CCM kwisha kabisa

CCM kwisha kabisa

At least Mpina kajitokeza
IMG-20250527-WA0043.jpg
 
Hawajui watapambana na kura za maoni soon, Bunge Linavunjwa mwezi ujao
Naona wamemleta Mzee Yusuf Makamba atie kiitikio cha mipasho Yao.
Cha kuchekesha Gwajima amekuwa agenda ya mkutano wao wamesahau hata kilicho wapeleka Dodoma
 
Yaani speech moja tu ya kada wake kuishauri mamlaka ya juu... Wote wamejaa kwenye mfumo wake
Tangu juzi siku moja bada ya speech yake iliyowakonga nyoyo Watanganyika wengi... Makada, chawa kunguni na viroboto wanashindana mitandaoni na kwenye press conference za mchongo kumjibu
Kujibu sio tatizo je wanajibu nini?
Mipasho
Kejeli
Matusi
Vitisho
Mipasho
Mazonge yake ya nyuma
Mpaka sasa hakuna hata mmoja aliyejitokeza kumpongeza na kumshukuru kwa uthubutu mkubwa aliouonesha.. Kila anayenyanyua kinywa chake anatoa boko lake kumzidi mwenzake

Wanapofanya hivi wanadhani wanamfurahishq rais kumbe ndio wanazidi kumharibia, kumbe ndivyo wanavyozidi kukifanya chama kizidi kuchukiwa
Ndani ya saa 48 Gwajima amesjageuka shujaa na staa kuliko mwanzo
Naye anasafiria upepo huo.. Anadonyoa donyoa hapa na kule.. Na kila anapodonyoa anahakikisha anatoa kitu chenye maana, miongozo na maono mbalimbali kuhusu Tanganyika😂
Tulipofeli
Tulipokosea
Tulipoharibu na nini tunatakiwa tufanye nini kwenye nini kuondokana na mikwamo ya muda mrefu😂😂😂😂
CCM watafute haraka mtu mwenye hekima wa kuwajibu hawa wanaomjibu Gwajima la sivyo atazidi kujijenga binafsi huku akizidi kukibomoa chama chao chakavu mahututi kilichojichokea na kukongoloka kabisaView attachment 3347706
Halafu Jumapili ijayo ni mbali sana nataka kuona majibu ya G boy
 
Hiko chama bila ya TISS, policcm sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine. Kipo madarakani kwaajili ya hao hapo juu basi.

Gwaji boy kawavua nguo, hadharani badala ya kuchutama, wanakimbia kimbia wakiwa watupu. Aibu yao, watamuweza wapi Askofu? Ana akili kama mchwa. Chukua ccm wote na bado hawafikii akili ya Gwajima.
 
Ubwabwa, maharagwe na mchuzi pembeni.Mpishi amepiga kanga moja tu mkishakula mnaenda chumbani mnakitendea haki chakula.Mpishi ameshachoma sindano ya uzazi ya miezi site.Utakata kiuno hadi kiwiliwili kijitenge
 
Askofu tunangojea majibu vinginevyo umeogopa na umekimbia mtumbwi ukawaacha abiria
 
Back
Top Bottom