nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Duh, hueleweki mkuu..
Mbona hayo no Maui ya magoti us it I she with wewee
Duh, hueleweki mkuu..
wao wananenepa sisi tunakonda pesa zetu waziita visenti
Utajiri sio lelemaPesa zenu na nani wakati ni jasho lake, tafuta zako acha wivu wa kike
Jamaa yako kapigwa chini au? Maana unatoka povu mkuu, sipati picha ubunge ukija mtu atajipima kamba ya shingo kwenye mti, dah!Unapongeza mtu mjinga mtu asie na shukrani mtu asie jua maadili zaidi mtu anae wagawa wana rukwa kwa udini na ukabila..huyo mtu anae itwa nkoswe ni mtu hatari sana kwa mustakabali wa watu wa rukwa. Nimtu anae taka lake liwe hata kama damu itamwagika....
Kama munadhani huyu mtu ataisaidia cdm ktk rukwa basi mujuwe mumepotea huyu ni mtu asie kubalika hata na familia yake. .uzuri hata muumba wetu anamjua huyu mtu ndio maana hata riziki kampunguzia.. huyu anaishi kwa kutegemea mjungu na unafik tu..ezi zake alipo kuwa madarakani huyu alinyanyasa sana watu wa rukwa..leo hii anatapatapa tu..
Jamaa yako kapigwa chini au? Maana unatoka povu mkuu, sipati picha ubunge ukija mtu atajipima kamba ya shingo kwenye mti, dah!
UDINI na kampen makanisan ni cdm gia na. 1 Rukwa.wao wananenepa sisi tunakonda pesa zetu waziita visenti
Huweleweki hata ulicho andika..hii ndio hasara ya kwenda shule na Fagio,Dumu la maji, kuni na mirumba..[/QUO
Yote haya ni baada ya kuona mme wako Aishi maji ya shingo,kama wewe ulienda shule za bila vidumu unashindwaje kujua umuhimu wa Nkoswe hapo swanga kama chadema imepata mitaa mingi kuliko ccm, sababu ni nini
Rukwa mbion kusambaratika sbbu ya udini unaoenezwa na cdm, ni HATARI!!!* Hongera Mzee Nkoswe - Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Rukwa * Hongera Ikuwo - Mwanaharakati wa CHADEMA Matunda ya mapambano yenu dhidi ya udhalimu wa CCM mkoa wa Rukwa tumeyaona! Hongera wananchi wa Sumbawanga mjini kwa kuipiga chini CCM! Pia pongezi za pekee ziwafikie wananchi wa Mwambao wa ziwa Tanganyika kwa kuifuta kabisa CCM! Bye bye CCM!!!
Unapongeza mtu mjinga mtu asie na shukrani mtu asie jua maadili zaidi mtu anae wagawa wana rukwa kwa udini na ukabila..huyo mtu anae itwa nkoswe ni mtu hatari sana kwa mustakabali wa watu wa rukwa. Nimtu anae taka lake liwe hata kama damu itamwagika....
Kama munadhani huyu mtu ataisaidia cdm ktk rukwa basi mujuwe mumepotea huyu ni mtu asie kubalika hata na familia yake. .uzuri hata muumba wetu anamjua huyu mtu ndio maana hata riziki kampunguzia.. huyu anaishi kwa kutegemea mjungu na unafik tu..ezi zake alipo kuwa madarakani huyu alinyanyasa sana watu wa rukwa..leo hii anatapatapa tu..
Kama hakubariki ameshindaje mitaa mingi kuliko ccm
Rukwa mbion kusambaratika sbbu ya udini unaoenezwa na cdm, ni HATARI!!!
Acha kudanganya wewe
Hadanganyi huo ndio uhalisia kanisa limejipambanua kupitia mapadri wake kupiga vita ccm na kuisaidia chadema..hili wala halifanywi kwa kificho hata chizi analijua mapadri wanatumia nafasi zao kwa kondoo wa bw kuwaamrisha waikatae ccm kwa kila hali..
Ninacho sikitika ni kwa nini vyonbo vya usalama wanaliachia jambo hili baya kuzidi kutendeka ktk chaguzi.
Kama hakubariki ameshindaje mitaa mingi kuliko ccm
Hakubaliki hata kidog wala huwezi kumsifia nkoswe kwa hivyo viti walivyo pata cdm ukaacha kuwasifia mapadri walio hangaika na kufanya kampeini chafu makanisani na ktk mikusanyiko ya kidini na kuwataka waumuni nao waikatae ccm na kuichagua cdm..sifa zote na asante ziwaendee mapadri wa sumbawanga kwa viti walivyo shinda cdm..ccm wana vuna walicho panda..siamini nikwanini serikali ya ccm inawafumbia macho mapadri wanao tumia majukwaa ya dini kwa kuhubiri siasa chafu?
Mkuu tuambie mapadri wamefanikisha cdm kushonda viti vingapi