CCM kwisha kabisa

CCM kwisha kabisa

Hiko chama bila ya TISS, piliccm, Jeshi sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine. Kipo madarakani kwaajili ya hao hapo juu basi.

Gwaji boy kawavua nguo, hadharani badala ya kuchutama, wanakimbia kimbia wakiwa watupu. Aibu yao, watamuweza wapi Askofu? Ana akili kama mchwa. Chukua ccm wote na bado hawafikii akili ya Gwajima.
Jeshi hawahusiki hapo. Wao wanalinda mipaka
 
IMG-20250528-WA0082.jpg
 
Huyo kwao ni asset si rahisi kumfukuza kipindi hiki wanatambua stronghold ya kanda ya ziwa especially Sukuma gang itawasumbua sana. Lazima calculation zao ziwe smart.
hahaaa!! Calculator mkononi siyo!

Si Saamia mwenyewe, wala Makamba na Kikwete, anayeweza kumjibu Gwajima.
Gwajiboy anajua taarabu, atawavua nguo. Na sasa usalama wa Taufa wako upande wake.
 
Kuna mpango ninawaza nifanye kwa maeneo niliyiyopo.

Nataka kudowload audio yote ya speech ya MNEC Gwajima kisha niende kwenye yale maeneo wanalusha movie na audio wale wa mtaani wanapiga mziki mkubwa kwa sauti. Niwalipe waweke hiyo audio kwa kurudia masaa mawili elfu 40.
Utaziponza biashara zao na familia zao. Kwa akili ya policcm watawateka wawaue.

Sema cha kufanya post tena na tena kwenye mitandao ya kijamii.
 

Kama Tarimba sijui watu wa Kino Waliwezaje kumchagua.

Unakuta kabisa zee zima lakin akili hamna hata mojaa
 
Yaani speech moja tu ya kada wake kuishauri mamlaka ya juu... Wote wamejaa kwenye mfumo wake

Tangu juzi siku moja bada ya speech yake iliyowakonga nyoyo Watanganyika wengi... Makada, chawa kunguni na viroboto wanashindana mitandaoni na kwenye press conference za mchongo kumjibu
Kujibu sio tatizo je wanajibu nini?

Mipasho
Kejeli
Matusi
Vitisho
Mipasho
Mazonge yake ya nyuma
Mpaka sasa hakuna hata mmoja aliyejitokeza kumpongeza na kumshukuru kwa uthubutu mkubwa aliouonesha.. Kila anayenyanyua kinywa chake anatoa boko lake kumzidi mwenzake

Wanapofanya hivi wanadhani wanamfurahishq rais kumbe ndio wanazidi kumharibia, kumbe ndivyo wanavyozidi kukifanya chama kizidi kuchukiwa

Ndani ya saa 48 Gwajima amesjageuka shujaa na staa kuliko mwanzo

Naye anasafiria upepo huo.. Anadonyoa donyoa hapa na kule.. Na kila anapodonyoa anahakikisha anatoa kitu chenye maana, miongozo na maono mbalimbali kuhusu Tanganyika😂
Tulipofeli

Tulipokosea

Tulipoharibu na nini tunatakiwa tufanye nini kwenye nini kuondokana na mikwamo ya muda mrefu😂😂😂😂
CCM watafute haraka mtu mwenye hekima wa kuwajibu hawa wanaomjibu Gwajima la sivyo atazidi kujijenga binafsi huku akizidi kukibomoa chama chao chakavu mahututi kilichojichokea na kukongoloka kabisaView attachment 3347706
Nakuonea huruma ulivyochanganyikiwa na unaumwa una stress
 
Historia itambebe Gwajima km mtu pekee aliesimama na udhalimu...

Maua mengine ni kwa majirani zetu,vijana Shupavu Gen Z.

May the almighty God protects these incredible Souls
 
Tumerogwa na Mwl Nyerere kuna matambiko yake hapana yametuachia upumbuvu

Sio matambiko ya Nyerere au kitu cha uchawi na uongo uongo. .
Ni vitu dhahiri alifanya na vilipaswa vifundishwe hata mashuleni ni vibovu na vifutwe.

Kwa mfano akaandika kwenye katiba:

RAIS NI SEHEMU YA BUNGE
-----------------
Huna upeo ukiwa darasa la nne wala maneno ya kuuliza, hivi we ticha kuna separation of powers gani hapo kama Rais nae ana sauti bungeni ??????????

Unakuwa brainwashed mapema kukubaliana na manguvu ya Rais, na kumtukuza.
 
Sio matambiko ya Nyerere au kitu cha uchawi na uongo uongo. .
Ni vitu dhahiri alifanya na vilipaswa vifundishwe hata mashuleni ili vifutwe.

Kwa mfano akaandika kwenye katiba:

RAIS NI SEHEMU YA BUNGE
-----------------
Toka mtoto wa darasa la nne unakuwa brainwashed kukubaliana na manguvu ya Rais na kumtukuza.

Huna upeo darasa la nne wala maneno ya kuuliza, hivi we ticha kuna separation of powers gani hapo kama Rais nae ana sauti bungeni ??????????
Sasa mkuu kwa lichama lake hili linavyo umiza watu kweli tufanyeje sasa
 
Tun
Gwajima nimeamini ni mtu mwenye akili Sana , nilikua najiuliza kwa nini nchi haisogei kumbe jibu rahisi Sana aina ya wawakilishi wetu ni ya kipekee
Tuna wawakilishi makanjanja sana hii nchi, wanatia aibu sana
 
Hatut
Wanamfuta uanachama kwa kusema kweli🤔🥺
Sitashangaa hata kidogo. Hicho chama unapaswa kuwa mtu wa kusifia na kuimba wimbo wa hakuna kama mama, anaupiga mwingi nk. Ukisema mambo yanayopaswa kubadilishwa wewe ni mpinzani. Hawataki kusikia ukweli hao
 
Back
Top Bottom