Rukwa
* Hongera Ikuwo - Mwanaharakati wa CHADEMA
Matunda ya mapambano yenu dhidi ya udhalimu wa CCM mkoa wa Rukwa tumeyaona!
Hongera wananchi wa Sumbawanga mjini kwa kuipiga chini CCM!
Pia pongezi za pekee ziwafikie wananchi wa Mwambao wa ziwa Tanganyika kwa kuifuta kabisa CCM!
Bye bye CCM!!!
* Hongera Mzee Ngoswe - Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Rukwa
* Hongera Ikuwo - Mwanaharakati wa CHADEMA
Matunda ya mapambano yenu dhidi ya udhalimu wa CCM mkoa wa Rukwa tumeyaona!
Hongera wananchi wa Sumbawanga mjini kwa kuipiga chini CCM!
Pia pongezi za pekee ziwafikie wananchi wa Mwambao wa ziwa Tanganyika kwa kuifuta kabisa CCM!
Bye bye CCM!!!
Unapongeza mtu mjinga mtu asie na shukrani mtu asie jua maadili zaidi mtu anae wagawa wana rukwa kwa udini na ukabila..huyo mtu anae itwa nkoswe ni mtu hatari sana kwa mustakabali wa watu wa rukwa. Nimtu anae taka lake liwe hata kama damu itamwagika....
Kama munadhani huyu mtu ataisaidia cdm ktk rukwa basi mujuwe mumepotea huyu ni mtu asie kubalika hata na familia yake. .uzuri hata muumba wetu anamjua huyu mtu ndio maana hata riziki kampunguzia.. huyu anaishi kwa kutegemea mjungu na unafik tu..ezi zake alipo kuwa madarakani huyu alinyanyasa sana watu wa rukwa..leo hii anatapatapa tu..
Nimekuta watu wanaimba na mimi nimeona niimbe-Halle-luuujah!-Hossaaaaaaaaaaaaaaaaaaana! ila sielewi kinachoshangiliwa
Muumba mbingu na ardhi .
* Hongera Mzee Nkoswe - Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Rukwa
* Hongera Ikuwo - Mwanaharakati wa CHADEMA
Matunda ya mapambano yenu dhidi ya udhalimu wa CCM mkoa wa Rukwa tumeyaona!
Hongera wananchi wa Sumbawanga mjini kwa kuipiga chini CCM!
Pia pongezi za pekee ziwafikie wananchi wa Mwambao wa ziwa Tanganyika kwa kuifuta kabisa CCM!
Bye bye CCM!!!
Kafie mbali! Wananchi ndiyo waamuzi!